Mashambulizi Mazito ya Mizinga ya Saudia Yaripotiwa huko Saada, Kaskazini Magharibi mwa Yemen

Mashambulizi Mazito ya Mizinga ya Saudia Yaripotiwa huko Saada, Kaskazini Magharibi mwa Yemen

Yemen ndo sehemu pekee iliyobaki ambayo Iran ana ushawishi kupitia hao magaidi wakiwemo wa Houth. Nchi nyingi za Kiarabu haziipendi Iran na Iran kwa sasa amedhoofu baada ya Hezbollah kupigwa na Assad kuondolewa. Nchi zinaweza kutumia huu mwanya kupiga majamaa ya Yemen ili kui cripple kabisa Iran. Baada ya hapo ni Iran yenyewe itafuatia

Ikumbukwe:-
  • Hezbollah hawana nguvu tena
  • Russia hawezi kusaidia Iran naye ana shida zake kwa sasa
  • Missile production ya Iran ilikuwa crippled wakati wa shambulio la Israel
  • Israel baada ya kudeal blow kwa Hezbollah, Hamas na Assad kuanguka sasa ana nguvu na morali anatamani ammalize kabisa Iran
  • Assad kaanguka na serikali ya sasa ya Syria imeishaionya Iran isiingilie masuala yake
  • KUBWA zaidi Trump karudi madarakani na hapepesi macho kwa Iran, ndo maana Iran kabla ya uchaguzi walikuwa wanafadhili sana hackers wavuruge kampein za Trump
Iran sasa ajipange ila tumalize kwanza hao ma proxies wake
 
Huu ndio mwisho wa Houth kutawala Yemen Usifikir kwamba Saudia Yuko peke yake, huo ni mpango wa US, Israel na nchi za MAGHARIBI wakishindwa kumuondoa Houth mara hii basi wasahau daima.
Huwajui wayemen!
 
Makundi hayo ya kigaidi , yanachukiwa na mataifa yote ya Kiarabu kwa sababu yanadhoofisha Serikali za mataifa yao. Na hicho ndicho chanzo cha Iran kuchukiwa karibia na mataifa yote ya Mashariki ya kati.


Kwa sababu sasa mataifa haya yamejiridhisha kuwa Israel imefanya kazi kubwa ya kuyadhoofisha makundi haya, haya mataifa ya Madhariki ya kati lazima yatainuka na kuhakikisha haya makundi yote ya kigaidi ya Iran, yanapotea ili Serikali na wananchi wao waishi kwa amani.

Haya makundi yakipotea, Iran haitaleta chokochoko kwa Taifa lolote.

Uwezo wa Israel wa kupambana na makundi haya ya kigaidi umekuwa ndiyo sababu kubwa ya Israel kuungwa mkono na mataifa karibia yote ya kiarabu. Hiyo ndiyo sababu ya Israel kutoshutumiwa na mataifa haya yote inapoyatwanga haya makundi ya kigaidi.
Tusubiri tuone!
 
Kobaz ni pumbavu sana, kanchi kadogo km mkoa wa Tanga tu.
Wakishiba urojo basi aah wanawaza kwenda kuteka meli pale panama canaly.
Wanachofanya ni uharibifu tu hamna vita.
 
Saudia jeshi lake nidhaifu naningumu kuhimili mapigano yamuda mrefu nayaaridhini ndomaana hata akirudi Hana jipya lakumnyamazisha houith
 
Ripoti za awali zinaonyesha mashambulizi makali ya mizinga ya Saudia yakilenga Saada, eneo linalodhibitiwa na Ansar Allah kaskazini magharibi mwa Yemen.

Sambamba na hilo, ripoti zinaonyesha Baraza la Mpito la Kusini mwa UAE (STC) linaloungwa mkono na UAE limeanzisha mashambulizi ya kushtukiza katika eneo la kusini mwa Taiz. Mapigano makali yameripotiwa huko al-Janad, kusini magharibi mwa Yemen, na kuzidisha hali ambayo tayari ni tete nchini humo.


View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1871320123811979398?t=dmKAXGGJiBxJ7Q17hpdY2A&s=09


View: https://x.com/TheHarrisSultan/status/1871800956142387604
 
Middle East haitakuwa huru kamwe.
Nafikiria Houthis wakianza rusha BM zao hapo Saudi itakuwaje
Wakithubutu, wajue wameichongea Iran, imaliziwe kabla ya muda wake kufika
 
Hakuna taifa la Kiislam lenye linaweza kurusha makombora Saudia, wana amini Saudia ni taifa takatifu kwao. Hata Iran akitaka kuipiga Saudia, atapiga visima vya mafuta nk, hawezi kupiga mji wowote
Mpuuzi wewe ,unajua hao Houthis walifanya nini kwenye mitambo ya kuchakata mafuta na visima vya mafuta vya Saudi Aramco 2018 ?
 
Mpuuzi wewe ,unajua hao Houthis walifanya nini kwenye mitambo ya kuchakata mafuta na visima vya mafuta vya Saudi Aramco 2018 ?
Usitumie matusi, mwenye busara amgetafutia thread hapa JF kama ipo ama hiyo taarifa kwenye mitandao mingine unaiweka hapa ili afahamu ywye na wenhgne.

GOD BLESS ISRAEL
 
N
Usitumie matusi, mwenye busara amgetafutia thread hapa JF kama ipo ama hiyo taarifa kwenye mitandao mingine unaiweka hapa ili afahamu ywye na wenhgne.

GOD BLESS ISRAEL
Sasa unavyoandika Houthis hawawezi kupiga Saudia ulikuwa unajua unachoandika ?
Acha upumbavu ninyi wanywa mafuta na michanga ya manabii na wachungaji feki
Fools
Fanya utafiti kabla ya kuandika ,hapa si facebook
Swine
 
Nimezaliwa Dar na nimekulia Dar ila...

Sitimbi sipajui na sijawahi kufika. Ni wapi kwanza? Huwa napasikia tu!

Gongo la Mboto sijawahi kufika na sipajui napasikia tu!

Mbagala sijui Mbagara nilifika siku moja tu tangu nizaliwe kumsindikiza jirani kwenda kuoa na sijawahi kufika mpaka sasa hivi!

Vingunguti Alhamdulillah nilifika juzi! n.k

Enhee! Nitoe ushamba huko sitimbi ni wapi?

Hahahah!

Halafu ulivyosema kiswaswadu umenikumbusha 2009 nasoma mama alinipatia simu ya Nokia. Nikaikataa!

2009 nikataka ninunuliwe LG ya touch nikaona haya mzee akaninunulia Nokia na brother wangu akanipa ipod.
------------------
Unataka tuendelee tena? Au unataka tujadili mada husika/Uzi?
Habari mkuu vipi safari hii senene ntapata wa kutosha kutoka kule mkoani kwako wanapopatikana?
 
Back
Top Bottom