Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Huna picha ww, umepata stry tu. Watu wamevaa tight na madera unaita uchi. Watu wamebalikiwa maumbo hawapendi kukaa uchi. Umbo linaluhusu.
Usibishe. Ni video... Wanawake wanacheza uchi kabisa na jamaa mmoja ananyonya K. Mwingine anaipapasa wazi kabisa. Tunasherehekea kurudishwa Fei Toto...🤣
 
Itakuwa wamejifunza kwa Morrison, kipindi akiwa Simba alikuwa anamwaga radhi na jichupi lake la bluu...
 
Zile pisi tuache ushabiki zina vibes la hatari, nawapongeza Yanga Kwa like vibe la nguvu, ule mnonyo demu anawaza kunyonywa tu kuna Cha kujifunza pale, kwanini watu hawakuwa wanapeleka moto zile mbususu kuna kitu pale sio bure
 
Unataka nipigwe ban?heee we vipi, kwani hujaiona?nenda sehemu husika utaiona mbona zimesambaa tele,ningekuwa na idhini ya kuweka hapa ningeiweka tu ila hili ni jukwaa la michezo tu
Ila Happycut, ulivyowauliza wale watu walikujibu kuwa wanasherekea kurudi kwa Feitoto?
 
Binafsi nimeona ile video imenisikitisha sana. Nahisi furaha yao ilikuwa baada ya matokeo ya mechi ngumu dhidi ya Azam. Na inaonekana walikuwa wamelewa wote.
Jinsia gani hao mashabiki?
 
Duuuuh hii ni Tz au Jamaica. Kwa hili Yanga nawapa pongezi haaaa haaa
Shadeeya nitumie na wewe?
Muite kwa nguvu aje atupe koneksheni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]





Shadeeya PITA HUKU [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Alafu kwa kutaka kuzima hili viongozi wao wanadai wamemsajili miquisson na wamempa namba 11 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ili mazamwamwa wasahau ya fei na hili
 
Back
Top Bottom