Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Hatuwezi kumpumzisha Dikteta alikuwa anaharibu Nchi yetu kiuchumi, kisiasa na kijamii.Ninajiuliza:
• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?
• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?
• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?
• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?
Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.
Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang
Hongera zao sana. 😁
Muwe na Alhamisi njema.
Isingekuwa Mungu kuingilia kati pale 17 Macho, 2021 huyu Magufuli angeifanya Nchi yetu iwe kama Zimbabwe kiuchumi, au Somalia kijamii au Rwanda Burundi kisiasa.
Tutaandika mpaka Dunia ielewe kuwa mtu aliyedanganya wajinga kuwa ni mchukia ufisadi yeye ndiye alikuwa FISADI mkuu