Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hujaona Picha mzee??Hakika Uzi ni picha
Nmeona ndio maana nikasema hvyoHujaona Picha mzee??
Hapa nataka mabachela tu ukiowa ondoka ckutakiSalamu wakuu, katika maisha wengi tuna pitia au tume pitia mengi, na hasa ukija katika swala la upangaji.
👉Hapa ndo huwa Kuna vilio au malalamiko mengi, kutoka pande zote. - Iwe mwenye nyumba au mpangaji.
👉Mimi nili wahi ambiwa ni mwiko kujitenga na wapangaji au familia ya mwenye nyumba😁.
Eti ni lazima Niki wepo nitoke nke ili nizungumze na waliopo- 😁
👉Haya we ni sheria ipi ya ajabu uli wahi pewa na mwenye nyumba??
View attachment 2708453
Alikuwa mama/ baba mwenye nyumba??Hapa nataka mabachela tu ukiowa ondoka ckutaki
Upangaji ni jau mzeeNmeona ndio maana nikasema hvyo
Hatari Sana, au ilikuwa chuma ulete??Sio sheria indeede yule muha analeta mganga wanachimbia vidawa had mlangoni kwangu. Ukihoji majibu analinda mji wake. Kazi nafanya mwezi mzina naishia kutunza kodi tuu. Waha ni....
Vipi Tena mkuu🤔Aisee
Ndio ununue rotana pawe kwakoUpangaji ni jau mzee
Rotana ndo nini hicho 🤔Ndio ununue rotana pawe kwako
Rotana ndo nini hicho 🤔
Sasa mkuu mi hotel ya nini 🤔😁
nimekumbuka dogo moja nilimtembelea chumba kipo vizuri lakini choo ujenzi wake uliniacha kinywa waziVipi Tena mkuu🤔
So ulihama??, Au itakuwa yeye hakuwa na tv??Nimewahi kuambiwa hakuna kuweka dishi miaka ile yale makubwa Eurostar na nilikuwa nishanunua full set na mediacom yangu nkaishiwa pozi
Tv alikuwa nayo ila haikuwa na dish walikuwa wakiangalia CDs tu.So ulihama??, Au itakuwa yeye hakuwa na tv??