Uchaguzi 2020 Mashabiki wengi wa Tundu Lissu ni wa mitandaoni hawako kamati kuu wala mkutano mkuu wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mashabiki wengi wa Tundu Lissu ni wa mitandaoni hawako kamati kuu wala mkutano mkuu wa CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa Chadema lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

Chadema wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
yeah...

obviously hata umakamu mwenyekiti wa chama alipigiwa kura na watu wa huku huku mitandaoni!
 
Nyalandu ana pesa na ufadhili kutoka Ulaya , anao uwezo wa kugharamia uchaguzi wote wa CHADEMA kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais, Lisu ni kapuku hata kugharamia kampeni za urais tu hawezi, Mbowe hawezi kumkubali Lisu kapuku hata kwa dawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu alipochukua tu form akaomba na michango hapohapo
 
yeah...

obviously hata umakamu mwenyekiti wa chama alipigiwa kura na watu wa huku huku mitandaoni!
Umakamu mwenyekiti walimpa tu sababu wanajua kwanza hana maamuzi yeyote.

Hii ya kugombea urais ni Mbowe kukubali amuweke Lisu ili zimtoke hela zake yeye Mbowe mfukoni au kumuweka Nyalandu ataejitegemea kifedha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umakamu mwenyekiti walimpa tu sababu wanajua kwanza hana maamuzi yeyote.

Hii ya kugombea urais ni Mbowe kukubali amuweke Lisu ili zimtoke hela zake yeye Mbowe mfukoni au kumuweka Nyalandu ataejitegemea kifedha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
nani kakudanganya Lissu hana hela?
Lissu anajua anachokifanya na ana baraka zote za Mbowe.
 
Back
Top Bottom