Mashambulizi holela ya Israel. Gaza yafanya Wapalestina wengi kuwaunga mkono Hamas


Hata hao wasiopinga nyuma ya keyboard na fake ID ambako ndiko kuliko na maoni authentic wanaunga mkono kipondo cha Oct. 7.
 
Mateka walobaki 140 ila sasa siku 2 tu hizi tumepasua watoto wa mwamedi 700 lengo ni kuwafanya watoto wa ma mdogo wafe kama nzi

Kwa hiyo sasa baada ya hao 700 mateka wake huru?
 
[emoji16][emoji16][emoji16] nzuri hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halaf hao wauaji wenyewe wataishi milelee [emoji3][emoji1787][emoji3]
Dah mkuu hapa umeandika kwa uchungu sana, japo umejitutumua kutoa kicheko hafifu. Kauli za namna hii huwa zinatolewa na watu waliokata tamaa. The kicks of a dying horse

I can feel your pain. Pole sana aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…