Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani India anaenunua Gas na Mafuta ya mrusi alafu India hiohio ikazibe gape la Ulaya[emoji23][emoji23][emoji23], ukiambiwa changanya na zako, kwanza India hatotaka kumkera mrusi kwa sababu wana mkataba wa silaha wa mabilioni ya hela, India hatoingia hii vita msijidanganye na kujipa moyoView attachment 2218852
Hao waarabu watulie wahindi washapiga bao huko India inanunua mafuta na makaa ya mawe kutoka Urusi na kuyauza tena Ulaya kwa bei ya juu. Ulaya siimegoma kununua kutoka Urusi so India anaenda kutumika tu hapo na ukute mwenye kampuni yakutoa mafuta India to Europe ni Mmarekani haha.
Ikibainika Kuna mkono wa muUSA apo Russia lazima apige pin kuuza mafuta kwenye Izo Kampuni ..Urusi siyo wazembe kiasi hichoView attachment 2218852
Hao waarabu watulie wahindi washapiga bao huko India inanunua mafuta na makaa ya mawe kutoka Urusi na kuyauza tena Ulaya kwa bei ya juu. Ulaya siimegoma kununua kutoka Urusi so India anaenda kutumika tu hapo na ukute mwenye kampuni yakutoa mafuta India to Europe ni Mmarekani haha.
Hii ni sijui nikuambieje. Yaani kisa mind yako iko ivyo Basi lazima huo mstari uone kuwa unafanana na kinachotokea huko urusi na ukraine.ila kumbuka Ile siku Hakuna aijuaye malaika mwana Wala Nani Ila baba pekeeKwa wanaoamini unabii wa Ufunuo wa Yohana wanaona kabisa unabii huo unatimia katika nyakati ngumu wanazopitia NATO ambao wamefananishwa na Babeli, mkuu wa makahaba mwenye maneno ya makufuru juu yake.
Ukisoma Ufunuo wa Yohana ile sura 18 nzima na kwa mfano mstari wa 19 wa sura hiyo unakutana na maneno haya 19"Wakatupa mavumbi juu ya vichwa vyao, wakalia, wakitokwa na machozi na kuomboleza, wakisema, Ole, ole, mji ule ulio mkuu! Ambao ndani yake wote wenye merikebu baharini walipata mali kwa utajiri wake; kwa kuwa katika saa moja umekuwa ukiwa"
Juzi tumemsikia Rais Urusi akisema ikitumika nuclear basi ndani ya nusu saa tu nchi zote za NATO zitakuwa zimeangamia na katika mstari huo wa 19 wa sura hiyo ya 18 unasema katika lisaa limoja BABELI itakuwa ukiwa na ukisoma kwa makini sura nzima ya 18 utaona BABELI itakuwa ukiwa kutokana na kuangamizwa.
NATO wakubali tu angamizo la BABELI lipo na atakayefanya hivyo ni taifa lenye nguvu kutoka kaskazini mwa dunia na Ramani ya dunia inaonesha ni Urusi pekee nchi iliyo kaskazini mwa dunia yenye uwezo wa kuiangamiza NATO.
Siku ya mwisho hakuna haijuaye na Hilo sikatai ila matukio kabla ya siku ya mwisho yapo wazi na Biblia haijaweka wazi yatotokea lini lakini kwa wenye hekima wanafahamu wakati ndio sasaHii ni sijui nikuambieje. Yaani kisa mind yako iko ivyo Basi lazima huo mstari uone kuwa unafanana na kinachotokea huko urusi na ukraine.ila kumbuka Ile siku Hakuna aijuaye malaika mwana Wala Nani Ila baba pekee
Sasa iyo hekima how do you measure ama ndio kusema kuwa wewe unayo. Don't complicate life. Pia kumbuka kama hao wazungu na waarabu wasingekuja afrika sjui ungeyajua haya.Siku ya mwisho hakuna haijuaye na Hilo sikatai ila matukio kabla ya siku ya mwisho yapo wazi na Biblia haijaweka wazi yatotokea lini lakini kwa wenye hekima wanafahamu wakati ndio sasa
Haya waghalatiaAcha kupotosha maneno ya Mungu. Kama hujui unauliza. Hayo mambo hayatimi wakati huu na Wala Russia Hana uhusiano na hicho kilichoandikwa hapo. Hayo mambo yatatimia kipindi Cha dhiki kuu. Na biblia inaposema babeli mama wa makahaba inazungumzia taifa la Iraq. Kimsingi Iraq ndipo chanzo Cha dhambi zote ulimwenguni. Ukahaba unaozungumzwa hapo ni wanadamu kijichanganya na mambo ya shetani, yaani wamekuwa na miungu wengi.
Historia ya hisia tuBiblia haijaandikwa Leo iliandikwa zamani. Lugha iliyotumika ya maeneo ni majina ya zamani. Iraq zamani ilikuwa inaitwa babeli, uturuki Asia ndogo, Iran uajemi. Hakuna suala la source ni kujuwa history tu
Leta source hisia zako zitumie kwa familia yakoBiblia haijaandikwa Leo iliandikwa zamani. Lugha iliyotumika ya maeneo ni majina ya zamani. Iraq zamani ilikuwa inaitwa babeli, uturuki Asia ndogo, Iran uajemi. Hakuna suala la source ni kujuwa history tu
Shukran MKUUKwa wanaoamini unabii wa Ufunuo wa Yohana wanaona kabisa unabii huo unatimia katika nyakati ngumu wanazopitia NATO ambao wamefananishwa na Babeli, mkuu wa makahaba mwenye maneno ya makufuru juu yake.
Ukisoma Ufunuo wa Yohana ile sura 18 nzima na kwa mfano mstari wa 19 wa sura hiyo unakutana na maneno haya 19"Wakatupa mavumbi juu ya vichwa vyao, wakalia, wakitokwa na machozi na kuomboleza, wakisema, Ole, ole, mji ule ulio mkuu! Ambao ndani yake wote wenye merikebu baharini walipata mali kwa utajiri wake; kwa kuwa katika saa moja umekuwa ukiwa"
Juzi tumemsikia Rais Urusi akisema ikitumika nuclear basi ndani ya nusu saa tu nchi zote za NATO zitakuwa zimeangamia na katika mstari huo wa 19 wa sura hiyo ya 18 unasema katika lisaa limoja BABELI itakuwa ukiwa na ukisoma kwa makini sura nzima ya 18 utaona BABELI itakuwa ukiwa kutokana na kuangamizwa.
NATO wakubali tu angamizo la BABELI lipo na atakayefanya hivyo ni taifa lenye nguvu kutoka kaskazini mwa dunia na Ramani ya dunia inaonesha ni Urusi pekee nchi iliyo kaskazini mwa dunia yenye uwezo wa kuiangamiza NATO.
Wamepakana na kiduku, china, India Kwa hiyo wana tabia za huko. Kuna mzungu anaendekeza vita siku hizi? Watu wanapigana na uchumi yeye misiraha tu alafu wananchi wake wanakufa na njaa
Wazungu waje Afrika na Asia waachane na hao wa kujilipuaMtaalamu wa uzalishaji na biashara za mafuta na gesi wa Abudhabi bw Said Albakr amebainisha kuwa iwapo nchi za Ulaya zitaendelea kujizuia kununua gesi ya Urusi basi wasitarajie kupata mbadala kutoka nchi za mashariki ya kati na kokote kwengine duniani katika kipindi cha miaka ya karibuni ijayo.
Katika uchambuzi wake huo mtaalamu huyo amebainisha sababu kadhaa zitakazopelekea hali hiyo.Alisema ni kweli nchi za mashariki ya kati ni wazalishaji wa zaidi ya nusu ya nishati itumikayo duniani ikiwemo gesi lakini kwa sasa nchi hazina uwezo wa kufidia pengo litakalotokana na kukatika kwa gesi ya Urusi katika nchi za Ulaya.
Sababu kubwa kati ya hizo aliitaja ni kukosekana kwa miundombinu ya kuzalisha na kusafirisha kiwango kitakachohitajika kwa mataifa hayo.Nchi hizo ili ziweze kufidia gesi ya kutoka Urusi kwa kipindi kifupi kijacho itabidi wakatishe mikataba ya kuyauzia mataifa ya Mashariki ya mbali ikiwemo China jambo alilosema litazigharimu nchi za mashariki ya kati kwa kukatisha mikataba na kuhatarisha biashara zao hapo baadae.
Ukiondoa Saudi Arabia ambayo imekataa tu lakini Zipo nchi 4 zingeweza kufidia gesi hiyo lakini tatu kati ya hizo kutokana na vikwazo vya muda mrefu walivyowekewa na nchi hizo za Ulaya kwa kushirikiana na Marekani hazina uwezo wa kuzalisha gesi hiyo.Nchi hizo tatu ni Venezuela,Iraq na Libya.Kwa upande wa Iran ina gesi nyingi iliyokwisha kujazwa kwenye meli zilizoelea baharini,lakini ni lazima mataifa hayo yaiondoshee vikwazo vya kiuchumi ili iweze kuwauzia.
Kikwazo kingine alichokitaja mtaalamu huyo ni kuwepo kwa makundi yanayopingana katika nchi hizo ambayo yamechipuka kutokana na mizozo iliyopandikizwa na mataifa hayo ya Ulaya na Marekani.Alitolea mfano wa nchi ya Libya kwamba visima vya mafuta na gesi havina usalama wa kutegemewa kuzalisha na kusafirisha chochote kutokana na kila eneo kudhibitiwa na makundi yanayopingana.
View attachment 2218832