Masharti ya kuwekeza Zanzibar kwa Mtanzania bara na mgeni

Masharti ya kuwekeza Zanzibar kwa Mtanzania bara na mgeni

Iwe kama SUDAN KUSINI na SUDAN KASIKAZINI tu,wazenji waanze kuomba vibali vya umiliki ardhi nao
 
Kati mambo ya hovyo ambayo Mwl Nyerere alituachia ni huu muungano chawa.
Kwa mawazo yake Nyerere alidhani viongozi watakaokuja baada yake watakuwa waungwana kumbe wamekuja majambazi tu.

Bila kurekebisha au kuvunja huu muungano hatutoboi
 
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi.

View attachment 2028001
SAFI SANA RAIS WANGU NAFIKIR WAMEKUELEWA
 
kati ya jambo nitakalounga mkono hata kwa kuandamana ni kwa serikali kuuvunja muungano na kila mtu abaki kwao na nchi yake...

Kuna haja ya kuuvunja huu muungano wale jamaa waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na maisha yetu....

Serikali na Watanzania tuache kucheka na wahindi, waarabu na hawa wazanzibar ni moja ya watu tunaowadekeza sana na kuishia kuinyonya hii nchi kwa kivuli cha uzawa ilhali undercover sio wazawa bali they are here to benefit....
Kwisha habari yenu Ardhi ya ZANZIBAR NI ndogo Sana isipolindwa Kesho na keshokutwa tutakua na uhaba mkubwa WA Ardhi Kwa vizazi vyetu Watanganyika ttzo lenu si Ardhi mnamamia Kwa maelfu ya maekar tatizo lengu ni umaskin WA akili ndio maana mnahama huko kuja kututilia nzi huku
 
LEO NILIJUA TU WATANGANYIKA POVU LITAWATOKA, NA TANGU MAMA AINGIE MADARAKANI AMEKUA HANA JEMA LAKINI MARA HII JITI LIMEWAKAA
 
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi.

View attachment 2028001
Ifike mahali hawa jamaa tuachane nao sasa maana sababu zilizofanya tuungane hazipo tena.
Uku bara wanamiliki ardhi watakavyo lakini sisi uko kwao ni ngumu sana,huyu mwanamke apewe taraka 3!
 
Asiyemlaumu Nyerere katika hili hana upeo wa historia. Kwa maneno yake mwenyewe, Nyerere alikataa ombi la Karume la kutaka iwe nchi moja na yeye awe rais- eti kwa sababu aliogopa asiambiwe ameimeza Zanzibar! Sikumwelewa kwa kweli. Nadhani zaidi aliogopa Uislamu wa Zanzibar.
 
ARDHI SI JAMBO LA MUUNGANO
Wazanzibar nao hawaruhusiwi kumiliki ardhi bara ila wanaweza omba kibali cha ukaazi ama uwekezaji ili wajenge
Sasa kama kamiliki ardhi ujue ni kinyume na masharti ya Mambo yasiyo ya Muungano
Mh icho unacho kisema mbona sicho kinachofanyika huku mitaaan, ..pale Kkoo Kuna wa pemba kibao wana mi ghorofa pale , ata mashamba
 
Hili la Rais Mwinyi ni la kuanza kupigiwa kelele na kila Mtanzania mbara anayejielewa, kifupi tuanze harakati mpya za kuuvunja muungano na kila mtu abaki kwao....Mzanzibar awe na passport yake na mbara awe na paasport, Zanzibar kuingia na kutoka ni Viza kama kawaida....Biashara kufanya waruhusiwe kwa utaratibu kama wa wageni wengine ikiwa pamoja na kuwawekea masharti magumu ya wao kuja kufungua biashara huku....

We favoured them, but they are fucked us hardly.....we should wake up and start to screw them....
..Screw zanzibaris to the core,enough is enough!
 
Huu Muungano una changamoto nyingi. Wenye mamlaka ya kuwezesha kufanyika mabadiliko wapo kimya. Siku Watanganyika wakija kuamua kuidai Tanganyika yao kwa ngvu, tusije kuja kuanza kumlamu shetani bure. Tunaloweza kulirekebisha leo turekebishe kabla hatujachelewa
 
Ikiwa bara imeikalia kwa mabavu zanzibar kwa muda wotee huo na wameridhika, tuna shindwaje kuifanya kua moja yawilaya za hapa tanganyika?.

Maana kijani kibichi wanaona rahaaaa na aina hii ya muungano wa kinyonyaji uliopo
 
Back
Top Bottom