Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Happycuit

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2013
Posts
646
Reaction score
542
Japo mimi ni shabiki wa Yanga ila hili siliungi mkono, wametudhalilisha sana na kuonekana sisi ni watu wenye ulimbukeni mkubwa wa mafanikio, tumeonekana sisi hatuna akili.

Mbona wenzetu Simba wamechukua kombe mara nne mfululizo na kufanikiwa kufika hatua za mbali michuano ya kimataifa ila hawajacheza uchi?

Tujirekebishe

Sijapenda, sijapenda, sijapenda nimeumia sana kuona jezi yetu inadhalilishwa vile[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Bila picha au video huu Uzi ufutwe hauna maana na ni uzushi tu
Unataka nipigwe ban?heee we vipi, kwani hujaiona?nenda sehemu husika utaiona mbona zimesambaa tele,ningekuwa na idhini ya kuweka hapa ningeiweka tu ila hili ni jukwaa la michezo tu
 
Japo mimi ni shabiki wa yanga ila hili siliungi mkono,wametudhaliliaha sana na kuonekana sisi ni watu wenye ulimbukeni mkubwa wa mafanikio,tumeonekana sisi hatuna akili....

Mbona wenzetu Simba wamechukua kombe mara nne mfululizo na kufanikiwa kufika hatua za mbali michuano ya kimataifa ila hawajafanya huo upumbavu???

Tujirekebishe,

Sijapenda, sijapenda ,sijapendanimeumia sana kuona jezi yetu inadhalilishwa vile😥😥😥😥😥😥
Bila picha ni uzushi
 
Huna picha ww, umepata stry tu. Watu wamevaa tight na madera unaita uchi. Watu wamebalikiwa maumbo hawapendi kukaa uchi. Umbo linaluhusu
Kwenye hiyo video hakuna uthibitisho kwamba wanashangilia ujio wa feitoto ila wamevaa jezi za yanga na wako uchi wananyonyana k utafikiri wanaigiza movie ya pilau.
 
Yaani yule aliyevaa ile jezi nyeusi hadi kinyaa, amekula mpaka kinyesi uuuuuuhhhhwwww dunia simama nishuke mwenzenu ,walimwengu siwawezi
Kama ndivyo hivyo siwezi angalia abadaaaan.... huwa sipendi connection za hivyo maana nimesikiq story tuu na kuhisi ni mbaya sanaaa
 
Mwanzoni nilifikiri ni waimbaji wa singeli na mchriku, mara naona watu wako uchi wananyonyana k utafikiri wanaigiza movie ya pilau.
Weka picha mkuu[emoji39][emoji39]
 
Hata kascreenshoot tu tutoe tongotongo la vibumbu vya utopolo
 
Back
Top Bottom