Wauza madawa ya kulevya wawili wanajifariji!Ndugu,
Hoja duni za waliokuwa waimba mapambio hazina uwezo wa kufunika na kuficha udhalimu wa mungu wa Burigi.
Ili nchi hii isafike lazima madhambi yake yawekwe hadharani, ili hata wale/wananchi waliokuwa wanaimbishwa nyimbo za kusifu ushetani wafumbuke macho na kuujua tena maana ya kuwa na uhuru wa kweli pamoja na kupata haki zao.
Amekwambia uende kwenye statutory interpretation, Ukiingia hata kwenye Katiba Yetu Right to life iko wazi kabisa, na ndio maana tunasema Penal code inayotoa adhabu ya kunyongwa kwa murder case inakinzana na Katiba ya JMTBush lawyer!
Ndugu,Wauza madawa ya kulevya wawili wanajifariji!
Dhambi zipi hizo zinafichwa au kufunikwa?
Yale Ni makazi ya Viongozi walikuwa wanakaa Lissu,Naibu Spika,Kalemani yanalindwa masaa 24,Speculation involves forming a theory or rather asserting whatsoever without providing any firm proof.
If you aren't speculating, can you please present, before us, evidence(s) which show beyond doubt it was state's doing?
What makes Area D similar to a consulate?
NB:
masterminded
Kuna watu wanafumbaga macho wakiandika post za kuhusu hayati wa chato ili tu kumtete mkabila mwenzao,kiufupi tu hakuna serikali isiyopiga pesa na rasilikali za nchi (yaani kujinufaisha wao kwa wao) kilichokua kinaumiza watu kwa bwana jiwe ni ule ubaguzi na ukatili aliokua nao japo marehemu asemwi (M/Mungu atusamehe Sana).Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?
Watu hawakuwa na uhuru wa kuongea, anaefungua mdomo anaokotwa kwenye kiroba
What is life?Amekwambia uende kwenye statutory interpretation, Ukiingia hata kwenye Katiba Yetu Right to life iko wazi kabisa, na ndio maana tunasema Penal code inayotoa adhabu ya kunyongwa kwa murder case inakinzana na Katiba ya JMT
Haya ndio maovu ya awamu ya tano?Ndugu,
Yawezekana ulikuwa unafaidika na matendo ya kidikteta. Hata hivyo kujitoa ufahamu hakutaweza kukusaidia wewe wala hakutamsaidia huyo nabii wenu. Katiba mpya yaja na wewe na aina yako mtatibiwa na kushiriki katika kulijenga upya TAIFA letu lililojaa vidonda vilivyotokana na udhalimu wake pamoja na mifumo ya hovyo. Safari ya kuisafisha nchi hii imeshaanza.
Wakati report ya mwaka jana inatoka Rais alikuwa nani?Kuna watu wanafumbaga macho wakiandika post za kuhusu hayati wa chato ili tu kumtete mkabila mwenzao,kiufupi tu hakuna serikali isiyopiga pesa na rasilikali za nchi (yaani kujinufaisha wao kwa wao) kilichokua kinaumiza watu kwa bwana jiwe ni ule ubaguzi na ukatili aliokua nao japo marehemu asemwi (M/Mungu atusamehe Sana).
Hata ningekua Mimi, Soma vizuri post yangu halafu lete swali lako narudia tena '' hakuna serikali isiyokula pesa na rasilimali za nchi nenda kote duniani utayakuta haya tunajua hata hawa walio Sasa wanafanya haya Ila jiwe ukabila na ukatili ulimzidi...haya ulitaka kusema?Wakati report ya mwaka jana inatoka Rais alikuwa nani?
Alikuwa na ukabila upi? Unajua kabila lake?Hata ningekua Mimi, Soma vizuri post yangu halafu lete swali lako narudia tena '' hakuna serikali isiyokula pesa na rasilimali za nchi nenda kote duniani utayakuta haya tunajua hata hawa walio Sasa wanafanya haya Ila jiwe ukabila na ukatili ulimzidi...haya ulitaka kusema?
Hiyo sukuma gang imetokana na nini?..... ulishawahi kusikia msoga gang enzi za jakaya, makua gang enzi za mkapa, zaramo/Zanzibar gang enzi za mwinyi au Zanaki gang enzi za mwalimu watu hawaropokagi wanachukuza wanapata uthibitisho wanaturejeshe majibu.Alikuwa na ukabila upi? Unajua kabila lake?
Tueleze jema alilofanya kwa wananchi wengi hasa wa mikoani, RUVUMA, LINDI, MTWARA, SINGIDA, KIGOMA, RUKWA, NJOMBE nk tuambie amefanya nini la maana.?Wapigaji na waovu wote hakuna jema wanaloweza kuliona kwa JPM.
NdioHaya ndio maovu ya awamu ya tano?
Makazi ya Naibu Spika yanalindwa masaa24Kwahiyo sehemu wanazokaa Wabunge ni balozi za nchi gani?
CCM wana watu wamesomea siasa mkuu.Ninajiuliza:
• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?
• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?
• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?
• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?
Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.
Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang
Hongera zao sana. [emoji16]
Muwe na Alhamisi njema.
Katiba imetoa haki ya kuishi, ndiyo maana wale kina jebra walivyoenda mahakamani kuhoji adhabu ya kunyongwa walitumia Katiba na Penal code,na mikataba ya kimataifa inayotoa haki ya kuishi, Penal code inasema mtu akikutwa na hatia ya kosa la kuua kwa kukusudia atanyongwa, wakati Katiba inatoa haki ya kuishi hence mkanganyikoWhat is life?
Niliwahi kusikia wakwer(l?)e wanatajwa sana. Magufuli alikuwa msukuma!!?Hiyo sukuma gang imetokana na nini?..... ulishawahi kusikia msoga gang enzi za jakaya, makua gang enzi za mkapa, zaramo/Zanzibar gang enzi za mwinyi au Zanaki gang enzi za mwalimu watu hawaropokagi wanachukuza wanapata uthibitisho wanaturejeshe majibu.