Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu...Mkuu mbona umechafukwa kiasi hiki? Siamini kama namimi umeniweka kwenye kundi la mbumbumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu...Mkuu mbona umechafukwa kiasi hiki? Siamini kama namimi umeniweka kwenye kundi la mbumbumbu
Kwann mkuu?Wewe si Simba damu mbona umesaliti chama kiwepesi hivyo ?
Kakune nazi kwanza hujui mpiraUsitukane wapi we kilaza,watu wako sahihi kabisa haiwezekan kila tukikutana na yng tunaambulia draw au kipondo ,yan tushakua wateja wao hata kitaa hakukaliki.
Mechi ya Jana tulikua tunamalizia mchezo shida Kuna ujinga unaendelea hpo simba
Dozi imekuingiaBaba yako ndiyo hana akili... Dog [emoji240] wewe
Kama alivyo mumeo...hahaha dozi imeingia penyewemashabiki wa Simba na Yanga wote wanafanana hata wewe ni mjinga wa kutupwa.
Kama sijakosea mimi najua wewe shabiki wa Simba na kuna nyuzi umewahi kuanzisha ambazo tuna muelekeo wa kukandia upande wa Yanga sasa leo nimeshangaa umekuja na uzi huu ambao mtu anaweza kudhani wewe ni Yanga.Kwann mkuu?
Na hapo hajacheza bigirimana!!dah dah dah tungewaua nyingi sana janaaa!!makolo nyieeeMtu anajiita shabiki baada ya mechi moja tu kufungwa na Yanga anataka kocha afukuzwe, wengine wanatoa povu CEO Barbara aondolewe, wengine wanataka Mangungu aachie ngazi, ngoja kwanza nicheke😁😁😁
Mchezo wa mpira ni mchezo wa makosa, ni muda wa kuwaachia benchi la ufundi lifanye masahihisho ya makosa yao, kama hali haitobadilika baada ya michezo walau mitatu mpaka mitano ndio tunaweza kuushinikiza uongozi ufanye jambo.
Lakini kufungwa mechi moja na kuanzw kulalamika kocha aondoke huo ni ujuha wa hali ya juu.
Tutarudia makosa ya msimu ulioisha ya kubadili makocha kila baada ya mechi kadhaa lakini hamna tulichoambulia.
Mashabiki wengi wa Simba ni majuha, mapopoma kichwani hamna kitu kama alivyosema Ismail Aden Rage aliyepata kuwa Mwenyekiti wa Simba.
Hii ingependeza zaidi jamaa yako akitaka kunyonya dhakari ya morisonPicha ya kusindikizia uziView attachment 2323595
Mimi sina ujamaa nae usinihusishe na mpuuzi huyo ,mimi ni shabiki huruHii ingependeza zaidi jamaa yako akitaka kunyonya dhakari ya morison
Hilo jina lenu mlipewa na rage,nyie ni mbu3Ungetushauri tu bila kutuita majina hayo.
Imekula kwakoMimi sina ujamaa nae usinihusishe na mpuuzi huyo ,mimi ni shabiki huru
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Picha ya kusindikizia uziView attachment 2323595
😂Mkuu mbona umechafukwa kiasi hiki? Siamini kama namimi umeniweka kwenye kundi la mbumbumbu
Washatimua pira objectiveUzi huu utaishi sana, yaani kufungwa mechi moja tu mnataka Mgunda asepe?