Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii Inaweza Kuwa Ndo Chanzo Cha Chuki Dhidi Ya Kile Ulichokitaja.
Hawa Wanahitaji Kitu Kidogo Tu Kuwafanya Magaidi.

Dhulma Ndo Chanzo Cha Kisasi Ila Ukiwa Na Akili Za Kikanisa Kanisa Huwezi Kuelewa.
Wametumikia Miaka Kumi Bila Sababu Za Msingi Alafu Kuna mtu Anashangilia Binadam Mwenzie Kuonewa Kisa Ni Mwislam Kaonewa Ila Tambua Mambo Hubadilika.

..kauli sahihi ni wameonewa na serikali ya Ccm.

..kuna Mashekhe walikamatwa wakati Raisi, na Igp, wakiwa Waislamu.

..wakati wa kampeni, mwanasiasa pekee aliyepanda jukwaani na kuwatetea Mashekhe wa Ansar Sunna alikuwa Tundu Lissu.

..pia Mheshimiwa Bwege alipokuwa mbunge aliwahi kuwasemea Waislamu waliopotezwa mikoa ya kusini.

..Tuiondoe CCM ili haki itawale ktk nchi yetu.
 
..hivi ugaidi unaweza kupangwa na familia nzima, mpaka wanawake?
Labda wana familia wengine walijaribu kuzuia ukamataji kwa kutumia nguvu kwa hasira kitengo cha ukamataji wakaona wote hawa lao moja,na jinai hata ukiona au kisikia na ukakaa kimya,likimbumbuluka huko na wwe umo!!
 
We unaongea bila kuelewa,chuki tu zimekutawala,ungetwambia makosa yao yalikuwa yapi uenda ungeeleweka,kuliko hayo usemayo,,,makosa ubainishwa na hukumu zake ujulikana,lkn hawa haijulikani walifanya nini.
piga miaka 10 nchini Tz tulipitia maswaibu gan ? je serikali iliwezah yamaliza hayo , unganisha dots

HAO HURUMA YA BI USHUNGI IMETUMIKA
 
Labda wana familia wengine walijaribu kuzuia ukamataji kwa kutumia nguvu kwa hasira kitengo cha ukamataji wakaona wote hawa lao moja,na jinai hata ukiona au kisikia na ukakaa kimya,likimbumbuluka huko na wwe umo!!

..naamini sio sahihi kumuweka mtu mahabusu kwa miaka 10 na baada ya hapo kumuachia bila maelezo, wala fidia.

..pia watu kupotea wakiwa katika mikono ya vyombo vya dola sio sahihi. Hakuna sheria yoyote inayoruhusu jambo la namna hiyo.

..Mtanzania yeyote akikamatwa anapaswa kufikishwa mahakamani na kuhukumiwa. Na hakuna shitaki ambalo mtu hawezi kufikishwa nalo mahakamani.

..katika nchi yetu tuna historia ya kesi kama nne au tatu za uhaini. Kesi hizo ziliendeshwa mahakamani kwa uwazi na hukumu zilitolewa.

..kama waendesha mashtaka wetu na mahakama waliweza kusimamia kesi za uhaini, na kutoa hukumu za haki, nini kinawazuia kufanya hivyo ktk tuhuma za ugaidi?
 
..naamini sio sahihi kumuweka mtu mahabusu kwa miaka 10 na baada ya hapo kumuachia bila maelezo, wala fidia.

..pia watu kupotea wakiwa katika mikono ya vyombo vya dola sio sahihi. Hakuna sheria yoyote inayoruhusu jambo la namna hiyo.

..Mtanzania yeyote akikamatwa anapaswa kufikishwa mahakamani na kuhukumiwa. Na hakuna shitaki ambalo mtu hawezi kufikishwa nalo mahakamani.

..katika nchi yetu tuna historia ya kesi kama nne au tatu za uhaini. Kesi hizo ziliendeshwa mahakamani kwa uwazi na hukumu zilitolewa.
Achaa kulalamika sana,ukiona hadi DPP hana nia ya kuendelea na kesi kuna makubaliano hapo kati ya mshitakiwa na mshitaki,na makubaliano hayo hakimu hawezi kuyakataa, DPP hakurupuki tu kumuachiya mtuhumiwa, na hata Mshitakiwa kuna muda anageuka kua shahidi kwenye kesi yake!!
 
Nani kakuambia hawana hatia?? Mpaka uje uthibitishe kuwa hawana hatia, utakuta makanisa yameschomwa, mapadri wameuliwa na upuuzi kibao.

Namna ta kudeal na religious fundamentalists ni hivyo tu. Hata USA pale Guantanamo ndivyo walivyowasomba.

Dini ni kama bangi ukiipokea ndivyo sivyo. Hawa wameshikishwa adabu. HAWATOFURUKUTA tena
wakijaribu tena kuhatarisha amani na usalama wa raia waswekwe ndani tena. Hatutaki mihemko ya dini kudhuru wengine
 
Habari njema sana ,hongereni mashehe na pia poleni kwa maswahibu.

Jiepusheni na mambo ambayo yataathiri amani ya nchi ,TZ kwenye intelenjensia wapo vizuri sana ,unaweza ukaona unafanya mambo ya ugaidi kimya kimya kumbe watu wamekuweka kwenye rada.

Uhuru wa maoni unaruhusiwa kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba ,siyo wote tuwe na mawazo sawa ,kuna wengine wataipenda sisiemu na kuna wengine wataipenda cdm na vyama vingine ,na hivyo vyama kila kimoja kina falsafa zake hivyo hata wanachama nao watakuwa na falsafa tofauti ,so isiwe uadui mtu wa sisiemu akitoa mawazo tofauti na cdm na vile vile cdm akitoa mawazo tofauti na ya sisiemu.

Cha kushangaza wanaotekwa ni wale wanaotoa mawazo kinzani na sisiemu.
unaleta mfano usiohusiana na magaidi hayo yaliyoachiwa. Wale ni wehu wa dini si wa siasa za ccm na chadema
 
Sidhan kwamba walikamatwa kimakosa mpaka kuwa mahabusu hapo wametolewa kwa huruma tuu
Huenda kweli ni Magaidi au walipanga njama za ugaidi. Tatizo lipo kwenye Sheria yenyewe ya Ugaidi. Kuuthibitisha ugaidi sio kazi nyepesi! Ingawa dola unajua kwa haikka kuwa x, Y, na Z ni Magaidi. Sasa ukiwakamata na kuwafikisha mahakamani Sheria Yako hiyo hiyo inakuwa kikwazo kuwafunga, unanamua kuwafunga ki technicalities kkamam hizo kuwasotesha mahabusu miaka kibao, wakitoka, mmoja miaka 70 mwingine67 mwingine 60 uwezo wa ku organize ugaidi umeisha.
 
Dunia Haina HurumA.
Kuna Sehemu Umekaa Unajiaminisha Ujinga Huku Ukijiona Mjanja Na Chuki Zako Uchwara.
Jera Ni Haina Mwenyewe Hata Uwe Rais Wa Nchi Tegemea Linaweza Likukute Jambo Iwe Kwa Kutenda Au Kwa Kusingiziwa.Chunga Ulimi Wako Dogo.
kuna chuki gani hapo, acha kutoa povu
 
Hii Inaweza Kuwa Ndo Chanzo Cha Chuki Dhidi Ya Kile Ulichokitaja.
Hawa Wanahitaji Kitu Kidogo Tu Kuwafanya Magaidi.

Dhulma Ndo Chanzo Cha Kisasi Ila Ukiwa Na Akili Za Kikanisa Kanisa Huwezi Kuelewa.
Wametumikia Miaka Kumi Bila Sababu Za Msingi Alafu Kuna mtu Anashangilia Binadam Mwenzie Kuonewa Kisa Ni Mwislam Kaonewa Ila Tambua Mambo Hubadilika.
wale ni magaidi, wameachiwa wakatuliea waachane na harakati za kidini kuhatarisha amani na usalama wa raia
 
Achaa kulalamika sana,ukiona hadi DPP hana nia ya kuendelea na kesi kuna makubaliano hapo kati ya mshitakiwa na mshitaki,na makubaliano hayo hakimu hawezi kuyakataa, DPP hakurupuki tu kumuachiya mtuhumiwa, na hata Mshitakiwa kuna muda anageuka kua shahidi kwenye kesi yake!!

..unazungumzia plea bargain.

..kilichotokea ni nolle prosequi / Dpp kuamua kuachana na kesi.

..hayo ni mambo mawili tofauti.

..tukiendelea na utaratibu huu uonevu na dhuluma hazitakwisha nchi hii.
 
Back
Top Bottom