Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Naona kuna mchezo unaendelea wa kuwazubaisha watu ili wasahau madai ya msingi ya taifa letu kwa sasa, Katiba Mpya.

Unapoona mtu hata kama ni mnafiki, kila siku anakuja na malalamiko kuhusu makosa aliyofanya marehemu, lakini akiambiwa aungane na wengine kutafuta solution ili makosa kama hayo yasijirudie, yeye anakimbilia kutaka Tume Huru kwanza, ujue huyo mtu hajielewi, ametumwa, na ni mbinafsi.

Hata kama akija na kisingizio cha haki yake kutoa maoni, hayo maoni ya kulalamika kila siku bila kuja na solution ni kelele tu kwa wanaojielewa, namshauri aache utapeli wa kuchezea akili za wajinga, aweke maslahi ya taifa letu mbele bila kujali nani yupo madarakani.
Zitto ni laana kwa hii nchi.

Lakini mkuu, ni kwa namna gani Katiba Mpya itakuwa mwarobaini wa haya maovu katika jamii zetu?

Wakenya wana Katiba bora kabisa karibu kuliko nchi zote Afrika, yet ndio taifa linaloongoza kwa rushwa na ukabila.

Hebu tueleze, ni vipi Katiba Mpya itakuwa mwarobaini bila kuwa na watu imara kama Magufuli?
 
Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

Watu hawakuwa na uhuru wa kuongea, anaefungua mdomo anaikotwa kwenye kiroba
Ilitoka Samia akiwa madarakani; yet she (and her fellow high profile politicians) never attacked her predecessor as she's been doing lately.
 
Watu wanaongea ukweli uliokua ukifichwa wewe unaona kama ni mashambulizi.

Yaani tunayo kazi ya kubadili mfumo wetu wa elimu watoto hujengewa kutii tu hata uovu kisa kaambiwa na mkubwa wake.

Akiumizwa hawataki azungumze hadharani bali pembeni , mwisho wa siku mkubwa akiwa hayupo akisemwa wanaona ni dhambi kumbe chanzo ni utamaduni.

Hii inayoitwa legacy ni inajipambanua ilivyokua na uchafu wake ndio maana watu hawakupewa upenyo wa kutoa maoni japo chumvi zinaweza kuwepo ila 90% ya yaongelewayo ni sahihi kabisa.

Acha legacy ivune ilichopanda ni wakati wa ukweli kujitenga na uongo na propaganda za miaka 6.
Ukweli upi ulifichwa, na nani?
 
Zitto ni laana kwa hii nchi.

Lakini mkuu, ni kwa namna gani Katiba Mpya itakuwa mwarobaini wa haya maovu katika jamii zetu?

Wakenya wana Katiba bora kabisa karibu kuliko nchi zote Afrika, yet ndio taifa linaloongoza kwa rushwa na ukabila.

Hebu tueleze, ni vipi Katiba Mpya itakuwa mwarobaini bila kuwa na watu imara kama Magufuli?
Udhaifu wa Katiba ya Kenya ukitumiwa vizuri utageuka somo kwetu kuwa na Katiba Mpya bora zaidi itakayoziba mashimo yote yanayoonekana kwenye Katiba ya sasa ya Kenya.

Wakenya kuwa na Katiba mbovu hakuna maana nasi tutakuwa na Katiba kama yao, unless tuamue kwa ujinga wetu makusudi kuyachukua makosa yao kama yalivyo.
 
Hivi ushoga( urafiki) wa jiwe na Bashite na Sabaya ulitokana na nini? Halafu unashangaa sasa hivi why do people speak loudly and openly😀😀! Hata mke wa Azory na Ben Saanane wanakushangaa! Ng'wanoko ebe
Jiwe, Bashite na Sabaya walikuwa na ushoga?
 
Nmemiss kuona miili ya watu ikiwa kwenye viloba ikielea baharini

Screenshot_20220325-204727.png
 
Soma ripoti ya CAG uone wizi na ubadhirifu uliofanywa na Mwendakuzimu kuzimu na genge lake laTan Roads
Miaka ya nyuma wizi na ubadhirifu huu ulifichwa kwa makusudi baada ya Magu kumtumia Ndugai kumuondoa mtu muadlifu asiyetetereka Prof Assad sasa MAMBO HADHARANI .
Kama ulitegemea Mama arithi uchafu wa wezi wa Washamba/Sukumagang umeula wa chuya
Washamba mmepigwa na kitu kizito na watoto wa mjini kiasi mnakimbilia Umoja Party huku hamjui ni mtoto atakayezaliwa MFU
Report ya CAG imeonesha wizi gani? Hebu tuwekee hapa kwa ufupi.
 
Ninajiuliza:

• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?

• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?

• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?

Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.

Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang

Hongera zao sana. [emoji16]

Muwe na Alhamisi njema.
Ni mjinga pekee anayeweza kusema mama hajafanya kazi
 
Aliyekuwa director wa CIA na waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani alisema Bashite rafk yake na jiwe ni muuwaji. Tukumbuke Bashite hakuwa na cheti cha form four kilichomwezesha kusoma certificate na diploma ya uvuvi pale nyegezi Mwanza. Ila hakutumbuliwa na shoga yake
Makonda alizuiliwa kuingia Marekani kwa kuvunja haki za kibinadamu za mashoga.

Ni wapi Mike Pompeo alisema Bashite ni muuaji? Unless na wewe ni shoga, hebu tuwekee hapa hicho chanzo.

Lakini pia utueleze academic qualifications za Ukuu wa Mkoa au nafasi nyingine ya kisiasa ili tuone kama kweli Magufuli alipaswa kumtumbua.
 
Undhani mfumo wa elimu ikibadirishwa itafanya watu waone kama uonavyo wewe?

Kwa nini tunamfumo wa vyama vingi?

Hivi wewe nawe ni msomi? Kama tunawasomi aina yako nchi nzima, basi tatizo linaanzia hapa!

Usomi wako unakupelekea kusema tubadiri mfumo wa elimu kwa sababu watu hawaoni kama unavyoona wewe?? Huu ni usomi wa kijinga kuwahi kutokea

Unataka kusema ikiwa tutakuwa na elimu uitakayo wewe, vyama vya siasa vitakufa..! Kwa sababu tutakuwa na muono mmoja?

Wewe ni msomi jinga! Hapa tusikufiche
Eti anataka tujenge jamii isiyokuwa na utii!! 😁
 
Udhaifu wa Katiba ya Kenya ukitumiwa vizuri utageuka somo kwetu kuwa na Katiba Mpya bora zaidi itakayoziba mashimo yote yanayoonekana kwenye Katiba ya sasa ya Kenya.

Wakenya kuwa na Katiba mbovu hakuna maana nasi tutakuwa na Katiba kama yao, unless tuamue kwa ujinga wetu makusudi kuyachukua makosa yao kama yalivyo.
Wakenya wana katiba mbovu?
 
Makonda alizuiliwa kuingia Marekani kwa kuvunja haki za kibinadamu za mashoga.

Ni wapi Mike Pompeo alisema Bashite ni muuaji? Unless na wewe ni shoga, hebu tuwekee hapa hicho chanzo.

Lakini pia utueleze academic qualifications za Ukuu wa Mkoa au nafasi nyingine ya kisiasa ili tuone kama kweli Magufuli alipaswa kumtumbuaKwa
Kwa hiyo kwa mujibu wa akili zako na Bashite na jiwe kupinga vitendo vya ushoga it amounts to kunyima rights to life? Hahahaha. Turudi kwenye vyeti, Bashite alitumia cheti chake cha form four kusomea uvuvi pale nyegezi Mwanza?Je Bashite alikuwa mtumishi wa umma? Je lile zoezi lililenga walimu,madaktari na manesi tu? Hahaa... Nenda Chato kafukue kaburi uvute uvundo akili ikae sawa
 
Back
Top Bottom