nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 694
- 1,104
[emoji28][emoji28][emoji28]Nikipika chakula kisinukie, mama geto alikua mshenzi sana yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28]Nikipika chakula kisinukie, mama geto alikua mshenzi sana yule
Hapana, huko ni kupangiana maishaHii safi kabisa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Alitaka niishi kama mwanafamilia mwanzon nikaona sio jambo baya nikaona wanavuka mipaka nikaleta mabinti wawili Kwa siku Moja Moja mchana Moja usiku kuanzia siku hyo tuliheshimiana
Ukatongoza kondoo khaaNilipanga sehemu bila kujua nyumba ni ya mchungaji
badae anasema siruhusiwi ingiza mademu
nikaona sio kesi nikatongoza Binti ake
Kwamba mipiko mitamu hapanaKuja usiku mwisho saa kumi na mbili jioni geti linafungwa, kupiga muziki kinyume na dini ya mwenye nyumba, chooni kwenda na maji tu marufuku tishu na karatasi.
Mipiko yenye harufu nzuri kama pilau na mikarangizo mingine ni marufuku. Ndio maana sikupenda kupanga nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi humo ni kero tupu
KurogaKama tujuavyo kwenye nyumba za kupanga kuna kanuni na taratibu zake, lakini wakati mwingine tunazivunja aidha kwa bahati mbaya au kwa makusudi.
Je, kwako zipi umewahi kuzivunja?
Yaan tulikua dini tofauti wakawa wanakuja kupondea dini yangu sijui ya uongo na hapa na pale, afu pale home palikuwa na mabinti wakawa wanaleta ngenga mingi mingi na ujinga flan 😁😁nkapiga tukio baada ya pale hadi familia ile ikajua mm ni mpangaji sio mwanafamilia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa alijuaje ww unaroga [emoji28][emoji28]
Hana mke????Baba mwenye nyumba anapiga sn chabo ilibid nihame nyumba miezi 3 kabla kodi kuisha
Wao ni manabii au mitume? [emoji848]Yaan tulikua dini tofauti wakawa wanakuja kupondea dini yangu sijui ya uongo na hapa na pale, afu pale home palikuwa na mabinti wakawa wanaleta ngenga mingi mingi na ujinga flan [emoji16][emoji16]nkapiga tukio baada ya pale hadi familia ile ikajua mm ni mpangaji sio mwanafamilia
Kwan yy ndo mkwe?Marafuku kuleta mabinti tofauti tofauti nyumbani kwake... Mtambulishe mmoja tu kwakwe then ndo awe anakuja huyohuyo
Ni masharti kwenye mkataba mimi hakuwa ananijua kablaSasa alijuaje ww unaroga [emoji28][emoji28]
Nifundishe kuroga pia.