Alikuwa na roho mbaya, sema kukosa ubunifu tu- unge funga hata kwa kuweka juu ya mbao!Tv alikuwa nayo ila haikuwa na dish walikuwa wakiangalia CDs tu.
Eneo lile nyumba zilikuwa shida sana hivyo nilipaki mzigo tangu miaka hiyo ya 2007/8 na sikuwahi kufunga tena lile dishi
Sasa Kama mna fanya kazi j3- ijumaa- Ina kuwajeπ€??Hakuna kufua nguo wikiendi
Ndani ya vyumba kulikuwa na CCTV??Nisipige NYETO
Ume mpiga juju nini ππMwenye nyumba wangu nna miezi 6 sasa sijawahi muona wala ongea nae.
nyumba kaniachia tu kasema nihakikishe USAFI unafanyika mda woteπ π π
Inabidi ufue usikuSasa Kama mna fanya kazi j3- ijumaa- Ina kuwajeπ€??
Ninge mtungia diss track aiseeπ,Inabidi ufue usiku
Ohh ni sawa, Ila kwani hapaswi kukaa eneo la nyumba yake??Napenda nyumba ambazo mwenye nyumba anaonekana wakati wa Kodi tu.
Sio Kila siku unaonana nae
Kunyimana uhuru tu.Ohh ni sawa, Ila kwani hapaswi kukaa eneo la nyumba yake??
Ko wambea Kama redio ya taifaππAsionekane mwanamke anaingia kwako..
kijiji kizima kitajua umelala na binti wa fulani ilikua lini na saa ngapi. πππππ
wasukumu ni hatariii
Baba mwenyenyumba hataki kabisa walioowa au kuolewa yaani ukiowa/kuolewa tu basi tafuta nyumba nyingineAlikuwa mama/ baba mwenye nyumba??
Basi alikuwa ana wakula wapangaji was kikeπ€£ππBaba mwenyenyumba hataki kabisa walioowa au kuolewa yaani ukiowa/kuolewa tu basi tafuta nyumba nyingine
Dah hiyo zaidi ya jauππalinambia marafiki mwisho wawili na niwatambulishe kwake awafahamu, ikitokea kuna mgeni wa kulala geto basi kabla ya yote nikapate kibali kwanza aisee,,,,nilihama nikaacha kodi ya miezi3
Wapangaji tunapitia mengi sana mkuu,,,,MUNGU atuajaalie nasi tujengeDah hiyo zaidi ya jau[emoji16][emoji23]
Tupambanie Malengo yetuWapangaji tunapitia mengi sana mkuu,,,,MUNGU atuajaalie nasi tujenge