Mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu na hawana akili

Baba yako ndiyo hana akili... Dog [emoji240] wewe
 
Usitukane wapi we kilaza,watu wako sahihi kabisa haiwezekan kila tukikutana na yng tunaambulia draw au kipondo ,yan tushakua wateja wao hata kitaa hakukaliki.

Mechi ya Jana tulikua tunamalizia mchezo shida Kuna ujinga unaendelea hpo simba
Kakune nazi kwanza hujui mpira
 
Na hapo hajacheza bigirimana!!dah dah dah tungewaua nyingi sana janaaa!!makolo nyieee
 
na uvumilivu PIA.
Jana kuna shabiki wa utopolo kapigwa rungu la kichwa.mimi NI shabiki wa Simba lakini ukinikuta mtaani hauwezi kujua ni shabiki wa timu gani.
 
Mimi sina ujamaa nae usinihusishe na mpuuzi huyo ,mimi ni shabiki huru
Imekula kwako
Mkanusane dhakari huko avic town
 

Attachments

  • 20220813_214654.jpg
    21 KB · Views: 6
Mbona kama kuna kaukweli hivi..na mimi naongezea mbili..(mbumbu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…