[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Akothee nae anachachukaga vibaya mnoo.Na ninampendaga...
Yule ndiyo huwa kiboko ya Zari....Hafurukuti pale....
Wakati walipogombana Akothee alimwambia asikie tu hata amemtaja kwa bahati mbaya...Atamjua[emoji1787]
Kabisa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zari akaufyata!anamjua maneno yake,kwanza soma tu Yale magazeti yake ndio utajua kichwa chake kikoje!Yuko smart Sana yule dada anajua kucheza na fursa sema kuna muda anajitiaga Chizi[emoji1787][emoji1787]
Nampenda saaaaaana pia and am happy for her new life
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Akothee nae anachachukaga vibaya mnoo.
Jibu konki kabisa,Kama mlinzi unaacha lindo wazi mwizi afanyaje?π€£π€£π€£π€£π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna Interview yake moja Aliukizwa inasemekana ameiba Bwana wa watu...
Akajibu..."Wakati Bwana anaibiwa Mlinzi wa kulinda Bwana alikuwa wapi"[emoji1][emoji1][emoji1]
Zari ubongo wake Ni mdogo sanaaa hawezi kushindana na Ile jaluo akili yake ni kubwaaa,Zari acha awaonee kina Hamisa na zuchu tu hukuKabisa..
Ana akili mno...ila ndiyo hivyo kuna muda anajizimaga data...
Zari hadi kesho hata umchokonoe vipi kuhusu Akothee hajibu[emoji1787]Anamjua alivyo na mdomo mchafu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jibu konki kabisa,Kama mlinzi unaacha lindo wazi mwizi afanyaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisa...Zari ubongo wake Ni mdogo sanaaa hawezi kushindana na Ile jaluo akili yake ni kubwaaa,Zari acha awaonee kina Hamisa na zuchu tu huku
Hahaha............kumbe hadi kuna President wa MaSingle Mother πMwezi huu wameolewa mapresident wa masingle Maza toka nchi mbili tofauti wote Wana watoto 5,aged45+ kwa hiyo muache bint asome zake mpaka hiyo PHD ndoa zipo tuπππ
Eeeh wapo,Tena huyu mmoja ndio alikuwa anakipenda Sana cheo chake kila akimaliza maelezo anajiita yeye Ni madam president π€£π€£π€£π€£Hahaha............kumbe hadi kuna President wa MaSingle Mother π
Thanks for the courage, wacha asome huenda akaja kuwa our next president miaka ijayo
Amejikubali na amekuwa proud na cheo chake π€ͺEeeh wapo,Tena huyu mmoja ndio alikuwa anakipenda Sana cheo chake kila akimaliza maelezo anajiita yeye Ni madam president π€£π€£π€£π€£
Umenichekesha eti mtoto anaweza kuja kuwa the coming presidentπ€£π€£
tangu arushege ile video anajisugua miaka ileee, hadi wajukuu watakuja kuiona, na ndio laana anatembea nayo ya kuolewa na vitoto vidogo.Bosslady na socialite Zarina Hassan Aka mama watano na mdada mwenye mbwembwe East Africa ameolewa Jana Kwa Ndoa ya kidini Huko Kwa Uganda
Picha zimetrend akiwa na anavalishwa Pete na huyo mmewe mpya
Kiukweli mi mmefurahi Sana maana dini inatuambia Ndoa ni nusu ya dini hvyo amekamilisha nusu ya dini yake haijalishi kaolewa na masikini,tajiri,sijui mara katoto n.k
Nimeona Instagram Watu wamemponda Sana kuwa kaolewa na katoto mara sijui hana pesa. Honestly tuacheni wivu Ndoa ni Mungu anapanga nani atakuoa na kwa wakati gani muhimu ni dua tu kupata mume mwema
Tuacheni wivu,chuki na hasad Zari anaweza kuwa alikuwa gold digger lakini kaamua kubadilika atulie kaolewa maisha ni mafupi sana kuna muda wa kutubia
Kama zinaa kaifanya mnoo mpaka kufikia kuzaa watoto wote wale
Hao wenye pesa Sio ambao Mungu alimpangia kuolewa nao
Kwa sisi wenye dini zetu (Kwa wapagani mtanisamehe)
Ndoa ni heshima pia Kwa kuwa watoto wake kwa sasa ni wakubwa wanahitaji kuona mama ametulia kudanga danga na wanaume kwa umri wake haileti picha Nzuri haswa kwa tamaduni zetu za kiafrica
Nawaombea Kila kheri ktk Ndoa yake na mumewe katika maisha yake mapya ya Ndoa akamtii mumewe na ajue Kwa Sasa km ni Ndoa ya kiislam baasii mume Ndo Pepo yake akatulie
Huyo president wa single mama ana miliki Safari company,ana hotel,hizo land cruiser za porini za kutosha,ana ma real estate akienda kwenye graduation za watoto wake anakodi private jet...so usijali ukiona Hadi anakuwa madam president V8 utapandaAmejikubali na amekuwa proud na cheo chake π€ͺ
Hakuna Mzazi anamuombea kijana wake mabaya, hapa nina hamu ya kuendeshwa na magari ya Ikulu. Kitu V8 ππ
Huyo yuko vizuri, na Wanaume tulivyo na fear kwa Wanawake wenye kipato, unaweza kuta huyo Madam President hapati Mtongozo Mwaka Mzima.Huyo president wa single mama ana miliki Safari company,ana hotel,hizo land cruiser za porini za kutosha,ana ma real estate akienda kwenye graduation za watoto wake anakodi private jet...so usijali ukiona Hadi anakuwa madam president V8 utapanda
π€£π€£π€£π€£π€£ HatariHuyo yuko vizuri, na Wanaume tulivyo na fear kwa Wanawake wenye kipato, unaweza kuta huyo Madam President hapati Mtongozo Mwaka Mzima.
Na ile huduma nyingine kuipata mpaka akutane na Kimasiahara ya Rick Boy πππ
π π ππ€£π€£π€£π€£π€£ Hatari