Mashaka Marura: Mzaliwa wa 1933 ambaye bado yuko fiti, awathibitishia waandishi Dodoma

Huyo mzee utakuta ana wake 3/4 na anapiga goli 4 kwa usiku mmoja.
Hongera kwake.
 
Kabla hujawalaumu waandishi wewe ushawahi jitokeza kusemea yale unayoyaona sio sawa? Waandishi ni binadamu kama wewe wenye kulinda maisha yao kwa wivu mkubwa. Au mnataka wajitoe mhanga ili nyie waoga mseme walikufa kishujaa?
We sijui wa wapi wewe! Nijitokeze nisemee wapi ni visemeo mimi? Mimi sikusomea uandishi wa habari kwa hiyo jukumu langu la awali sio kuwasemea wananchi ila ni kutenda niliyoajiriwa/kujiajiri nayo. Waandishi wamesomea na wanajukumu la kimsingi kufanya hayo.
 
Basi tuliza kinyeo hicho kama huwezi kuongea chochote.
 
Safi umri namba tu.
 
Daa, ngoja nianze kutafuta mashine ya kukimbia, maana huku mtaani unaweza ukaitwa chizi
 
Atakuwa hajaowa ndiyo maana anaishi kwa Amani hadi kuweza kufukisha miaka hiyo.
 
Anaweza kufikisha hiyo miaka Maana mwaka 1998 alikuwa anatuuzia uzia pipi na karanga shuleni hapo Dodoma na kwa kumkadiria umri wake kwa miaka hiyo alikuwa na miaka zaidi ya 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…