John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Ukumbi wa Bunge umegeuka kuwa Ukumbi wa Ndondi.Huyu kakikimbia kiti
View attachment 3145916
Sijakataa wala sijakubali, mie nimesema wacha nicheke tu mie. Naona UNAFIKI unatamalakiInabidi ucheke, usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Uislam ni mwema sana.
nabidi ucheke, usilolijuwa ni usiku wa kiza.Sijakataa wala sijakubali, mie nimesema wacha nicheke tu mie. Naona UNAFIKI unatamalaki
Dah dini yenu inawabagaza sana mara muitwe vyombo vya starehe, mara mifugo, etc vurugu tupu.Huyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
mgalatia anapokua mtaalamu wa Uislam. Shahadia tu, Uislam ni mwema sana.Hizo ni porojo? Una uhakika na hilo suala?
Alichoongea huyu sheikh ndio mafundisho sahihi ya hiyo dini yenu ya Kiislamu, Wala hajakosea.
Hapana, FaizaFox wewe ndio unaonekana haujui mafundisho sahihi kuhusu hiyo dini ya Kiislamu.
Mimi siyo Mwislamu lakini baada ya kumuuliza rafiki yangu fulani wa tangu miaka mingi (yeye ni Miongoni mwa Wanazuoni wa Kiislamu na pia miongoni mwa Mashehe maarufu Sana kwa hapa Tanzania), amenithibitishia pasipo kuacha chembe ya Shaka kwamba alichoongea huyo Shehe kwenye video ndio Mafundisho sahihi na ni Muongozo sahihi kwa dini ya kiislamu kuhusu suala hili.
Aidha,amenitajia kuwa hiyo ni nukuu ya hadithi ya Mtume kutoka "Sahil al-Bukhari 7099."
Siyo porojo, hiyo ni nukuu kutoka Sahil al-Bukhari 7099.
Waislam hatubishani tunaelimishana, siyo kondoo sisi hamuwezi kuuliza wachungaji wenu.Unabishana na sheikh
kama huelewi unachokisoma siyo kosa langu.Naona unazidi kuzunguka bila HOJA , maswali yangu unayavuka na hautaki kujibu hata moja. Yote ya yote ukipata muda jaribu kupitia posti zangu za nyuma nilizokunukuu kisha zisome halafu ujibu hayo maswali .
Alamsik.
Hutokuta hilo.Dah dini yenu inawabagaza sana mara muitwe vyombo vya starehe, mara mifugo, etc vurugu tupu.
Argue with reasons.mgalatia anapokua mtaalamu wa Uislam. Shahadia tu, Uislam ni mwema sana.
Weka kifungu cha Qur'an kinachomkataza mwanamke kufanya kazi ypoyote ile ya halali. Zingine zote ni porojo tu.Argue with reasons.
Mimi nimeweka na nukuu ya Kifungu cha maandiko kuhusu suala hili, Je, wewe unapinga kwa hoja zipi? Thibitisha hoja zako kwa authorities, endapo kama unazo.
Ambatisha na Vifungu kutoka kwenye vitabu vya Maandiko matakatifu Msaafu au hata Biblia kuthibitisha Ukweli kuhusu Hoja zako. Acha porojo na mipasho.
Unakataa hadithi ww tuna mashaka na Uislamu wakohayo ni maoni yako, mwongozo wa Kiislam ni Qur'an.
Hiyo Imani inaongoza kwa kuyakanusha mafundisho yao wenyewe.Ibnu Kathiyr anasema ni uongozi bali kuadabisha wewe unasema hakuna uongozi inasikitisha.
Nakukumbusha Hadithi ya Mtume naona uliikimbiaView attachment 3146047
mada ni kazi ya halali au mwanamke kuwa kiuongozi mkuu kwenye mjumuiko unaohusisha wanaumeWeka kifungu cha Qur'an kinachomkataza mwanamke kufanya kazi ypoyote ile ya halali. Zingine zote ni porojo tu.
Mimi binafsi sikutaka kumjibu kwa sababu nimegundua huyo Mwanamke ni miongoni mwa wale Watu mambumbu waliobobea, hakuna sababu za kujibizana naye.mada ni kazi ya halali au mwanamke kuwa kiuongozi mkuu kwenye mjumuiko unaohusisha wanaume
anajitoa ufahamu tu ,Mimi binafsi sikutaka kumjibu kwa sababu nimegundua huyo Mwanamke ni miongoni mwa wale Watu mambumbu waliobobea, hakuna sababu za kujibizana naye.
Nipe mfano wa hayo uyasemayo kama wewe ni katika wa kweli.Hiy
Hiyo Imani inaongoza kwa kuyakanusha mafundisho yao wenyewe.
Ipo kimtegomtego tu.
Wanabadilika badilika kama kinyonga
Hapa unataka KUSEMA nini?Ukitaka ujue tatizo la Mwanamke anzia kwenye familia .
Asiwe na kazi au ana kazi kisha Mwanaume awe na mali nyingi na pesa nyingi. Mwanaume awe anampa mkewe pesa zote za kuhudumia watoto na kila kitu . Taratibu mwanamke ataanza kuwaambia watoto kuwa yeye ndio anayetoa pesa na baba yao hafanyi chochote . Atawaaminisha watoto hivyo na kuwafarakanisha na baba yao . Mwishowe anajenga jamii ya watotowasiomjali baba yao na kuona kuwa wanaume ni watu wabaya sana.
Daah kumbe wewe ni mtovu wa Imani kiasi hicho? Kamwe mwanamke hapaswi kuwa Mkuu wa kayaHuyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Hapa unataka KUSEMA nini?