Mashaka Marura: Mzaliwa wa 1933 ambaye bado yuko fiti, awathibitishia waandishi Dodoma

Mashaka Marura: Mzaliwa wa 1933 ambaye bado yuko fiti, awathibitishia waandishi Dodoma

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika kuelekea World Press Freedom Day, ambayo huadhimishwa kila tarehe 3 Mei, waandishi waliandaa marathon ya kilomita 10. Mbio hizo zilifanyika Dodoma ambao wanatasnia wa habari wamekusanyika kwa ajili ya kuipamba siku ya uhuru wa habari duniani.

Mbio hizo zimefanyika Mei Mesi, na zilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma. Hata hivyo Mzee Mashaka Marura, ameonesha umwamba kwa kuwa mbele ya msafara katika marathon hiyo tangu mwanzo hadi mwisho na bado alikuwa anaonesha ana nguvu na shauku ya kuendelea kukimbia.

Mashaka aliwataarifu wanahabari kuwa yeye hukimbia walau kilomita kumi na moja, kwa siku. Na yuko vizuri kiafya mbali na umri wake mkubwa wa takriban miaka 91 maana amezaliwa mwaka 1933. Mzee Mashaka amesema yeye mara yake ya mwisho kwenda hositali ilikuwa ni miaka sita iliyopita.

Mzee huyu ambaye sasa anaishi kwa kukimbia tu, maana aliacha biashara ndogondogo alizokuwa anafanya awali. Kupitia riadha mzee Mashaka amekuwa akiwahamasisha watu mbalimbali wakiwemo viongozi kwa kushiriki kwenye marathon zao.

Tanzania, inayokabiliwa na magonjwa mengi yasiyoambukiza wana mengi ya kujifunza kutoka kwa mzee Mashaka, aidha kufanya watu wengi waone mazoezi ni moja kati ya tiba adhimu ambaye inabidi iwe njia ya maisha

1714566137382.png

Picha 1: Mzee Mashaka akiwa na mmoja wa waandishi walishiriki marathon Dodoma


1714566229169.png

Mzee Mashaka akiwa kwenye finish line ya marathon baada ya kumaliza mbio​
 
Katika kuelekea World Press Freedom Day, ambayo huadhimishwa kila tarehe 3 Mei, waandishi waliandaa marathon ya kilomita 10. Mbio hizo zilifanyika Dodoma ambao wanatasnia wa habari wamekusanyika kwa ajili ya kuipamba siku ya uhuru wa habari duniani.

Mbio hizo zimefanyika Mei Mesi, na zilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma. Hata hivyo Mzee Mashaka Marura, ameonesha umwamba kwa kuwa mbele ya msafara katika marathon hiyo tangu mwanzo hadi mwisho na bado alikuwa anaonesha ana nguvu na shauku ya kuendelea kukimbia.

Mashaka aliwataarifu wanahabari kuwa yeye hukimbia walau kilomita kumi na moja, kwa siku. Na yuko vizuri kiafya mbali na umri wake mkubwa wa takriban miaka 91 maana amezaliwa mwaka 1933. Mzee Mashaka amesema yeye mara yake ya mwisho kwenda hositali ilikuwa ni miaka sita iliyopita.

Mzee huyu ambaye sasa anaishi kwa kukimbia tu, maana aliacha biashara ndogondogo alizokuwa anafanya awali. Kupitia riadha mzee Mashaka amekuwa akiwahamasisha watu mbalimbali wakiwemo viongozi kwa kushiriki kwenye marathon zao.

Tanzania, inayokabiliwa na magonjwa mengi yasiyoambukiza wana mengi ya kujifunza kutoka kwa mzee Mashaka, aidha kufanya watu wengi waone mazoezi ni moja kati ya tiba adhimu ambaye inabidi iwe njia ya maisha

View attachment 2978238
Picha 1: Mzee Mashaka akiwa na mmoja wa waandishi walishiriki marathon Dodoma


View attachment 2978248
Mzee Mashaka akiwa kwenye finish line ya marathon baada ya kumaliza mbio​
Hongera zake bwana naona somo la janabi lilimuingia vizuri sana 😅
 
Hana miaka 91. Akaulizie vizuri mwaka wake wa kuzaliwa.
 
Katika kuelekea World Press Freedom Day, ambayo huadhimishwa kila tarehe 3 Mei, waandishi waliandaa marathon ya kilomita 10. Mbio hizo zilifanyika Dodoma ambao wanatasnia wa habari wamekusanyika kwa ajili ya kuipamba siku ya uhuru wa habari duniani.

Mbio hizo zimefanyika Mei Mesi, na zilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma. Hata hivyo Mzee Mashaka Marura, ameonesha umwamba kwa kuwa mbele ya msafara katika marathon hiyo tangu mwanzo hadi mwisho na bado alikuwa anaonesha ana nguvu na shauku ya kuendelea kukimbia.

Mashaka aliwataarifu wanahabari kuwa yeye hukimbia walau kilomita kumi na moja, kwa siku. Na yuko vizuri kiafya mbali na umri wake mkubwa wa takriban miaka 91 maana amezaliwa mwaka 1933. Mzee Mashaka amesema yeye mara yake ya mwisho kwenda hositali ilikuwa ni miaka sita iliyopita.

Mzee huyu ambaye sasa anaishi kwa kukimbia tu, maana aliacha biashara ndogondogo alizokuwa anafanya awali. Kupitia riadha mzee Mashaka amekuwa akiwahamasisha watu mbalimbali wakiwemo viongozi kwa kushiriki kwenye marathon zao.

Tanzania, inayokabiliwa na magonjwa mengi yasiyoambukiza wana mengi ya kujifunza kutoka kwa mzee Mashaka, aidha kufanya watu wengi waone mazoezi ni moja kati ya tiba adhimu ambaye inabidi iwe njia ya maisha

View attachment 2978238
Picha 1: Mzee Mashaka akiwa na mmoja wa waandishi walishiriki marathon Dodoma


View attachment 2978248
Mzee Mashaka akiwa kwenye finish line ya marathon baada ya kumaliza mbio​
Hamnaga marathon ya 10km...
 
Ndio habari mnaweza waandishi wa Tanzania hizi. Habari za maana akhaaaa!
 
Umepiga Kwenye Mshono Tena Wenyewe Watakwambia Hiyo Ni Habari Ya Uchunguzi
Hivi ndio vyanzo vya habari wanazotaka. Nature inawapa vichwa vya habari kibao ila wamefungwa kamba na kuzibwa midomo na bahasha sijui uoga. Hebu waulize

Makonda alisema anataja mawaziri wanaomtuna Rais hadi leo kimyaaaaa hakuna aliyemtafuta kumuuliza wala nini.

Ile dogo kima ikasema watawapoteza watu na polisi wasingiilie hakuna aliyempigia simu RPC wala IGP kufatilia kama ni halali kauli kama zile kwa jamii tena kutoka kwa kiongozi wa chama
 
Hivi ndio vyanzo vya habari wanazotaka. Nature inawapa vichwa vya habari kibao ila wamefungwa kamba na kuzibwa midomo na bahasha sijui uoga. Hebu waulize

Makonda alisema anataja mawaziri wanaomtuna Rais hadi leo kimyaaaaa hakuna aliyemtafuta kumuuliza wala nini.

Ile dogo kima ikasema watawapoteza watu na polisi wasingiilie hakuna aliyempigia simu RPC wala IGP kufatilia kama ni halali kauli kama zile kwa jamii tena kutoka kwa kiongozi wa chama
Wanatia Kinyaa Sana Sana Mfano Kesho Vichwa Vya Habari Vitawapamba CCM Sana Bila Kuangalia Maslahi Ya Wafanyakazi Hata Kumfata Waziri Husika Wanaogopa
 
Hivi ndio vyanzo vya habari wanazotaka. Nature inawapa vichwa vya habari kibao ila wamefungwa kamba na kuzibwa midomo na bahasha sijui uoga. Hebu waulize

Makonda alisema anataja mawaziri wanaomtuna Rais hadi leo kimyaaaaa hakuna aliyemtafuta kumuuliza wala nini.

Ile dogo kima ikasema watawapoteza watu na polisi wasingiilie hakuna aliyempigia simu RPC wala IGP kufatilia kama ni halali kauli kama zile kwa jamii tena kutoka kwa kiongozi wa chama
Kabla hujawalaumu waandishi wewe ushawahi jitokeza kusemea yale unayoyaona sio sawa? Waandishi ni binadamu kama wewe wenye kulinda maisha yao kwa wivu mkubwa. Au mnataka wajitoe mhanga ili nyie waoga mseme walikufa kishujaa?
 
Wanatia Kinyaa Sana Sana Mfano Kesho Vichwa Vya Habari Vitawapamba CCM Sana Bila Kuangalia Maslahi Ya Wafanyakazi Hata Kumfata Waziri Husika Wanaogopa
Kabla hujawalaumu waandishi wewe ushawahi jitokeza kusemea yale unayoyaona sio sawa? Waandishi ni binadamu kama wewe wenye kulinda maisha yao kwa wivu mkubwa. Au mnataka wajitoe mhanga ili nyie waoga mseme walikufa kishujaa?
 
Back
Top Bottom