Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa wewe unaswali kwa kupigiza uso sakafuni huku matako umeweka juu ndiyo unadhani una akili kuliko mtu wa kanisa?? Acha dharau, hakuna unachojuwa
Kwa Aina Hiyo Hiyo Yesu Alikuwa Anaswali Kwa Hiyo Mimi Na Yesu Hatuna Akili sawa?
 
..hivi ugaidi unaweza kupangwa na familia nzima, mpaka wanawake?
Mkuu nakuheshimu sana kwenye michango yako wewe ni mtu makini mno ila amini nakuambia hilo jambo unalojiuliza ni la kawaida mno kwa hawa waislamu....mimi kwetu ni mikindani upande wa mama na wote ni waislamu hadi mama yangu tena wale wa misimamo mikali...angalia kinachotokea zanzibar kwanza je ushamuona sheikh yeyote analikemea hilo?
 
Mbona wewe bwege hauko kati ya hao 12?? Ni kwa kuwa wewe in Muoslamu safi lakini bwege.

Hivi umesau mara hii kuchomwa makanisa Zanzibar, kuuliwa mapadri Zanzibar, kuchomwa makanisa Mbagala??

Umesahau vifo vya mapolisi Mkuranga, Kibiti na Rufiji??

Umesahau wale wahuni wa mapango ya Amboni Tanga.

Serikali HAIWEZI KUMUONEA Mtanzania na kumkamata bila sababu.
Kama Akili Yako hivyo ndivyo inavyowaza Unasafari ndefu Sana Hapa Duniani.
Kila La Kheri.
 
Hizi power za DPP kuamua kumpeleka Mtu Mahakamani na Kisha kuamua tena kutoendelea na shitaka wakati Mtu Huyo kasota rumande miaka kibao, linapaswa kuangaliwa upya.

Hii mamlaka ya DPP Haina tofauti na kumpa Mtu mmoja madaraka ya kukamata, kuhukumu, na kuachia mtuhumiwa.

Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
REFORM ni muhimu sana
 
Mkuu nakuheshimu sana kwenye michango yako wewe ni mtu makini mno ila amini nakuambia hilo jambo unalojiuliza ni la kawaida mno kwa hawa waislamu....mimi kwetu ni mikindani upande wa mama na wote ni waislamu hadi mama yangu tena wale wa misimamo mikali...angalia kinachotokea zanzibar kwanza je ushamuona sheikh yeyote analikemea hilo?

..wangefikishwa mahakamani na kama kuna ubaya walioupanga ukawekwa wazi tungekuwa ktk nafasi nzuri ya kujua tatizo ni nini.

..pia tujiulize misimamo mikali inatokana na nini? Serikali inakuwa wapi mpaka wananchi wake wanashawishiwa na kuungana na misimamo mikali?
 
Hakuna fidia.
Wameshitakiwa kwa ugaidi, serikali imesema haina nia ya kuendelea na kesi, hivyo kesi haijasikilizwa, haimaanishi hao si magaidi ila tu hawana nia, so hawawezi kushitaki maana so far ni watuhumiwa na wanaweza rudishwa ndani kesi ikaanza upya.
Samahani lugha ya awali ilikuwa kali kidogo.
Hapo kwenye kutokuwa na nia yakuendelea na kesi ndio kuna utata. Naomba unieleweshe ni vigezo gani vinatumika kufanya maamuzi ya kutoa nia.

Maana naona kama mtu yeyote hayupo salama wakitaka wanakupa kesi unateswa rumande afu unaachiwa kwa kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi.
 
Waambie basi warudie ule ujinga wao kama mimi nadanganya
Thubutuuu walichofanyws kule jela hawana hamu, unakumbuka yule mmoja alikua anaweka mihadhara alafu anajisifu polisi au chombo chochote cha usalama hawana ubavu wa kumgusa
Na wakimsogelea tu atamnywa mtu damu mbichi🤣🤣
 
..naamini sio sahihi kumuweka mtu mahabusu kwa miaka 10 na baada ya hapo kumuachia bila maelezo, wala fidia.

..pia watu kupotea wakiwa katika mikono ya vyombo vya dola sio sahihi. Hakuna sheria yoyote inayoruhusu jambo la namna hiyo.

..Mtanzania yeyote akikamatwa anapaswa kufikishwa mahakamani na kuhukumiwa. Na hakuna shitaki ambalo mtu hawezi kufikishwa nalo mahakamani.

..katika nchi yetu tuna historia ya kesi kama nne au tatu za uhaini. Kesi hizo ziliendeshwa mahakamani kwa uwazi na hukumu zilitolewa.
Kesi gani hizo
 
Hapo kwenye kutokuwa na nia yakuendelea na kesi ndio kuna utata. Naomba unieleweshe ni vigezo gani vinatumika kufanya maamuzi ya kutoa nia.

Maana naona kama mtu yeyote hayupo salama wakitaka wanakupa kesi unateswa rumande afu unaachiwa kwa kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi.
Angalia taarifa ya habari ya Shura ya Imamu, umenielewa sasa!
 
Uliyemuona yule Anaitwa Decon ndio maana Hana sigida ila wa kwenye Bible sigida hakosi Kwa sababu Alikuwa anasujudu.
Wa kwenye bible yuko ukurasa gani? Nyie wapumbavu msimfananishe Issa Bun Mariam wa kwenye Quran na Yesu Kristu wa kwenye Biblia.

Ni watu wawili tofauti. MSILAZIMISHE bakini na Issa wenu wa satanic verses
 
Wa kwenye bible yuko ukurasa gani? Nyie wapumbavu msimfananishe Issa Bun Mariam wa kwenye Quran na Yesu Kristu wa kwenye Biblia.

Ni watu wawili tofauti. MSILAZIMISHE bakini na Issa wenu wa satanic verses
MATHAYO 26-36
 
Back
Top Bottom