Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Unawajua?Acha uwoga wewee Alipangiwa atakufa hivyo. Mbona hao walimuambukiza hawajafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawajua?Acha uwoga wewee Alipangiwa atakufa hivyo. Mbona hao walimuambukiza hawajafa.
Kwahiyo ukichanjwa hautakufa?Naam nimechanjwa. Wewe shupaza shingo. Yule mwingine tulimzika Chattle.
Kama charles mbowe alivyozikwaNaam nimechanjwa. Wewe shupaza shingo. Yule mwingine tulimzika Chattle.
Kwani usipoamini mimi napungukiwa nini? Nimeshachanja so hicho kikombe sasa hakinipasui kichwa...Fiksi
AmeenWazima na walio na afya dhoofu wote wanakufa, tusikuze mambo. Zaidi tumuombee pumziko la daima!
Pia tusikate tamaaaWazima na walio na afya dhoofu wote wanakufa, tusikuze mambo. Zaidi tumuombee pumziko la daima!
Wabongo nyoko
Maabara zetu za kichwa zinajua hadi siku uliyopata Corona
Wazungu waje
Hapa jirani yangu ameniambia anaumwa kichwa nimemwambia hiyo ni malaria tu. Sasa kama mimi nisiye tabibu najua ugonjwa wa mtu hata kabla hajapimwa, fikiria lab technician Mbongo atakuwa ana ujuzi kiasi gani.Wabongo nyoko
Maabara zetu za kichwa zinajua hadi siku uliyopata Corona
Wazungu waje wajifunze kwetu
Kijiji cha Maruku, Bukoba vijijiniNaomba kujua Kijiji na wilaya aliyozaliwa huyu mwamba mwl Kashasha!