Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizi power za DPP kuamua kumpeleka Mtu Mahakamani na Kisha kuamua tena kutoendelea na shitaka wakati Mtu Huyo kasota rumande miaka kibao, linapaswa kuangaliwa upya.

Hii mamlaka ya DPP Haina tofauti na kumpa Mtu mmoja madaraka ya kukamata, kuhukumu, na kuachia mtuhumiwa.

Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
Tulibaki na sheria za kikoloni za kijinga sana.
 
Shura ya Maimamu Tanzania

KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025

MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE.

MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za Ugaidi wameachiwa huru leo. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Kirekiano.

Kabla ya hukumu hiyo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP, aliambia Mahakama upande wa Jamhuri hauna haja ya kuendelea tena na shauri hilo.

Akitoa uamuzi huo mheshimiwa jaji amesema amekubali ombi hilo la Mwendesha Mashtaka wa serikali.

Kwa muda mrefu Shura ya Maimamu Tanzania imekua ikimuomba Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kulifuta shauri hilo kwa sababu za upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao.

Walioachiwa huru ni:

1. Ali Mohammed Ulatule (70).
2. Khamisi Mohammed Ulatule (61).
3. Nassoro Suleiman Ulatule (41),
4. Rajab Ali Mohammed Ulatule (34).
5. Na Ramadhani Khamisi Mohammed Ulatule (29).

Wengine ni:

6. Saidi Abdallah Chambeta.
7. Fadhili Shaabani Lukwembe.
8. Mnemo Qassim Mwatumbo.
9. Abdallah Bushiri kalukula.
10. Khamisi Ally Masamba.
11. Omari Abdallah Makota.
12. Na Mohammed Hassan Ungando.

Katika kundi la Masheikh walioachiwa leo, 5, ni wa familia moja ya Ulatule. Wao walikamatwa familia moja watu 16, na baada ya masiku kadhaa (ya kutofahamika walipo), hatimaye 7, walikutwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam baada ya kufikishwa Mahakamani na kusomewa shtaka la ugaidi.

Aidha wenzao 9, hawajulikani walipo mpaka leo. Kati ya 7, waliokua gerezani 2, Sheikh Suleima Mohammed Ulatule (99), na Sheikh Saidi Mohammed Ulatule (79), wamefariki dunia wakiwa gerezani.

Kufuatia kuachiwa kwa masheikh hao 12, idadi ya mahabusu wenzao waliobaki katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ni 39.

Shura ya Maimamu Tanzania inawashukuru wale wote wanaoshiriki ipasavyo harakati za kutetea haki za binadamu.
Sasa wakae kwa kutulia, mda wowote wanaweza kukamatwa kwa mujibu wa sheria, iwapo serikali itaona inafaa.
 
Hizi power za DPP kuamua kumpeleka Mtu Mahakamani na Kisha kuamua tena kutoendelea na shitaka wakati Mtu Huyo kasota rumande miaka kibao, linapaswa kuangaliwa upya.

Hii mamlaka ya DPP Haina tofauti na kumpa Mtu mmoja madaraka ya kukamata, kuhukumu, na kuachia mtuhumiwa.

Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
Yaani kirahisi tu mtu anaachiwa bila hata fidia. Hii sheria huwa siielewi.
 
Habari njema sana ,hongereni mashehe na pia poleni kwa maswahibu.

Jiepusheni na mambo ambayo yataathiri amani ya nchi ,TZ kwenye intelenjensia wapo vizuri sana ,unaweza ukaona unafanya mambo ya ugaidi kimya kimya kumbe watu wamekuweka kwenye rada.

Uhuru wa maoni unaruhusiwa kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba ,siyo wote tuwe na mawazo sawa ,kuna wengine wataipenda sisiemu na kuna wengine wataipenda cdm na vyama vingine ,na hivyo vyama kila kimoja kina falsafa zake hivyo hata wanachama nao watakuwa na falsafa tofauti ,so isiwe uadui mtu wa sisiemu akitoa mawazo tofauti na cdm na vile vile cdm akitoa mawazo tofauti na ya sisiemu.

Cha kushangaza wanaotekwa ni wale wanaotoa mawazo kinzani na sisiemu.
 
Shura ya Maimamu Tanzania

KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025

MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE.

MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za Ugaidi wameachiwa huru leo. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Kirekiano.

Kabla ya hukumu hiyo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP, aliambia Mahakama upande wa Jamhuri hauna haja ya kuendelea tena na shauri hilo.

Akitoa uamuzi huo mheshimiwa jaji amesema amekubali ombi hilo la Mwendesha Mashtaka wa serikali.

Kwa muda mrefu Shura ya Maimamu Tanzania imekua ikimuomba Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kulifuta shauri hilo kwa sababu za upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao.

Walioachiwa huru ni:

1. Ali Mohammed Ulatule (70).
2. Khamisi Mohammed Ulatule (61).
3. Nassoro Suleiman Ulatule (41),
4. Rajab Ali Mohammed Ulatule (34).
5. Na Ramadhani Khamisi Mohammed Ulatule (29).

Wengine ni:

6. Saidi Abdallah Chambeta.
7. Fadhili Shaabani Lukwembe.
8. Mnemo Qassim Mwatumbo.
9. Abdallah Bushiri kalukula.
10. Khamisi Ally Masamba.
11. Omari Abdallah Makota.
12. Na Mohammed Hassan Ungando.

Katika kundi la Masheikh walioachiwa leo, 5, ni wa familia moja ya Ulatule. Wao walikamatwa familia moja watu 16, na baada ya masiku kadhaa (ya kutofahamika walipo), hatimaye 7, walikutwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam baada ya kufikishwa Mahakamani na kusomewa shtaka la ugaidi.

Aidha wenzao 9, hawajulikani walipo mpaka leo. Kati ya 7, waliokua gerezani 2, Sheikh Suleima Mohammed Ulatule (99), na Sheikh Saidi Mohammed Ulatule (79), wamefariki dunia wakiwa gerezani.

Kufuatia kuachiwa kwa masheikh hao 12, idadi ya mahabusu wenzao waliobaki katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ni 39.

Shura ya Maimamu Tanzania inawashukuru wale wote wanaoshiriki ipasavyo harakati za kutetea haki za binadamu.
Nadhani wafungue kesi ya kuomba fidia
 
Nani kakuambia hawana hatia?? Mpaka uje uthibitishe kuwa hawana hatia, utakuta makanisa yameschomwa, mapadri wameuliwa na ushenzi kibao.

Namna ta kudeal na religious fundamentalists ni hivyo tu. Hata USA pale Guantanamo ndivyo walivyowasomba.

Dini ni kama bangi ukiipokea ndivyo sivyo. Hawa wameshikishwa adabu. HAWATOFURUKUTA tena
We unaongea bila kuelewa,chuki tu zimekutawala,ungetwambia makosa yao yalikuwa yapi uenda ungeeleweka,kuliko hayo usemayo,,,makosa ubainishwa na hukumu zake ujulikana,lkn hawa haijulikani walifanya nini.
 
Halafu baada ya hapo wanasaidiwaje sana.
Mtu alikwenda akiwa na 50yrs, angalau ana nguvu bado anatoka na 60yrs huku amechoka na mateso ya jela halafu unamuacha bila msaada wowote na jela ulimuweka kimakosa.

Nafikiri inapaswa wale woote waliohusika na huo ujinga nao wapelekwe jela wakakae mara tatu zaidi ya hiyo miaka 10 ili nao waone madhara ya mizaha mizaha kwenye maisha ya watu.
Kutii sheria bila shuruti kunasaidia sana
Ni vizuri kuishi na watu kwa amani na kutojihusisha na mskundi yenye vitendo hatarishi si kwa wengine tu bali kwako pia
Waislamu safi mbona wako tu wanaendelea na maisha yao mitaani hakuna wa kuwadhuru wala kuwapeleka mahabusu

Hapo wanatoka wengine watakuta wake zao walishajwenda kuolewa kwingine
 
Shura ya Maimamu Tanzania

KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025

MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE.

MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za Ugaidi wameachiwa huru leo. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Kirekiano.

Kabla ya hukumu hiyo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP, aliambia Mahakama upande wa Jamhuri hauna haja ya kuendelea tena na shauri hilo.

Akitoa uamuzi huo mheshimiwa jaji amesema amekubali ombi hilo la Mwendesha Mashtaka wa serikali.

Kwa muda mrefu Shura ya Maimamu Tanzania imekua ikimuomba Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kulifuta shauri hilo kwa sababu za upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao.

Walioachiwa huru ni:

1. Ali Mohammed Ulatule (70).
2. Khamisi Mohammed Ulatule (61).
3. Nassoro Suleiman Ulatule (41),
4. Rajab Ali Mohammed Ulatule (34).
5. Na Ramadhani Khamisi Mohammed Ulatule (29).

Wengine ni:

6. Saidi Abdallah Chambeta.
7. Fadhili Shaabani Lukwembe.
8. Mnemo Qassim Mwatumbo.
9. Abdallah Bushiri kalukula.
10. Khamisi Ally Masamba.
11. Omari Abdallah Makota.
12. Na Mohammed Hassan Ungando.

Katika kundi la Masheikh walioachiwa leo, 5, ni wa familia moja ya Ulatule. Wao walikamatwa familia moja watu 16, na baada ya masiku kadhaa (ya kutofahamika walipo), hatimaye 7, walikutwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam baada ya kufikishwa Mahakamani na kusomewa shtaka la ugaidi.

Aidha wenzao 9, hawajulikani walipo mpaka leo. Kati ya 7, waliokua gerezani 2, Sheikh Suleima Mohammed Ulatule (99), na Sheikh Saidi Mohammed Ulatule (79), wamefariki dunia wakiwa gerezani.

Kufuatia kuachiwa kwa masheikh hao 12, idadi ya mahabusu wenzao waliobaki katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ni 39.

Shura ya Maimamu Tanzania inawashukuru wale wote wanaoshiriki ipasavyo harakati za kutetea haki za binadamu.
Kweli ugaidi sio mzuri na haifai kuufumbia macho pindi unapojulikana, lakini pia na haki za binadamu zifuatwe , mfano kama hao ndugu wa familia moja 9 ambao mpaka leo baada ya miaka 10 kupita bado haijulikani kama wapo hai au walishatangulia mbele za haki 😳
 
Hiyo ndio namna ya kudeal na Extremists

Kwa nini hawakutumia sheria ya ku deal na ma extremists ?

Katika 16 waliokamatwa wa familia moja, wameua 9, wameibua mahakamani 7.

We hujui dini yangu na mi sijui ya kwako, hebu tuweke pembeni takataka za unazi wa dini, tujadilli kama ma genius fulani ambayo dini yao ni haki, sheria, amani, kuheshimu imani za wengine, na common sense. Tunaweza ?

KWA NINI SHERIA YA BUNGE YA KU DEAL NA MA EXTREMISTS HAPA IMETEMEWA MATE NA WAENDESHA MASHTAKA ?
 
Shura ya Maimamu Tanzania

KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025

MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE.

MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za Ugaidi wameachiwa huru leo. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Kirekiano.

Kabla ya hukumu hiyo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP, aliambia Mahakama upande wa Jamhuri hauna haja ya kuendelea tena na shauri hilo.

Akitoa uamuzi huo mheshimiwa jaji amesema amekubali ombi hilo la Mwendesha Mashtaka wa serikali.

Kwa muda mrefu Shura ya Maimamu Tanzania imekua ikimuomba Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kulifuta shauri hilo kwa sababu za upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao.

Walioachiwa huru ni:

1. Ali Mohammed Ulatule (70).
2. Khamisi Mohammed Ulatule (61).
3. Nassoro Suleiman Ulatule (41),
4. Rajab Ali Mohammed Ulatule (34).
5. Na Ramadhani Khamisi Mohammed Ulatule (29).

Wengine ni:

6. Saidi Abdallah Chambeta.
7. Fadhili Shaabani Lukwembe.
8. Mnemo Qassim Mwatumbo.
9. Abdallah Bushiri kalukula.
10. Khamisi Ally Masamba.
11. Omari Abdallah Makota.
12. Na Mohammed Hassan Ungando.

Katika kundi la Masheikh walioachiwa leo, 5, ni wa familia moja ya Ulatule. Wao walikamatwa familia moja watu 16, na baada ya masiku kadhaa (ya kutofahamika walipo), hatimaye 7, walikutwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam baada ya kufikishwa Mahakamani na kusomewa shtaka la ugaidi.

Aidha wenzao 9, hawajulikani walipo mpaka leo. Kati ya 7, waliokua gerezani 2, Sheikh Suleima Mohammed Ulatule (99), na Sheikh Saidi Mohammed Ulatule (79), wamefariki dunia wakiwa gerezani.

Kufuatia kuachiwa kwa masheikh hao 12, idadi ya mahabusu wenzao waliobaki katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ni 39.

Shura ya Maimamu Tanzania inawashukuru wale wote wanaoshiriki ipasavyo harakati za kutetea haki za binadamu.
Hao familia moja kukamatwa 16 na kizee cha 99years kama umiliki wa ardhi ya Tanzania kulikoni!

Kuna jambo haliko sawa

Ulatule familiy, Mungu anawaona, mlitaka tuishi kama tupo kuzimu kwenye tunuru la moto na machafuko
 
Back
Top Bottom