Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Habari Wana JF,
Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.
Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.
Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.
Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.
30 April 2021
globalarbitrationreview.com
Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.
Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.
Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.
Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.
Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure
Jack Ballantyne30 April 2021
Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure
Tanzania has paid US$22 million to satisfy an UNCITRAL award after the Italian-owned creditors attempted to seize three aircraft purchased by the East African state following enforcement of the award in the Canadian courts.