Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Huyo mzee utakuta ana wake 3/4 na anapiga goli 4 kwa usiku mmoja.
Hongera kwake.
Hongera kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We sijui wa wapi wewe! Nijitokeze nisemee wapi ni visemeo mimi? Mimi sikusomea uandishi wa habari kwa hiyo jukumu langu la awali sio kuwasemea wananchi ila ni kutenda niliyoajiriwa/kujiajiri nayo. Waandishi wamesomea na wanajukumu la kimsingi kufanya hayo.Kabla hujawalaumu waandishi wewe ushawahi jitokeza kusemea yale unayoyaona sio sawa? Waandishi ni binadamu kama wewe wenye kulinda maisha yao kwa wivu mkubwa. Au mnataka wajitoe mhanga ili nyie waoga mseme walikufa kishujaa?
Basi tuliza kinyeo hicho kama huwezi kuongea chochote.We sijui wa wapi wewe! Nijitokeze nisemee wapi ni visemeo mimi? Mimi sikusomea uandishi wa habari kwa hiyo jukumu langu la awali sio kuwasemea wananchi ila ni kutenda niliyoajiriwa/kujiajiri nayo. Waandishi wamesomea na wanajukumu la kimsingi kufanya hayo.
Chagula kikuu Dodoma ni ugali na funzaDodoma chakula kikuu ni ugali,mboga za majani na nyama
Safi umri namba tu.Katika kuelekea World Press Freedom Day, ambayo huadhimishwa kila tarehe 3 Mei, waandishi waliandaa marathon ya kilomita 10. Mbio hizo zilifanyika Dodoma ambao wanatasnia wa habari wamekusanyika kwa ajili ya kuipamba siku ya uhuru wa habari duniani.
Mbio hizo zimefanyika Mei Mesi, na zilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma. Hata hivyo Mzee Mashaka Marura, ameonesha umwamba kwa kuwa mbele ya msafara katika marathon hiyo tangu mwanzo hadi mwisho na bado alikuwa anaonesha ana nguvu na shauku ya kuendelea kukimbia.
Mashaka aliwataarifu wanahabari kuwa yeye hukimbia walau kilomita kumi na moja, kwa siku. Na yuko vizuri kiafya mbali na umri wake mkubwa wa takriban miaka 91 maana amezaliwa mwaka 1933. Mzee Mashaka amesema yeye mara yake ya mwisho kwenda hositali ilikuwa ni miaka sita iliyopita.
Mzee huyu ambaye sasa anaishi kwa kukimbia tu, maana aliacha biashara ndogondogo alizokuwa anafanya awali. Kupitia riadha mzee Mashaka amekuwa akiwahamasisha watu mbalimbali wakiwemo viongozi kwa kushiriki kwenye marathon zao.
Tanzania, inayokabiliwa na magonjwa mengi yasiyoambukiza wana mengi ya kujifunza kutoka kwa mzee Mashaka, aidha kufanya watu wengi waone mazoezi ni moja kati ya tiba adhimu ambaye inabidi iwe njia ya maisha
View attachment 2978238
Picha 1: Mzee Mashaka akiwa na mmoja wa waandishi walishiriki marathon Dodoma
View attachment 2978248
Mzee Mashaka akiwa kwenye finish line ya marathon baada ya kumaliza mbio
apo ni mawili ama anaishi mwenyewe sinia bachela au kaoa wake wengi. 0 stress.Atakuwa hajaowa ndiyo maana anaishi kwa Amani hadi kuweza kufukisha miaka hiyo.
Na nitabarikiwa sana.