Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Duuh inamaana waliwadaka zaidi ya 60 na wengine wakalimwa juu kwa juu, wengine wakatupwa lupango..

Nini hasa ilikua sababu?? Kulikua na fukuto kali kiasi gani hadi wadakwe wengi namna hiyo?

Mwenye link ya uzi wa hilo sakata ashee nasi wengine 2015 tulikua nje ya nchi kikazi.
 
Hizi power za DPP kuamua kumpeleka Mtu Mahakamani na Kisha kuamua tena kutoendelea na shitaka wakati Mtu Huyo kasota rumande miaka kibao, linapaswa kuangaliwa upya.

Hii mamlaka ya DPP Haina tofauti na kumpa Mtu mmoja madaraka ya kukamata, kuhukumu, na kuachia mtuhumiwa.

Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
Kwaiyo unataka waendelee kusofa?
 
Hizi power za DPP kuamua kumpeleka Mtu Mahakamani na Kisha kuamua tena kutoendelea na shitaka wakati Mtu Huyo kasota rumande miaka kibao, linapaswa kuangaliwa upya.

Hii mamlaka ya DPP Haina tofauti na kumpa Mtu mmoja madaraka ya kukamata, kuhukumu, na kuachia mtuhumiwa.

Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
hili jambo liangaliwe, its seems hamna sheria inayo limit mamlaka hayo
Uteuzi wake wenyewe unaonyesha always atakuwa loyal kwa his/her masters kuliko anao watumikia
Ni massive hole kwenye sheria
 
We unaongea bila kuelewa,chuki tu zimekutawala,ungetwambia makosa yao yalikuwa yapi uenda ungeeleweka,kuliko hayo usemayo,,,makosa ubainishwa na hukumu zake ujulikana,lkn hawa haijulikani walifanya nini.
Mambo ya Masheikh kuwekwa ndani yalitokea kati ya 2012 na 2014 Rais akiwa Jakaya Kikwete. Hakuna chuki kwa Waisalamu na ndiyo maana hata wewe baba yako hakukamatwa na kuwekwa ndani kwa kuwa ni Muislamu safi.

Kwa akili yako ndogo ya kuzaliwa miaka ya 2000 huwezi elewa nini kilikuwa kimaendelea mapango ya Amboni Tanga na huko Kibiti, Mkuranga na Rufiji
 
Nenda kawaambie tena hao walioachiwa jana waendelee na mambo walikuwa wanafanya miaka ya 2012-14.

Watu mnasahau haraka kama mende anayekula kwenye makabati na kuishi kwenye makaro ya maji machafu
Nakueleza tuu Mbowe aliwahi ambiwa ni gaidi, sasa na wewe angalia usije ambiwa hivyo. Tena Bora hawa wameachiwa, lkn Saa nane/kibao/soka na wengineo mpaka Leo hatujui wako wapi. Ndugu zao wanatamani wangefungwa japo kama hao mashekhe kisha baada ya Miaka 10/14 wakaachiwa. Kwahio Kila mtu yanamkuta kwa style yake.

Na hata Wana CCM Leo ukiwambia hao wamepotezwa wanasema sio kweli wamejipoteza. Hata Lissu wanasema eti "alishambuliwa na wenzake".
 
Dunia Haina HurumA.
Kuna Sehemu Umekaa Unajiaminisha Ujinga Huku Ukijiona Mjanja Na Chuki Zako Uchwara.
Jera Ni Haina Mwenyewe Hata Uwe Rais Wa Nchi Tegemea Linaweza Likukute Jambo Iwe Kwa Kutenda Au Kwa Kusingiziwa.Chunga Ulimi Wako Dogo.
Mbona wewe bwege hauko kati ya hao 12?? Ni kwa kuwa wewe in Muislamu safi lakini bwege.

Hivi umesau mara hii kuchomwa makanisa Zanzibar, kuuliwa mapadri Zanzibar, kuchomwa makanisa Mbagala??

Umesahau vifo vya mapolisi Mkuranga, Kibiti na Rufiji??

Umesahau wale wahuni wa mapango ya Amboni Tanga.

Serikali HAIWEZI KUMUONEA Mtanzania na kumkamata bila sababu.
 
Hii Inaweza Kuwa Ndo Chanzo Cha Chuki Dhidi Ya Kile Ulichokitaja.
Hawa Wanahitaji Kitu Kidogo Tu Kuwafanya Magaidi.

Dhulma Ndo Chanzo Cha Kisasi Ila Ukiwa Na Akili Za Kikanisa Kanisa Huwezi Kuelewa.
Wametumikia Miaka Kumi Bila Sababu Za Msingi Alafu Kuna mtu Anashangilia Binadam Mwenzie Kuonewa Kisa Ni Mwislam Kaonewa Ila Tambua Mambo Hubadilika.
Sasa wewe unaswali kwa kupigiza uso sakafuni huku matako umeweka juu ndiyo unadhani una akili kuliko mtu wa kanisa?? Acha dharau, hakuna unachojuwa
 
Hii Inaweza Kuwa Ndo Chanzo Cha Chuki Dhidi Ya Kile Ulichokitaja.
Hawa Wanahitaji Kitu Kidogo Tu Kuwafanya Magaidi.

Dhulma Ndo Chanzo Cha Kisasi Ila Ukiwa Na Akili Za Kikanisa Kanisa Huwezi Kuelewa.
Wametumikia Miaka Kumi Bila Sababu Za Msingi Alafu Kuna mtu Anashangilia Binadam Mwenzie Kuonewa Kisa Ni Mwislam Kaonewa Ila Tambua Mambo Hubadilika.
Unauhakika wameonewa?au unajisemesha kwa sababu ni wafunga ndevu wenzio.

Hayo ni magaidi yamaua na kuumiza wengi,
 
Nakueleza tuu Mbowe aliwahi ambiwa ni gaidi, sasa na wewe angalia usije ambiwa hivyo. Tena Bora hawa wameachiwa, lkn Saa nane/kibao/soka na wengineo mpaka Leo hatujui wako wapi. Ndugu zao wanatamani wangefungwa japo kama hao mashekhe kisha baada ya Miaka 10/14 wakaachiwa. Kwahio Kila mtu yanamkuta kwa style yake.

Na hata Wana CCM Leo ukiwambia hao wamepotezwa wanasema sio kweli wamejipoteza. Hata Lissu wanasema eti "alishambuliwa na wenzake".
Mkuu umechanganya mafaili. Issue ya kushambuliwa Lissu au kupotea kwa akina Soka kama utaifananisha na issue za hawa magaidi unaonyesha upeo mdogo wa uelewa wa mambo.
 
Mkuu umechanganya mafaili. Issue ya kushambuliwa Lissu au kupotea kwa akina Soka kama utaifananisha na issue za hawa magaidi unaonyesha upeo mdogo wa uelewa wa mambo.
Ndicho nachokueleza Kila mtu yanamkuta kwa aina yake, kipindi unasema hayo, wapo waliozingishiwa kuua wakakaa miaka 5 kama yule dogo wa Iringa, wapo wakina Mzee Kibao waliuouwawa wapo wakina Azory/Kaguye wote hao Kuna sababu wengine wakisema walishirikiana na Magaidi wa ikwilili. Kwahio Kila mtu asali kwa dini yake yasije yakamkuta.

Mimi nilitegemea Hawa Magaidi wahukumiwe kabisa miaka kibao, sasa kama wanakaa miaka 10 wanaachiwa kwa DPP kutokua na nia yakuendelea na kesi maana yake nini?. Hawa walitaka Zanzibar iwe nchi kamili ndio wakakutana na mkono wa chuma wote tunajua nini kilitokea. Hayo mengine unayoyasema ilikua watawala wenyewe Ili kwenye macho ya watu wapate sababu.

Masoko kibao yameungua lkn mpaka Leo hakuna aliyekamatwa, lakini wengi tunajua ni nn sababu yakuunguzwa masoko hayo. Kwahio kama ukiangushiwa mzigo huo raia wataamini hasa kama wajishughulisha na siasa. Mimi nachosema omba tu yasikukute au kumkuta ndugu yako.
 
Uzuri kila anayetoka anaanza maisha upya. Toka wale wa UAMSHO akina Farouk na Mselem, hakuna tena anayeendekeza UJINGA.

Kweli gereza ni chuo cha mafunzo au ulaya wanaita correctional centre.

Hongera Kikwette kwa kuwadhubiti hawa "Siasa Kali wa Kiislamu. La sivyo nchi yetu ingekuwa kichaka cha Alshabab
Kwa kweli JK alipambana maana tulishafika pabaya mno.
Ref. Matukio ya kibiti, staki sharing police, kanisani RC Arusha, kumwagiwa tindikali mapadre ZNZ nk.
Wangeachwa miaka 5 tena hapa kungekuwa Somalia
 
Mambo ya Masheikh kuwekwa ndani yalitokea kati ya 2012 na 2014 Rais akiwa Jakaya Kikwete. Hakuna chuki kwa Waisalamu na ndiyo maana hata wewe baba yako hakukamatwa na kuwekwa ndani kwa kuwa ni Muislamu safi.

Kwa akili yako ndogo ya kuzaliwa miaka ya 2000 huwezi elewa nini kilikuwa kimaendelea mapango ya Amboni Tanga na huko Kibiti, Mkuranga na Rufiji
Hivi kuna sababu gani yakuficha, kumbuka sisi ni binadamu si malaika.
 
Back
Top Bottom