Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Sang'udi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2016
Posts
9,138
Reaction score
22,236
Ninajiuliza:

• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?

• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?

• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?

Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.

Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang

Hongera zao sana. 😁

Muwe na Alhamisi njema.
 
Naona kuna mchezo unaendelea wa kuwazubaisha watu ili wasahau madai ya msingi ya taifa letu kwa sasa, Katiba Mpya na madudu mengine kwenye sekta ya nishati.

Unapoona mtu hata kama ni mnafiki, kila siku anakuja na malalamiko kuhusu makosa aliyofanya marehemu, lakini akiambiwa aungane na wengine kutafuta solution ili makosa kama hayo yasijirudie, yeye anakimbilia kutaka Tume Huru kwanza, ujue huyo mtu hajielewi, ametumwa, na ni mbinafsi.

Hata kama akija na kisingizio cha haki yake ya kutoa maoni, ajue hayo maoni ya kulalamika kila siku bila kuja na solution ni kelele tu kwa wanaojielewa, namshauri aache utapeli wa kuchezea akili za wajinga, aweke maslahi ya taifa letu mbele bila kujali nani yupo madarakani.
 
Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

Watu hawakuwa na uhuru wa kuongea, anaefungua mdomo anaokotwa kwenye kiroba
 
Watu wanaongea ukweli uliokua ukifichwa wewe unaona kama ni mashambulizi.

Yaani tunayo kazi ya kubadili mfumo wetu wa elimu watoto hujengewa kutii tu hata uovu kisa kaambiwa na mkubwa wake.

Akiumizwa hawataki azungumze hadharani bali pembeni , mwisho wa siku mkubwa akiwa hayupo akisemwa wanaona ni dhambi kumbe chanzo ni utamaduni.

Hii inayoitwa legacy ni inajipambanua ilivyokua na uchafu wake ndio maana watu hawakupewa upenyo wa kutoa maoni japo chumvi zinaweza kuwepo ila 90% ya yaongelewayo ni sahihi kabisa.

Acha legacy ivune ilichopanda ni wakati wa ukweli kujitenga na uongo na propaganda za miaka 6.
 
Ninajiuliza:

• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?

• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?

• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?

Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.

Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang

Hongera zao sana. 😁

Muwe na Alhamisi njema.
Umeonaaaaeeew msogab3 gang 0
 
Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

Watu hawakuwa na uhuru wa kuongea, anaefungua mdomo anaikotwa kwenye kiroba
Hakuna sehemu ripoti ya CAG imeonyesha wizi.
 
Ninajiuliza:

• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?

• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?

• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?

Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.

Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang

Hongera zao sana. 😁

Muwe na Alhamisi njema.
Soma ripoti ya CAG uone wizi na ubadhirifu uliofanywa na Mwendakuzimu kuzimu na genge lake laTan Roads
Miaka ya nyuma wizi na ubadhirifu huu ulifichwa kwa makusudi baada ya Magu kumtumia Ndugai kumuondoa mtu muadlifu asiyetetereka Prof Assad sasa MAMBO HADHARANI .
Kama ulitegemea Mama arithi uchafu wa wezi wa Washamba/Sukumagang umeula wa chuya
Washamba mmepigwa na kitu kizito na watoto wa mjini kiasi mnakimbilia Umoja Party huku hamjui ni mtoto atakayezaliwa MFU
 
Wao wale tu,ila wasiteke na kutesa watu na kuuwa watu. Nawaza tu sijachoma chanjo ya covid sababu ya kuogopa maumivu ya sindano. Vipi kuhusu Lissu aliyepgwa risasi 16 mwilini!!!!
Mbowe ana dhambi sana aisee.
 
Team jiwe wanaishi kama mashetani sasa awaamini kama mpira umeisha kabla ya dakika 90
Aliyekuwa director wa CIA na waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani alisema Bashite rafk yake na jiwe ni muuwaji. Tukumbuke Bashite hakuwa na cheti cha form four kilichomwezesha kusoma certificate na diploma ya uvuvi pale nyegezi Mwanza. Ila hakutumbuliwa na shoga yake
 
Watu wanaongea ukweli uliokua ukifichwa wewe unaona kama ni mashambulizi.

Yaani tunayo kazi ya kubadili mfumo wetu wa elimu watoto hujengewa kutii tu hata uovu kisa kaambiwa na mkubwa wake.

Akiumizwa hawataki azungumze hadharani bali pembeni , mwisho wa siku mkubwa akiwa hayupo akisemwa wanaona ni dhambi kumbe chanzo ni utamaduni.

Hii inayoitwa legacy ni inajipambanua ilivyokua na uchafu wake ndio maana watu hawakupewa upenyo wa kutoa maoni japo chumvi zinaweza kuwepo ila 90% ya yaongelewayo ni sahihi kabisa.

Acha legacy ivune ilichopanda ni wakati wa ukweli kujitenga na uongo na propaganda za miaka 6.
Undhani mfumo wa elimu ikibadirishwa itafanya watu waone kama uonavyo wewe?

Kwa nini tunamfumo wa vyama vingi?

Hivi wewe nawe ni msomi? Kama tunawasomi aina yako nchi nzima, basi tatizo linaanzia hapa!

Usomi wako unakupelekea kusema tubadiri mfumo wa elimu kwa sababu watu hawaoni kama unavyoona wewe?? Huu ni usomi wa kijinga kuwahi kutokea

Unataka kusema ikiwa tutakuwa na elimu uitakayo wewe, vyama vya siasa vitakufa..! Kwa sababu tutakuwa na muono mmoja?

Wewe ni msomi jinga! Hapa tusikufiche
 
Back
Top Bottom