Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Sikatai quran imejitosheleza hilo halina shaka ndani yake.

Ila tu assume tunaondoa hadith na sasa tunakomaa na quran pekee unaweza kunipa aya zinazoelezea jinsi ya kuswali ? Procedures zote yaani naongelea tukianza na takbira tul ihram, mpaka salam.

halafu unipe aya pia inayosema tuswali swala tano iwe imejieleza bila ya ku backup na hadith yoyote ile , sijaujua kama unafahamu kuwa mtume muhammad (amani iwe juu yake) alienda kupokea swala kwenye arshi ya Allah (azzawajal) kwenye safari ya miiraj.
Mimi nakuuliza, kabla ya mtume Muhammad watu walikuwa wanasali au hawasali?
 
Hapo haijatumika AI wala nini kwani hukuwahi kumsikia huyu Sheikh na haya maneno yaliyosababisha migogoro kwa Waislam kwa kupishana mtazamo?
Sijamsikia hyo maneno kabla, ndiyo kwanza kwenye uzi huu.

Aliyyosema wala hayanipi shida, kwani ni mtazamo wake, hajainukuu Qur'an ambayo ndiyo mwongozo wetu usio na haka ndani yake.
 
Mbona ipo ndani ya mada nimeuliza kutokana na point yako ya kwamba " hadithi ni maneno ya watu tu" tafadhali ungenijibu swali langu kwanza ili twende sawa.
Unataka nikujibu vipi, sijui Waislam wpote wanasali bipoi, naona kila mmoja kivyake, wengine wananyoosha mikono, wengine wanafunga mikono, wengine wanacheza kidole cha shahada, wengine hawachezeshi, wengine hawanyooshi kabisa.

Ka mambo kama hayo inabidi wewe unambie wanayosoma wapi yote haypo mpaka wanahitilafiana sala zao?

Tena hayo nimekutajia machche tu, ndiyo maana nikakwambia fungulia uzi wake, au hutaki elimu? Ulikuwa unauliza ushabiki tu?
 
Hapo haijatumika AI wala nini kwani hukuwahi kumsikia huyu Sheikh na haya maneno yaliyosababisha migogoro kwa Waislam kwa kupishana mtazamo?
Hakuna kupishana maneno ni kutokuwa na elimu tu hadithi aliyonukuu huyo shaikh ni hadith sahih na wanawachuoni madhhab yote wanakubaliana kwenye hilo
 
اقيم الصلاه لدلوك الشمس الى غسق الليل وقران الفجر

حافظوا على الصلوات والصلاه الوسطى

فسبحان الله حين تمسون وحين تظهرون

وله الحمد في السماوات والارض وعشيا وحين تظهرون

واقيموا الصلاه

ان الصلاه كانت على المؤمنين كتابا موقوتا
Usipotumia ahadith kufafanua hakuna aya imeelezea direct tuswali swala tano kwa siku, hilo ndo lilikuwa dhumuni langu kumuikiza swali hilo kwa maana kuna kauli aliitoa kwamba "hadith ni maneno ya watu" .

Kwa tunavyojua mtume muhammad (amani iwe juu yake ) amezifafanua aya nyingi kupitia hadith hivyo hauwezi moja kwa moja kuondoa hadith kwenye ibada zetu za kila siku maana hata vipengele vya ibada ya swala hatuwezi kuvitambua ispokuwa kupitia hadith .
 
nawewe unapishana na FaizaFoxy tena
So yeye ameinukuu Hadith na sio Quran sio?
uzuri wa uislamu kama muislamu mwenzako kakosea haipaswi kumuunga mkono maana unakuwa unapotosha umma kupishana na ye (faizafoxy) ni jambo la kawaida hasa kwenye mambo ya kielim .

Hiyo hadith mtume muhammad (peace be upon him) alinukuliwa pale ambapo ufalme wa sassanid empire (iran ya sasa au kwa jina lingine kisra) ulipompoteza mfalme wake na kuchaguwa watoto wa kike wa mfalme kushika nafasi ya baba yao ndipo alipotoa hadithi hiyo na hadith imegusa direct UONGOZI WA JUU /kuongoza watu wengi .

"
 

Attachments

  • images-4.jpeg
    images-4.jpeg
    41.2 KB · Views: 2
Tatizo sio uchumi tu. Tatizo mila..ulaya kuna ushenzi mwengi sana
ACHA UNAFIQ WE MUISLAM, Kama kuna Ushenzi mwingi kwanini mnapakimbilia huko?

Kuna nyuzi humu, mnafukuzwa kila mara huko ulaya, ilianza Ujerumani, juzi ni Norway
 
Faiza foxy
Kama umeelezea hayo kwa kusukumwa na unafiki ndani yako badała ya Ukweli wa Mungu,
Kama umeelezea hayo kwa kusukumwa ndani yako na maslahi yako binafsi kama mnufaika ,
Kama umeyasema hayo kwa hila, nia ovu , ghiliba n.k
Kama umeyasema hayo kwa nią ya kupotosha ,
Basi Mwenyezi Mungu Muumbaji wa Mbingu, Dunia , wanadami na vyoote na akukukemee mwenyewe.
Mwenyezi Mungu na akuhukumu mweyewe.
Amina.
Hapana, FaizaFoxy yeye anaiamini na kuifuata Quran na sio Hadith ya Mtume
 
Unataka nikujibu vipi, sijui Waislam wpote wanasali bipoi, naona kila mmoja kivyake, wengine wananyoosha mikono, wengine wanafunga mikono, wengine wanacheza kidole cha shahada, wengine hawachezeshi, wengine hawanyooshi kabisa.

Ka mambo kama hayo inabidi wewe unambie wanayosoma wapi yote haypo mpaka wanahitilafiana sala zao?

Tena hayo nimekutajia machche tu, ndiyo maana nikakwambia fungulia uzi wake, au hutaki elimu? Ulikuwa unauliza ushabiki tu?

kwenye mas'ala yote uliyotaja mbona hakuna ikhtilafu nenda kasome kitabu kwa jina "sifat swalatu nabii cha shaikh al albani(rahimahullah) " utajua mtume alikuwa anaswali vipi na ushahidi ni hizo hizo hadithi unazosema ni za watu tu .

Halafu unaposema "waislamu wote " natarajia unamaanisha wale wanaoshikama na aqeeda ya kweli yaani quran na sunna kwa dalili .

Sasa hao wanaoswali tofauti ndiyo watupe dalili kwamba hayo wanayoyafanya waliyotoa wapi na kwa ushahidi upi, na bado nasubiri Aya/sura inayoelezea process zote za namaz.

Allah(subhanna huwataala) anajua zaidi.
 
Walikuwepo baadhi nchini India na sehemu nyingine, ila chamoto walikiona.​
Hadithi hiyo ipo wazi, haijakataza kutawaliwa na mwanamke, ila imesema jamii hiyo haitafanikiwa,sasa chaguo ni la jamii kama wanataka mafanikio au la!
 
Hakuna kupishana maneno ni kutokuwa na elimu tu hadithi aliyonukuu huyo shaikh ni hadith sahih na wanawachuoni madhhab yote wanakubaliana kwenye hilo
Kitu ambacho hukielewi ni kimoja tu. Huwezi kuharamisha kitu ambacho hakijaharamishwa na Qur'an.

Ukiiona hadith yoyote ile inaharamisha kitu ambachpo hakijaharamishwa na Allah, ujuwe bomu hilo.


1:116. Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali,na hichi haramu - mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa. 116
 
kwenye mas'ala yote uliyotaja mbona hakuna ikhtilafu nenda kasome kitabu kwa jina "sifat swalatu nabii cha shaikh al albani(rahimahullah) " utajua mtume alikuwa anaswali vipi na ushahidi ni hizo hizo hadithi unazosema ni za watu tu .

Halafu unaposema "waislamu wote " natarajia unamaanisha wale wanaoshikama na aqeeda ya kweli yaani quran na sunna kwa dalili .

Sada hao wanaoswali tofauti ndiyo watupe dalili kwamba hayo wanayoyafanya waliyotoa wapi na kwa ushahidi upi, na bado nasubiri Aya/sura inayoelezea process zote za namaz.

Allah(subhanna huwataala) anajua zaidi.
Wewe wacha porojo za vitabu na Qur'an ipo. Kama hakijaharamishwa na Allah zingine zote ni porojo tu:

16:116. Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali,na hichi haramu - mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa. 116
 
Back
Top Bottom