Badala ya kuweka sheria Kali wao Tff wanapenda hizo faini ili watafune tu hizo hela inawezekanaje Timu ikaingia kwenye mlango ambao sio binafsi kila kukicha kitu ambacho washabiki hawawezi kufanya...
Hiyo faini ni hela ya Bure ndio maana wanafatilia kweli na kwa haraka...