MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hili wamesema kwamba wakiruhusiwa kuingia na kufungua server za IEBC, basi watakubali kushindwa.
Mimi binafsi naona kama washauri wa Raila watakua wanamdanganya na kumzungusha zungusha mzee wa watu.
Kwanza alisimama juzi na kutuonyesha stakabadhi alizoita logs za kuonyesha kwamba mfumo umedukuliwa, wataalam tulioangalia kwa makini hayo makaratasi ilikua aibu tupu maana zilionyesha ni bootlogs za server aina ya MS SQL 2008 ambayo ni mfumo uliopitwa na wakati, wengi tunajua kwamba IEBC wanatumia Oracle.
Wamekua wakituhumu mambo mengi mara udukuzi mara kile mara hiki, hii imepelekea IEBC kuwaomba waje na makarani na mawakala wao na wana habari na wachunguzi wa kimataifa wakague dodoso/fomu zote moja baada ya nyingine lakini bado haitoshi.
Kwa wao kwenda kwenye server sidhani kama patakua na jipya. Maana hata takwimu walizotuonyesha kwamba wamepewa na jasusi aliye ndani ya IEBC, ukitumia kikotozi/calculator humo kuna makosa mengi kwenye kujumuisha, itakua aliyewapa labda hata naye kapewa na ili awaanike, maana hawakukawia kwanza wahakikiki, walielekea moja kwa moja kwenye vyombo vya habari.
NASA sets term for conceding, asks for access to IEBC servers
Mimi binafsi naona kama washauri wa Raila watakua wanamdanganya na kumzungusha zungusha mzee wa watu.
Kwanza alisimama juzi na kutuonyesha stakabadhi alizoita logs za kuonyesha kwamba mfumo umedukuliwa, wataalam tulioangalia kwa makini hayo makaratasi ilikua aibu tupu maana zilionyesha ni bootlogs za server aina ya MS SQL 2008 ambayo ni mfumo uliopitwa na wakati, wengi tunajua kwamba IEBC wanatumia Oracle.
Wamekua wakituhumu mambo mengi mara udukuzi mara kile mara hiki, hii imepelekea IEBC kuwaomba waje na makarani na mawakala wao na wana habari na wachunguzi wa kimataifa wakague dodoso/fomu zote moja baada ya nyingine lakini bado haitoshi.
Kwa wao kwenda kwenye server sidhani kama patakua na jipya. Maana hata takwimu walizotuonyesha kwamba wamepewa na jasusi aliye ndani ya IEBC, ukitumia kikotozi/calculator humo kuna makosa mengi kwenye kujumuisha, itakua aliyewapa labda hata naye kapewa na ili awaanike, maana hawakukawia kwanza wahakikiki, walielekea moja kwa moja kwenye vyombo vya habari.
NASA sets term for conceding, asks for access to IEBC servers