Kama Alihusika Moja Kwa Moja Mauaji Ya Hao Watu Na Yeye Atauwawa Ni Swala La Muda Tu.Hata wewe Jua Jambo Hilo Leo.Heri bongo miaka kumi halafu DPP anasusa unaanza moja.
Kenyatta alikuwa anamalizana na masheikh watuhumiwa wa ugaidi nje ya mfumo.eg Rogo, Makuburi.