Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Noted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndiyo kazi ya Serikali na vyombo vya dola. Huwezi kuita chombo cha dola halafu ukataka kiwe na reasoning kama ya madrassa. Hakuna kitu kama hicho duniani.Ndicho nachokueleza Kila mtu yanamkuta kwa aina yake, kipindi unasema hayo, wapo waliozingishiwa kuua wakakaa miaka 5 kama yule dogo wa Iringa, wapo wakina Mzee Kibao waliuouwawa wapo wakina Azory/Kaguye wote hao Kuna sababu wengine wakisema walishirikiana na Magaidi wa ikwilili. Kwahio Kila mtu asali kwa dini yake yasije yakamkuta.
Mimi nilitegemea Hawa Magaidi wahukumiwe kabisa miaka kibao, sasa kama wanakaa miaka 10 wanaachiwa kwa DPP kutokua na nia yakuendelea na kesi maana yake nini?. Hawa walitaka Zanzibar iwe nchi kamili ndio wakakutana na mkono wa chuma wote tunajua nini kilitokea. Hayo mengine unayoyasema ilikua watawala wenyewe Ili kwenye macho ya watu wapate sababu.
Masoko kibao yameungua lkn mpaka Leo hakuna aliyekamatwa, lakini wengi tunajua ni nn sababu yakuunguzwa masoko hayo. Kwahio kama ukiangushiwa mzigo huo raia wataamini hasa kama wajishughulisha na siasa. Mimi nachosema omba tu yasikukute au kumkuta ndugu yako.
Kitu gani kimefichwa?Hivi kuna sababu gani yakuficha, kumbuka sisi ni binadamu si malaika.
Ndio swali wengi twajiuliza,hakuna aliyeweza kulijibu hadi sasa,ni bla bla tu,!!!,, kwanini isisemwe walifanya 1,2,3Mimi nauliza wakuu kwa anayejua kwani waligaidi nini?? Haiwezekan mtu kukaa mahbusu hivi na hawakuwa na interest za kisiasa. Ugaidi wao walikua wanahusika vipi
Inasemekana wamerudishwa tena ndani kwa kupewa kesi nyengine hili likovipi?Shura ya Maimamu Tanzania
KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025
MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE.
MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za Ugaidi wameachiwa huru leo. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Kirekiano.
Kabla ya hukumu hiyo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP, aliambia Mahakama upande wa Jamhuri hauna haja ya kuendelea tena na shauri hilo.
Akitoa uamuzi huo mheshimiwa jaji amesema amekubali ombi hilo la Mwendesha Mashtaka wa serikali.
Kwa muda mrefu Shura ya Maimamu Tanzania imekua ikimuomba Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kulifuta shauri hilo kwa sababu za upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao.
Walioachiwa huru ni:
1. Ali Mohammed Ulatule (70).
2. Khamisi Mohammed Ulatule (61).
3. Nassoro Suleiman Ulatule (41),
4. Rajab Ali Mohammed Ulatule (34).
5. Na Ramadhani Khamisi Mohammed Ulatule (29).
Wengine ni:
6. Saidi Abdallah Chambeta.
7. Fadhili Shaabani Lukwembe.
8. Mnemo Qassim Mwatumbo.
9. Abdallah Bushiri kalukula.
10. Khamisi Ally Masamba.
11. Omari Abdallah Makota.
12. Na Mohammed Hassan Ungando.
Katika kundi la Masheikh walioachiwa leo, 5, ni wa familia moja ya Ulatule. Wao walikamatwa familia moja watu 16, na baada ya masiku kadhaa (ya kutofahamika walipo), hatimaye 7, walikutwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam baada ya kufikishwa Mahakamani na kusomewa shtaka la ugaidi.
Aidha wenzao 9, hawajulikani walipo mpaka leo. Kati ya 7, waliokua gerezani 2, Sheikh Suleima Mohammed Ulatule (99), na Sheikh Saidi Mohammed Ulatule (79), wamefariki dunia wakiwa gerezani.
Kufuatia kuachiwa kwa masheikh hao 12, idadi ya mahabusu wenzao waliobaki katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ni 39.
Shura ya Maimamu Tanzania inawashukuru wale wote wanaoshiriki ipasavyo harakati za kutetea haki za binadamu.
=======================
JamiiForums imewasiliana na Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda kuhusu maamuzi hayo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar, amesema
“Tunaendelea kuwasiliana na DPP kuhusu wale 39 waliosalia ndani, tumefanya hivyo kwa njia ya maandishi na hata Watuhumiwa wamekuwa wakiwasilisha maombi yao ya kutaka kesi ifutwe pia,
Ni mashauri ya muda mrefu n ahata hoja zinazotolewa hazina mashiko, zinakuwa nyepesi sana, mfano unakuta inaweza kupangwa mashahidi 70 watoe Ushahidi ndani ya wiki mbili lakini wanaotoa ushahidi unakuta ni wawili tu, hivyo inafanya kesi kwenda mwaka mzima bila kuwa na mwendelezo unaoeleweka.”
Mbowe ulipigania apewe fidia?Yaani kirahisi tu mtu anaachiwa bila hata fidia. Hii sheria huwa siielewi.
Soma nilichoandika, hoja yangu ni kutoelewa kama una ufahamu ulipaswa kunielewesha sio mabishano.Mbowe ulipigania apewe fidia?
Umeambiwa wameshinda kesi, ama basi tu wameachiwa?
Hakuna fidia.Soma nilichoandika, hoja yangu ni kutoelewa kama una ufahamu ulipaswa kunielewesha sio mabishano.
Wapinzani wa nini ?Wapinzani.
Mimi ni mhanga wa Police brutality mwaka 2014. Hivyo ninaelewa maumivu ya ndugu wa hao waislamuHiyo ndiyo kazi ya Serikali na vyombo vya dola. Huwezi kuita chombo cha dola halafu ukataka kiwe na reasoning kama ya mdrassa. Hakuna kitu kama hicho duniani.
Waliowafitini.Wapinzani wa nini ?
warudi wakafanye ugaidi tena!nchi ya ovyo sana hii!watu wanafanya ugaidi, wanaua watu wasio na hatia halafu mnawaachia huru kweli!!?????Shura ya Maimamu Tanzania
KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025
MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE.
MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za Ugaidi wameachiwa huru leo. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Kirekiano.
Kabla ya hukumu hiyo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP, aliambia Mahakama upande wa Jamhuri hauna haja ya kuendelea tena na shauri hilo.
Akitoa uamuzi huo mheshimiwa jaji amesema amekubali ombi hilo la Mwendesha Mashtaka wa serikali.
Kwa muda mrefu Shura ya Maimamu Tanzania imekua ikimuomba Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kulifuta shauri hilo kwa sababu za upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao.
Walioachiwa huru ni:
1. Ali Mohammed Ulatule (70).
2. Khamisi Mohammed Ulatule (61).
3. Nassoro Suleiman Ulatule (41),
4. Rajab Ali Mohammed Ulatule (34).
5. Na Ramadhani Khamisi Mohammed Ulatule (29).
Wengine ni:
6. Saidi Abdallah Chambeta.
7. Fadhili Shaabani Lukwembe.
8. Mnemo Qassim Mwatumbo.
9. Abdallah Bushiri kalukula.
10. Khamisi Ally Masamba.
11. Omari Abdallah Makota.
12. Na Mohammed Hassan Ungando.
Katika kundi la Masheikh walioachiwa leo, 5, ni wa familia moja ya Ulatule. Wao walikamatwa familia moja watu 16, na baada ya masiku kadhaa (ya kutofahamika walipo), hatimaye 7, walikutwa katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam baada ya kufikishwa Mahakamani na kusomewa shtaka la ugaidi.
Aidha wenzao 9, hawajulikani walipo mpaka leo. Kati ya 7, waliokua gerezani 2, Sheikh Suleima Mohammed Ulatule (99), na Sheikh Saidi Mohammed Ulatule (79), wamefariki dunia wakiwa gerezani.
Kufuatia kuachiwa kwa masheikh hao 12, idadi ya mahabusu wenzao waliobaki katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ni 39.
Shura ya Maimamu Tanzania inawashukuru wale wote wanaoshiriki ipasavyo harakati za kutetea haki za binadamu.
=======================
JamiiForums imewasiliana na Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda kuhusu maamuzi hayo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar, amesema
“Tunaendelea kuwasiliana na DPP kuhusu wale 39 waliosalia ndani, tumefanya hivyo kwa njia ya maandishi na hata Watuhumiwa wamekuwa wakiwasilisha maombi yao ya kutaka kesi ifutwe pia,
Ni mashauri ya muda mrefu n ahata hoja zinazotolewa hazina mashiko, zinakuwa nyepesi sana, mfano unakuta inaweza kupangwa mashahidi 70 watoe Ushahidi ndani ya wiki mbili lakini wanaotoa ushahidi unakuta ni wawili tu, hivyo inafanya kesi kwenda mwaka mzima bila kuwa na mwendelezo unaoeleweka.”
Sasa mbona hawajuhukumiwa kwa muda wote huo?mkuu usitetee bila ushahid , kuna member kasema walikuwa tishio huko kwao kivule ccmu , na walikuwa wanaogopek sana
Ungekuwa Na Akili ilitakiwa Umuulize Aliyewaachia.Unauhakika wameonewa?au unajisemesha kwa sababu ni wafunga ndevu wenzio.
Hayo ni magaidi yamaua na kuumiza wengi,
Dhulma Dhulma DhulmaKuna watuhumiwa wawili wamekufa wakiwa Gerezani na kesi iliyowahusu umefutwa, Je serikali inawajibika vipi kwa hili?