Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapingana na mleta mada anayesema humu JF wengi si makada bali watanzania wasio wanachama wa chama chochote! So Lissu anaungwa mkono na wananchi wengi wasio na vyama, nimeipenda sana hii! Hata mimi sina kadi ya chama chochote ila namuunga mkono Lissu!Yatakuelewa sasa haya mabavicha ya humu mitandaoni?
Huna kadi ya mpiga kura sasa ndio shida ilipoUnapingana na mleta mada anayesema humu JF wengi si makada bali watanzania wasio wanachama wa chama chochote! So Lissu anaungwa mkono na wananchi wengi wasio na vyama, nimeipenda sana hii! Hata mimi sina kadi ya chama chochote ila namuunga mkono Lissu!
Kadi ya chama, soma vizuri!Huna kadi ya mpiga kura sasa ndio shida ilipo
Nyalaundu ina maana ana watu wengi kwenye kamati,kuliko Lisu hiyo ni CHAI.Acheni kutengeneza vichwa habari cha msingi muda utafika mbivu na mbichi zitafahamika.Ila hivi vingine ni story za vijiiwe vya kahawa.Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.
Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.
CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.
Maendeleo hayana vyama!
na wa CCM atazipata kutoka wapi??Lisu hela awe nazo katoa wapi?
Nyarandu tunajua alizipata kwa kupiga kwenye utalii,
Wale CCM wana vitega uchumi na wengine wanazo za ufisadi!na wa CCM atazipata kutoka wapi??
Chadema siyo lazima watumie mbinu za dhulma na za kifisadi kama za chama chetu CCM.Wale CCM wana vitega uchumi na wengine wanazo za ufisadi!
. Sasa hebu twambie chadema hela watatoa wapi na ruzuku ndio hizi mwenyekiti kapiga
Na JiweUmakamu mwenyekiti alishindana na nani?
Alishindana na yesu wa ChatoNasubiri majibu.
Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.
Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.
CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.
Maendeleo hayana vyama!
Yohana Mbatizaji mbona hilo halikuhusuu!!Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.
Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.
CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.
Maendeleo hayana vyama!
Mleta mada naona unateseka saana na TALissu!!Hili ni tatizo linalomgharimu Tundu Lissu katika siasa zake za kila siku.
Wengi wa wale wanaomuunga mkono ni mashabiki tu wa CHADEMA lakini siyo wanachama na unazi wao unaishia mitandaoni kama hapa Jf tu.
CHADEMA wanaamini katika ubepari na katika hilo Nyalandu ndiye candidate bora hata Lissu mwenyewe anajua ila wale akina mmawia ndio wanamjaza upepo wa kujitoa ufahamu.
Maendeleo hayana vyama!
Ngoja tuone!Mleta mada naona unateseka saana na TALissu!!
Moja;
Makada wa CDM walipo hukumiwa kifungo au faini moto wa kuchanga ulianzia hapa kwenye mitandao, ukakolea nchi nzima faini zikalipwa!!
Mbili;
Tundu Lissu bila kuwepo alidhaminiwa na watu nchi nzima from west lake zone, central, southen regions cost regions Tanga hadi Zenj to Pemba!!
Hizo ni form tu za kudhamini kampeini bado!!
Ukisikia hivyo unasikia tumbo la kuhara, Bado jamaa anakuja phisical kama muujiza vile!!
Hata fedha za kampeini tutachanga kama hana tulia dawa ikolee!!