Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Good boy, uwatendee mema wanawake sasa.Ninahisi nina sifa nyingi kati ya hizoš
Sawa eeh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good boy, uwatendee mema wanawake sasa.Ninahisi nina sifa nyingi kati ya hizoš
Dah watu waliwakubali sana. But haikuwa hivyoNimekuelewa ila jibu sina Mkuu, sipo tena so sijui hali yake kwakweli.
Hamna issue ya kusikitisha mkuu, ni maamuzi tu katika maisha.Ndio maana uliposema vile nikaelewa,sorry kwa kuuliza hivi Mkuu,sorry sana
HahahahaGood boy, uwatendee mema wanawake sasa.
Sawa eeh?
Sawa shemšGood boy, uwatendee mema wanawake sasa.
Sawa eeh?
Tulia basiDah watu waliwakubali sana. But haikuwa hivyo
ššš,nakuelewa MkuuHamna issue ya kusikitisha mkuu, ni maamuzi tu katika maisha.
Kwakuwa hakuna vita basi ni kheri.
Mkuu tusichoshane.Wakuu, nadhani sote tuliopo humu tunajua kwamba binadamu anahitaji mwongozo ili kuwa bora zaidi.
Hatuko duniani kwa ajili ya kuishi ishi tu, ndiyo maana tuna sheria na kanuni kama ambavyo Mungu alivyotuwekea Amri zake 10.
Kwa kuwa, sisi wanamme tuna nafasi kubwa ya kufanya dunia iwe sehemu salama, kuna umuhimu ya kufuata masharti ya wanamme.
Masharti 20 ya kuwa mwanamme!
1. Daima shika neno lako - ikiwa unatoa ahadi, itimize.
2. Waheshimu wanawake - watendee kwa utu na heshima.
3. Zingatia mwonekano wako - vaa ipasavyo na dumisha usafi wako.
4. Kuwa mwaminifu - usidanganye au kudanganywa na wengine.
5. Onesha heshima kwa wazee - sikiliza ushauri na mwongozo wao.
6. Kuwa wa kuaminika - simama na marafiki na familia yako.
7. Wajibika - shughulikia matendo yako na matokeo yake.
8. Jitegemee - jifunze kujitunza mwenyewe.
9. Samehe - kuwa na kinyongo kwa muda mrefu kunakuumiza tu mwenyewe.
10. Kuwa mnyenyekevu - usijisifu au kujisifu juu ya mafanikio yako.
11. Kuwa na subira - mambo mazuri huja kwa wale wanaosubiri.
12. Usiwe mnyanyasaji - watendee wengine kwa wema na huruma.
13. Kuwa msikilizaji mzuri - makinika na wanachosema wengine.
14. Kuwa mzungumzaji mzuri - jieleze kwa uwazi na kwa ufanisi.
15. Jiamini - jiamini mwenyewe na uwezo wako.
16. Tenda kwa uadilifu - fanya jambo sahihi, hata kama hakuna mtu anayekutazama.
17. Kuwa na nidhamu - kujidhibiti na kuzingatia malengo yako.
18. Onesha shukrani - thamini watu na vitu vilivyokuzunguka katika maisha yako.
19. Kuwa wa mawazo huru - pokea mitazamo na mawazo tofauti.
20. Kuwa mwanafunzi wa maisha yote - usiache kukua na kujiboresha.
Ova
šSawa dadaTulia basi
..Tulia basi
Dogo anazingua, hajui maisha ni zaidi ya anayoyaona na kuyasoma.
Kabisa Mkuu,mie nakuelewa sana tena sana tu ,hope tuta share vituDogo anazingua, hajui maisha ni zaidi ya anayoyaona na kuyasoma.
Kuyaishi maisha ni zaidi ya yote.
This is just a stereotype, you have no proof to support your claim.Kizazi cha sasa ni kubet, chips mayai na punyeto tu....
I miss em days when men were men, friends were real friends, yaani mshkaji angejitoa mhanga kisa ushkaji.
Anytime Mkuu.Kabisa Mkuu,mie nakuelewa sana tena sana tu ,hope tuta share vitu
MercišššAnytime Mkuu.
Then hold your man tughtly with prayers and swordOh yeah, Mungu ameniona na mimi!
Wewe ni feminist?Wakuu, nadhani sote tuliopo humu tunajua kwamba binadamu anahitaji mwongozo ili kuwa bora zaidi.
Hatuko duniani kwa ajili ya kuishi ishi tu, ndiyo maana tuna sheria na kanuni kama ambavyo Mungu alivyotuwekea Amri zake 10.
Kwa kuwa, sisi wanamme tuna nafasi kubwa ya kufanya dunia iwe sehemu salama, kuna umuhimu ya kufuata masharti ya wanamme.
Masharti 20 ya kuwa mwanamme!
1. Daima shika neno lako - ikiwa unatoa ahadi, itimize.
2. Waheshimu wanawake - watendee kwa utu na heshima.
3. Zingatia mwonekano wako - vaa ipasavyo na dumisha usafi wako.
4. Kuwa mwaminifu - usidanganye au kudanganywa na wengine.
5. Onesha heshima kwa wazee - sikiliza ushauri na mwongozo wao.
6. Kuwa wa kuaminika - simama na marafiki na familia yako.
7. Wajibika - shughulikia matendo yako na matokeo yake.
8. Jitegemee - jifunze kujitunza mwenyewe.
9. Samehe - kuwa na kinyongo kwa muda mrefu kunakuumiza tu mwenyewe.
10. Kuwa mnyenyekevu - usijisifu au kujisifu juu ya mafanikio yako.
11. Kuwa na subira - mambo mazuri huja kwa wale wanaosubiri.
12. Usiwe mnyanyasaji - watendee wengine kwa wema na huruma.
13. Kuwa msikilizaji mzuri - makinika na wanachosema wengine.
14. Kuwa mzungumzaji mzuri - jieleze kwa uwazi na kwa ufanisi.
15. Jiamini - jiamini mwenyewe na uwezo wako.
16. Tenda kwa uadilifu - fanya jambo sahihi, hata kama hakuna mtu anayekutazama.
17. Kuwa na nidhamu - kujidhibiti na kuzingatia malengo yako.
18. Onesha shukrani - thamini watu na vitu vilivyokuzunguka katika maisha yako.
19. Kuwa wa mawazo huru - pokea mitazamo na mawazo tofauti.
20. Kuwa mwanafunzi wa maisha yote - usiache kukua na kujiboresha.
Ova