Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Japo mimi ni shabiki wa Yanga ila hili siliungi mkono, wametudhalilisha sana na kuonekana sisi ni watu wenye ulimbukeni mkubwa wa mafanikio, tumeonekana sisi hatuna akili.

Mbona wenzetu Simba wamechukua kombe mara nne mfululizo na kufanikiwa kufika hatua za mbali michuano ya kimataifa ila hawajacheza uchi?

Tujirekebishe

Sijapenda, sijapenda, sijapenda nimeumia sana kuona jezi yetu inadhalilishwa vile[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Weka picha, vinginevyo ni akina Ashura wanapiga umbea
 
Weka picha, vinginevyo ni akina Ashura wanapiga umbea
Kuna link ya twitter hapo kuna mdau kajilipua kuiweka ifuate,mimi nimeifuata ila najuta maana hata chakula nimeshindwa kula[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Uto mizinguo sana,nilikuwa najua stori tu kumbe loh
 
Kuna link ya twitter hapo kuna mdau kajilipua kuiweka ifuate,mimi nimeifuata ila najuta maana hata chakula nimeshindwa kula[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Uto mizinguo sana,nilikuwa najua stori tu kumbe loh
Nasisitiza, bila picha ni Mwajuma mdala ndefu yupo umbeani..!!
 
Kuna link ya twitter hapo kuna mdau kajilipua kuiweka ifuate,mimi nimeifuata ila najuta maana hata chakula nimeshindwa kula[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Uto mizinguo sana,nilikuwa najua stori tu kumbe loh
🤣🤣
 
Aliysema kuwa huko yanga yamejaa mataahira hakukosea kabisa, ile video ni ya kishetani kabisa, watu wenye akili timamu hawawezi kufanya mambo yale tena hadharani !!!
Mbumbumbu/Makolokolo/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Mikia/Ngada FC kwenye ubora wako, au siyo [emoji848][emoji16]
 
Japo mimi ni shabiki wa Yanga ila hili siliungi mkono, wametudhalilisha sana na kuonekana sisi ni watu wenye ulimbukeni mkubwa wa mafanikio, tumeonekana sisi hatuna akili.

Mbona wenzetu Simba wamechukua kombe mara nne mfululizo na kufanikiwa kufika hatua za mbali michuano ya kimataifa ila hawajacheza uchi?

Tujirekebishe

Sijapenda, sijapenda, sijapenda nimeumia sana kuona jezi yetu inadhalilishwa vile[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
hao sio mashabiki wa yanga ni wahuni wamevaa jezi za yanga na kufanya uovu
 
mimi nimeiona hiyo clipu kuna mtu mmoja tu kavaa jezi ya yanga
Acha uwongo wewe, [emoji23][emoji23][emoji23]

Yule anayenyonya matacle kavaa jezi ya ushindi ile nyeusi na wale wanaopiga ngoma wote wamevaa jezi za kijani...

Hiyo video ipo ndefu yenye dk 31 inawaoneaha hao wanawake kabla hawajavua nguo walikuwa wamevaa jezi ile ya njano.....
 
Acha uwongo wewe, [emoji23][emoji23][emoji23]

Yule anayenyonya matacle kavaa jezi ya ushindi ile nyeusi na wale wanaopiga ngoma wote wamevaa jezi za kijani...

Hiyo video ipo ndefu yenye dk 31 inawaoneaha hao wanawake kabla hawajavua nguo walikuwa wamevaa jezi ile ya njano.....
kuvaa jezi haimaanishi hao ni wana yanga
 
Acha uwongo wewe, [emoji23][emoji23][emoji23]

Yule anayenyonya matacle kavaa jezi ya ushindi ile nyeusi na wale wanaopiga ngoma wote wamevaa jezi za kijani...

Hiyo video ipo ndefu yenye dk 31 inawaoneaha hao wanawake kabla hawajavua nguo walikuwa wamevaa jezi ile ya njano.....
[emoji15][emoji15][emoji15] ya dakika 31 umeiona wapi?
 
Acha uwongo wewe, [emoji23][emoji23][emoji23]

Yule anayenyonya matacle kavaa jezi ya ushindi ile nyeusi na wale wanaopiga ngoma wote wamevaa jezi za kijani...

Hiyo video ipo ndefu yenye dk 31 inawaoneaha hao wanawake kabla hawajavua nguo walikuwa wamevaa jezi ile ya njano.....
Duh nipo kwenye wifi ya bure hapa hebu nipe link hiyo niione yote Mkuu
 
Back
Top Bottom