Mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu na hawana akili

Mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu na hawana akili

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Mtu anajiita shabiki baada ya mechi moja tu kufungwa na Yanga anataka kocha afukuzwe, wengine wanatoa povu CEO Barbara aondolewe, wengine wanataka Mangungu aachie ngazi, ngoja kwanza nicheke😁😁😁

Mchezo wa mpira ni mchezo wa makosa, ni muda wa kuwaachia benchi la ufundi lifanye masahihisho ya makosa yao, kama hali haitobadilika baada ya michezo walau mitatu mpaka mitano ndio tunaweza kuushinikiza uongozi ufanye jambo.

Lakini kufungwa mechi moja na kuanzw kulalamika kocha aondoke huo ni ujuha wa hali ya juu.

Tutarudia makosa ya msimu ulioisha ya kubadili makocha kila baada ya mechi kadhaa lakini hamna tulichoambulia.

Mashabiki wengi wa Simba ni majuha, mapopoma kichwani hamna kitu kama alivyosema Ismail Aden Rage aliyepata kuwa Mwenyekiti wa Simba.
 
mzungu umemsahau.
 

Attachments

  • IMG-20220814-WA0011.jpg
    IMG-20220814-WA0011.jpg
    60.1 KB · Views: 9
Usitukane wapi we kilaza,watu wako sahihi kabisa haiwezekan kila tukikutana na yng tunaambulia draw au kipondo ,yan tushakua wateja wao hata kitaa hakukaliki.

Mechi ya Jana tulikua tunamalizia mchezo shida Kuna ujinga unaendelea hpo simba
 
Issue sio kufungwa Ila umefungwaje...? yaan wachezaji wanapigwa matobo na magoli juu....😁😁😁😁 What a goal... Halafu unafungwa kwa Comeback ya kibabe yaan umeporwa furaha uliyoanza nayo mapema.. halafu Makolo wakikumbuka siku si nyingi wametoka kutunguliwa na Feisal kule Arusha, halafu na mwaka Jana walitunguliwa kimoja cha mkwezi na yuleyule aliyewatungua leo..
Halafu Kumbukumbu zinarudi tena kuwa ana misimu zaidi ya mitatu hajawahi kushinda kwa Mtani kwenye ligi..
MwanaYanga una Kila sababu ya kutembea kifua mbele kwa ushindi huu hata kama hauna hata 💯mfukoni..
Miaka hii Makolo tumewanyanyasa sana.. yaaan wamekuwa vibonde kwetu.. kama Kuna Kolo yeyote anajiamini aje kubisha hapa
 
Usitukane wapi we kilaza,watu wako sahihi kabisa haiwezekan kila tukikutana na yng tunaambulia draw au kipondo ,yan tushakua wateja wao hata kitaa hakukaliki.

Mechi ya Jana tulikua tunamalizia mchezo shida Kuna ujinga unaendelea hpo simba
Huyu jamaa sijui amekunywa uko wa marehemu hajui jinsi Gani tunavyoumia hao viongozi mwaka Jana tuliwavumilia ila mwaka huu watoke wawapishe wengine
 
Mtu anajiita shabiki baada ya mechi moja tu kufungwa na Yanga anataka kocha afukuzwe, wengine wanatoa povu CEO Barbara aondolewe, wengine wanataka Mangungu aachie ngazi, ngoja kwanza nicheke[emoji16][emoji16][emoji16]

Mchezo wa mpira ni mchezo wa makosa, ni muda wa kuwaachia benchi la ufundi lifanye masahihisho ya makosa yao, kama hali haitobadilika baada ya michezo walau mitatu mpaka mitano ndio tunaweza kuushinikiza uongozi ufanye jambo.

Lakini kufungwa mechi moja na kuanzw kulalamika kocha aondoke huo ni ujuha wa hali ya juu.

Tutarudia makosa ya msimu ulioisha ya kubadili makocha kila baada ya mechi kadhaa lakini hamna tulichoambulia.

Mashabiki wengi wa Simba ni majuha, mapopoma kichwani hamna kitu kama alivyosema Ismail Aden Rage aliyepata kuwa Mwenyekiti wa Simba.
Mkuu mbona umechafukwa kiasi hiki? Siamini kama namimi umeniweka kwenye kundi la mbumbumbu
 
Back
Top Bottom