Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania

Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania

Habari Wana JF,

Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.

Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.

Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.

Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.

Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure​

Jack Ballantyne
30 April 2021
Huyu MPUMBAVU alikuwa anafanya mambo ya HOVYO sana bila kufuata sheria za nchi wala mikataba ya kimataifa.

Hizo kesi zote tutashindwa tu sababu ya Dokteta Magufuli.
 
Habari Wana JF,

Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.

Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.

Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.

Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.

Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure​

Jack Ballantyne
30 April 2021
Hoja yangu kwako ndugu mjumbe ni kwamba Kuna kampuni ya uzalishaji umeme ya IPTL ilishalipwa bilioni Mia tatu na suala Lao lilifuata utaratibu wa kisheria japo kisheria cha magumashi na pesa ziligawanywa kwenye viloba na sandarusi.

Je? wizi huu na mwingine unaotumia karamu za wanasheria 10% kufanikisha matakwa ya mabeberu na hasara itokanayo na kupigania haki yako na ikafanikiwa hipi Bora?
 
Mtetezi wa wanyonge analeta hasara kwa taifa.
Alichofanya Ni Bora kuanza upya kuliko kuendelea na Julia Kwa miaka Mia ijayo,mikataba iyo ingeendelea kutugharimu mpaka tungenyoosha maelezo.

Ni mfano mtu amekuuzia gari Kwa million Kumi umemtangulizia nusu baada kuanza kuliendesha ukagungua gari iyo inakugharimu million per month ,vifaa na mafuta, sasa unaamua kuirudisha na pesa abakie nayo maana kuendelea kuwa nayo Ni kuutafuta uchizi Kwa lazima.
 
Alichofanya Ni Bora kuanza upya kuliko kuendelea na Julia Kwa miaka Mia ijayo,mikataba iyo ingeendelea kutugharimu mpaka tungenyoosha maelezo.

Ni mfano mtu amekuuzia gari Kwa million Kumi umemtangulizia nusu baada kuanza kuliendesha ukagungua gari iyo inakugharimu million per month ,vifaa na mafuta, sasa unaamua kuirudisha na pesa abakie nayo maana kuendelea kuwa nayo Ni kuutafuta uchizi Kwa lazima.
Ni maamuzi ya KIJUHA tu aliyofanya DIKTETA Magufuli. Achana nayo fuata tararaibu za kisheria tu. Ni uncivilised societies tu za stone age ndiyo hazikuwa na sheria.

Ukikiuka mkataba no matter ni wa kijinga namna gani, fuata taratibu namna ya kujitoa. Ila huwezi kumfukuza mwekezaji kama alivyofanya huyo mwehu wa Chato
 
Habari Wana JF,

Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.

Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.

Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.

Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.

Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure​

Jack Ballantyne
30 April 2021
Namba 6 tayari imee
20231016_221524.jpg
nda
 
Hizo ni deals zote watu wanalipana na kugawana, ndio maana walikua hawashindi enzi zile. Gutuka
 
Hizo ni deals zote watu wanalipana na kugawana, ndio maana walikua hawashindi enzi zile. Gutuka
Wewe ni mwongo. Usijifanye umesahau kwa nini ndege zetu za ATCL zilikamatwa South Africa na Mkulima Steyn na nyingine Canada kati ya 2017 na 2019.
 
Back
Top Bottom