Mashallah Zarina Hassan kaolewa

Possible kabisaa...
Nadhani wasanii wa bongo Kwa Hela Hakim aka Nassib Abdul[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]anaongoza
Ana vitega uchumi vingi ACHA nyumba za Kigoma hukoo
Tuwekeni tu unaafiki pembeni

Kama kaamua kujiwekeza basi anastahili pongezi
Kuna wasanii wanakufa na majina tu hawana kitu
 
Hakika Ndoa ni stara , wengine huku usiku unaanza kuwaza sijui nimcheki mwaju kama yupo online mara Eva ukilala unaanza kuota unavamiwa na jambazi kama Uzi wa nani sijui nmeonaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…