Uchaguzi 2020 Mashabiki wengi wa Tundu Lissu ni wa mitandaoni hawako kamati kuu wala mkutano mkuu wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mashabiki wengi wa Tundu Lissu ni wa mitandaoni hawako kamati kuu wala mkutano mkuu wa CHADEMA

Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
Ya nini mwaweweseke hivyo?
 
Ila kweli sioni ni jinsi gani Mbowe atakubaliana na wahuni wapiga kabobo wasio hata na kadi ampitishe ombaomba Lissu amuache Nyalandu ambae angejigharamia katika mchakato wote wa uchaguzi. Hii akili siioni kwa mchaga yeyote mzima kichwani
 
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
Kajambe hukooo!
 
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
ahahahaha wajumbe siyo watu by steve nyerere
 
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
Umejuaje kama si umbeya! Kwani tunatembea na nembo?/ acha ushabiki maandazi
 
Lissu ndo tegemeo upinzani, nyarandu kwa siasa za ushindani na magu hawezi kamwe
 
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!

Mgombea urais kupitia Chadema ni Tundu Lissu
 
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.

Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.

CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.

Maendeleo hayana vyama!
Inaonekana amewashika pabaya eti poleni saana Lumumba
 
Back
Top Bottom