Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania

Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania

Ungetupa undani wa kila shauri hakika ungeitendea haki mada yako. Labda ungejiuliza ni kwa kiasi gani hayo makampuni yalisaidia kukua kwa uchumi wa nchi?

Ila kwa kukumbusha tu nyingi ya kesi hizo ni za makampuni ambayo yalitengeneza mikataba ya kifisadi nasi tukaingia kichwakichwa kwa kuwa sheria zetu ziliruhusu hali hiyo.
Unalinasua taifa bila kufuata sheria ? Mikataba na sheria za kimataifa ? Huu sio upumbafu ?
Hata tundu lisu alisema hivi hivi wakati JPM akipambana na mabeberu waliokuwa wanatuibia madini yetu kupitia mikataba ya kifisadi, mwisho wa siku sheria zikabadilishwa na Acacia wakafungasha. JPM ameonyesha njia ya kutoogopa kudai haki kwa kisingizio Cha sheria za kimataifa.
 
Hata tundu lisu alisema hivi hivi wakati JPM akipambana na mabeberu waliokuwa wanatuibia madini yetu kupitia mikataba ya kifisadi, mwisho wa siku sheria zikabadilishwa na Acacia wakafungasha. JPM ameonyesha njia ya kutoogopa kudai haki kwa kisingizio Cha sheria za kimataifa.

..hawajafungasha.

..acacia ni mtoto wa barrick.

..na barrick bado yuko anadunda.

..Magu alitakiwa awafukuze hata barrick.

..pia awatemeshe usd 191 billion alizosema wametuibia.
 
Hata tundu lisu alisema hivi hivi wakati JPM akipambana na mabeberu waliokuwa wanatuibia madini yetu kupitia mikataba ya kifisadi, mwisho wa siku sheria zikabadilishwa na Acacia wakafungasha. JPM ameonyesha njia ya kutoogopa kudai haki kwa kisingizio Cha sheria za kimataifa.
Kama nimekulewa, hatua zilizochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano hazitoshi kusimamia madini yetu. Serikali iliyoko madarakani inaandaa mazingira rafiki zaidi kwa wawekezaji, je, ndio mwelekeo sahihi ambao unashangiliwa na wengi, hasa upinzani?
 
..hawajafungasha.

..acacia ni mtoto wa barrick.

..na barrick bado yuko anadunda.

..Magu alitakiwa awafukuze hata barrick.

..pia awatemeshe usd 191 billion alizosema wametuibia.
Whatever the case lakini hatuna kampuni inaitwa Accacia na Barrick aliingilia kati ili kuokoa jahazi. Kizuri tuna sheria mpya za madini ambazo Barrick na makampuni mengine yanazifuata, sheria zinazolinda maslahi ya nchi yetu. JPM angesikiliza kelele za Tundu lisu kuwa tutashitakiwa MIGA asingefanikiwa.
 
Jamani mumuache mwendazake apumzike, km kumsema na kumzogoa mmefanya sana, imetosha lol.
 
Tatizo ubongo wako ulisha gandishwa na mawazo ya jiwe
Kwa kuwa unafikiri ndani ya kisanduku kamwe hutotofautisha kati ya mbivu na mbichi au pumba na mchele.
√ Akina mama waliotuliwa ndoo kichwani hawatakuelewa
√ Madereva wa magari yaliyokuwa yanaharibika kwa barabara mbovu watakushangaa
√ Wazazi waliokuwa wanashindwa kuwapeleka watoto shule watakulaani
√ Wanachuo waliokuwa wanacheleweshwa mikopo yao, watakuponda kwa mayai viza
√ Wachaga na Wameru waliokuwa wanabamizwa gharama za usafirishaji kwa njia ya barabara watakutoa macho
√ Na kadhalika kadhaika bila kusahau uboreshwaji wa huduma ya afya
 
Kwa kuwa unafikiri ndani ya kisanduku kamwe hutotofautisha kati ya mbivu na mbichi au pumba na mchele.
√ Akina mama waliotuliwa ndoo kichwani hawatakuelewa
√ Madereva wa magari yaliyokuwa yanaharibika kwa barabara mbovu watakushangaa
√ Wazazi waliokuwa wanashindwa kuwapeleka watoto shule watakulaani
√ Wanachuo waliokuwa wanacheleweshwa mikopo yao, watakuponda kwa mayai viza
√ Wachaga na Wameru waliokuwa wanabamizwa gharama za usafirishaji kwa njia ya barabara watakutoa macho
√ Na kadhalika kadhaika bila kusahau uboreshwaji wa huduma ya afya
Kama alikuwa anatoa fedha za kufanyia hiyo mieadi sawa lkn kama ni fedha za walipa kodi nakuona bado upo utumwani.
 
Kama alikuwa anatoa fedha za kufanyia hiyo mieadi sawa lkn kama ni fedha za walipa kodi nakuona bado upo utumwani.
Kwamba miradi hiyo ni ya yeye na familia yake! Hakika akili ni nywele kila mtu ana zake.

Kwa kuwa unafikiri kipinzani, niulize tu ruzuku walizokuwa wanalipwa wamezifanyia nini Kitaifa ili hoja yako ya kubeza yaliyofanyika na Serikali iwe na nguvu.
 
Kwamba miradi hiyo ni ya yeye na familia yake! Hakika akili ni nywele kila mtu ana zake.

Kwa kuwa unafikiri kipinzani, niulize tu ruzuku walizokuwa wanalipwa wamezifanyia nini Kitaifa ili hoja yako ya kubeza yaliyofanyika na Serikali iwe na nguvu.
Hakuna kilicjofanyika,
Namuombea mama Samia atufanyie kula khali
 
Habari Wana JF,

Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.

Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.

Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.

Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.

Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure​

Jack Ballantyne
30 April 2021
Tutashinda yote na kulipwa fidia, labda wanasheria watuhujumu kwakuwa Boss wao hayupo. Ulitaka tuendelee kunyonywa na makampuni ya kibeberu wakati tunao uwezo wa kuzalisha umeme?.
 
Hakika, inasikitisha sana.
Tatizo ni matumizi ya nguvu katika masuala yenye utaratibu wa kisheria. Ni kulikosea taifa na watanzania kuwalipisha gharama kwa matendo ya Viongozi yasiyofuata sheria na taratibu.
 
Habari Wana JF,

Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali.

Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria maarufu mbili, ile ya Uhujumu Uchumi na Maliasili, ambapo Rais na watendaji wa Serikali walijipa mamlaka ya kutatua migogoro ya usuluhishi nje ya sheria za kimataifa zinazolinda mitaji ya uwekezaji na wawekezaji.

Mashauri takribani sita yalifunguliwa na bado yapo katika hatua mbalimbali za usuluhishi, ambazo kwa kiasi kikubwa zitaweza kutafuna mabilioni ya shilingi za kitanzania.

Mashauri yaliyopo katika hatua za usuluhishi ni:
1. Sunlodges v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub.
2. Agro EcoEnergy and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
3. Symbion Power and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
4. Saab v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
5. Winshear v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
6. Nachingwea and others v. Tanzania | Investment Dispute Settlement Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Kutokana na hali hii, Serikali kupitia kwa Waziri wa Katiba na Sheria inapaswa kutoa taarifa kwa Watanzania kupitia Bunge ili kueleza hatua mbalimbali za mashauri haya, na sababu za kushitakiwa na pengine kiasi cha fidia ambacho tunaweza kulipa endapo tutashindwa.

Tanzania pays treaty award to avoid aircraft seizure​

Jack Ballantyne
30 April 2021
Duuh
 
Tatizo ni matumizi ya nguvu katika masuala yenye utaratibu wa kisheria. Ni kulikosea taifa na watanzania kuwalipisha gharama kwa matendo ya Viongozi yasiyofuata sheria na taratibu.
Aliju atawaburuza kama alivyoburuza wanyonge
 
kama kuna watu wanapaswa kulaumiwa sana katika taifa hili ni kikwete na kapa, hawa waliingia mamiikataba mengi ya mabovu yatakayoligharimu taifa hili hadi kesho, kosa kubwa la magufuli ni kule kutaka kulinasua taifa katika haya mamikataba mabovu yaloingiwa na watangulizi wake na hapa ndo wasojua mambo hushabikia upumbavu
Hakika.
 
Back
Top Bottom