Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Huyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Dah dini yenu inawabagaza sana mara muitwe vyombo vya starehe, mara mifugo, etc vurugu tupu.
 
Hizo ni porojo? Una uhakika na hilo suala?
Alichoongea huyu sheikh ndio mafundisho sahihi ya hiyo dini yenu ya Kiislamu, Wala hajakosea.

Hapana, FaizaFox wewe ndio unaonekana haujui mafundisho sahihi kuhusu hiyo dini ya Kiislamu.
Mimi siyo Mwislamu lakini baada ya kumuuliza rafiki yangu fulani wa tangu miaka mingi (yeye ni Miongoni mwa Wanazuoni wa Kiislamu na pia miongoni mwa Mashehe maarufu Sana kwa hapa Tanzania), amenithibitishia pasipo kuacha chembe ya Shaka kwamba alichoongea huyo Shehe kwenye video ndio Mafundisho sahihi na ni Muongozo sahihi kwa dini ya kiislamu kuhusu suala hili.
Aidha,amenitajia kuwa hiyo ni nukuu ya hadithi ya Mtume kutoka "Sahil al-Bukhari 7099."


Siyo porojo, hiyo ni nukuu kutoka Sahil al-Bukhari 7099.
mgalatia anapokua mtaalamu wa Uislam. Shahadia tu, Uislam ni mwema sana.
 
Naona unazidi kuzunguka bila HOJA , maswali yangu unayavuka na hautaki kujibu hata moja. Yote ya yote ukipata muda jaribu kupitia posti zangu za nyuma nilizokunukuu kisha zisome halafu ujibu hayo maswali .

Alamsik.
kama huelewi unachokisoma siyo kosa langu.
 
mgalatia anapokua mtaalamu wa Uislam. Shahadia tu, Uislam ni mwema sana.
Argue with reasons.

Mimi nimeweka na nukuu ya Kifungu cha maandiko kuhusu suala hili, Je, wewe unapinga kwa hoja zipi? Thibitisha hoja zako kwa authorities, endapo kama unazo.

Ambatisha na Vifungu kutoka kwenye vitabu vya Maandiko matakatifu Msaafu au hata Biblia kuthibitisha Ukweli kuhusu Hoja zako. Acha porojo na mipasho.
 
Argue with reasons.

Mimi nimeweka na nukuu ya Kifungu cha maandiko kuhusu suala hili, Je, wewe unapinga kwa hoja zipi? Thibitisha hoja zako kwa authorities, endapo kama unazo.

Ambatisha na Vifungu kutoka kwenye vitabu vya Maandiko matakatifu Msaafu au hata Biblia kuthibitisha Ukweli kuhusu Hoja zako. Acha porojo na mipasho.
Weka kifungu cha Qur'an kinachomkataza mwanamke kufanya kazi ypoyote ile ya halali. Zingine zote ni porojo tu.
 
Weka kifungu cha Qur'an kinachomkataza mwanamke kufanya kazi ypoyote ile ya halali. Zingine zote ni porojo tu.
mada ni kazi ya halali au mwanamke kuwa kiuongozi mkuu kwenye mjumuiko unaohusisha wanaume
 
mada ni kazi ya halali au mwanamke kuwa kiuongozi mkuu kwenye mjumuiko unaohusisha wanaume
Mimi binafsi sikutaka kumjibu kwa sababu nimegundua huyo Mwanamke ni miongoni mwa wale Watu mambumbu waliobobea, hakuna sababu za kujibizana naye.
 
Ukitaka ujue tatizo la Mwanamke anzia kwenye familia .
Asiwe na kazi au ana kazi kisha Mwanaume awe na mali nyingi na pesa nyingi. Mwanaume awe anampa mkewe pesa zote za kuhudumia watoto na kila kitu . Taratibu mwanamke ataanza kuwaambia watoto kuwa yeye ndio anayetoa pesa na baba yao hafanyi chochote . Atawaaminisha watoto hivyo na kuwafarakanisha na baba yao . Mwishowe anajenga jamii ya watotowasiomjali baba yao na kuona kuwa wanaume ni watu wabaya sana.
Hapa unataka KUSEMA nini?
 
Hapa unataka KUSEMA nini?

Mwanamke ni bingwa wa tamaa ya kuwa juu japo anategemea nguvu ya wanaume?

Na ukimpinga ujue utajenga uadui mkubwa sana .
Kwa tulipofika hatukutegemea kuona rushwa ya pikipiki zaidi ya elfu 18 zikigawanywa ili mtu mmoja akalie kiti cha Urais wakati Hakuna bima ya Afya kwa wote. Kikokotoo kimefifisha kabisa ndoto za wafanyakazi kulitumikia taifa kwa uadilifu lakini mama mmoja anatumia mabilioni kuhamia ikulu na familia yake baada ya kuwa Makamu wa Rais kwa miaka 7 na Rais miaka 4 . Hivi ilikua ni bahati kubwa sana na jambo la kumshukuru sana Mungu kwa kushika nafsi za juu kabisa za nchi kwa miaka kumi na sio kutumia tena Hila utafikiri ni mgeni wa madaraka .
Tatizo ni lile lile la Tamaa ya mwanamke pale Edeni ya kutaka kufanana na Mungu.
Kutukuzwa ,kutawala ,kuheshimiwa ,kuwa juu ya majeshi, kuwa na mali nyingi,kuzunguka dunia nzima , kuwazima anaoona ni adui zake .

Shetani bado ana kazi na wanawake duniani katika kuuondoa ufalme wa Mungu duniani
 
Back
Top Bottom