Kwa Aina Hiyo Hiyo Yesu Alikuwa Anaswali Kwa Hiyo Mimi Na Yesu Hatuna Akili sawa?Sasa wewe unaswali kwa kupigiza uso sakafuni huku matako umeweka juu ndiyo unadhani una akili kuliko mtu wa kanisa?? Acha dharau, hakuna unachojuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Aina Hiyo Hiyo Yesu Alikuwa Anaswali Kwa Hiyo Mimi Na Yesu Hatuna Akili sawa?Sasa wewe unaswali kwa kupigiza uso sakafuni huku matako umeweka juu ndiyo unadhani una akili kuliko mtu wa kanisa?? Acha dharau, hakuna unachojuwa
Mkuu nakuheshimu sana kwenye michango yako wewe ni mtu makini mno ila amini nakuambia hilo jambo unalojiuliza ni la kawaida mno kwa hawa waislamu....mimi kwetu ni mikindani upande wa mama na wote ni waislamu hadi mama yangu tena wale wa misimamo mikali...angalia kinachotokea zanzibar kwanza je ushamuona sheikh yeyote analikemea hilo?..hivi ugaidi unaweza kupangwa na familia nzima, mpaka wanawake?
Kama Akili Yako hivyo ndivyo inavyowaza Unasafari ndefu Sana Hapa Duniani.Mbona wewe bwege hauko kati ya hao 12?? Ni kwa kuwa wewe in Muoslamu safi lakini bwege.
Hivi umesau mara hii kuchomwa makanisa Zanzibar, kuuliwa mapadri Zanzibar, kuchomwa makanisa Mbagala??
Umesahau vifo vya mapolisi Mkuranga, Kibiti na Rufiji??
Umesahau wale wahuni wa mapango ya Amboni Tanga.
Serikali HAIWEZI KUMUONEA Mtanzania na kumkamata bila sababu.
Familia ngapi zinakuwa na upinzani mbona hawashikwi?Wapinzani.
Kwa hiyo Mbowe Nae Ni Gaidi?wale ni magaidi, wameachiwa wakatuliea waachane na harakati za kidini kuhatarisha amani na usalama wa raia
Jambo dogo hilo Ukiona povu chukua Nguo Anza Kufua.kuna chuki gani hapo, acha kutoa povu
REFORM ni muhimu sanaHizi power za DPP kuamua kumpeleka Mtu Mahakamani na Kisha kuamua tena kutoendelea na shitaka wakati Mtu Huyo kasota rumande miaka kibao, linapaswa kuangaliwa upya.
Hii mamlaka ya DPP Haina tofauti na kumpa Mtu mmoja madaraka ya kukamata, kuhukumu, na kuachia mtuhumiwa.
Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
Mkuu nakuheshimu sana kwenye michango yako wewe ni mtu makini mno ila amini nakuambia hilo jambo unalojiuliza ni la kawaida mno kwa hawa waislamu....mimi kwetu ni mikindani upande wa mama na wote ni waislamu hadi mama yangu tena wale wa misimamo mikali...angalia kinachotokea zanzibar kwanza je ushamuona sheikh yeyote analikemea hilo?
Hapo kwenye kutokuwa na nia yakuendelea na kesi ndio kuna utata. Naomba unieleweshe ni vigezo gani vinatumika kufanya maamuzi ya kutoa nia.Hakuna fidia.
Wameshitakiwa kwa ugaidi, serikali imesema haina nia ya kuendelea na kesi, hivyo kesi haijasikilizwa, haimaanishi hao si magaidi ila tu hawana nia, so hawawezi kushitaki maana so far ni watuhumiwa na wanaweza rudishwa ndani kesi ikaanza upya.
Samahani lugha ya awali ilikuwa kali kidogo.
Kwanini ufuge ndevu na kuvaa suruali fupi kisha ujifunze karate m....tn..😂🤣😂😂🤣😂Pia kuna wajinga wenye dhamana, wakiona tu mtu anandevu wanajua ni gaidi, ujinga wa hali ya juu.
Una matatizo ndiyo maana ukaingia kwenye mfumo wa PolisiMimi ni mhanga wa Police brutality mwaka 2014. Hivyo ninaelewa maumivu ya ndugu wa hao waislamu
Mbona hakuwa na sigida kama nyinyi??Kwa Aina Hiyo Hiyo Yesu Alikuwa Anaswali Kwa Hiyo Mimi Na Yesu Hatuna Akili sawa?
Waambie basi warudie ule ujinga wao kama mimi nadanganyaKama Akili Yako hivyo ndivyo inavyowaza Unasafari ndefu Sana Hapa Duniani.
Kila La Kheri.
Thubutuuu walichofanyws kule jela hawana hamu, unakumbuka yule mmoja alikua anaweka mihadhara alafu anajisifu polisi au chombo chochote cha usalama hawana ubavu wa kumgusaWaambie basi warudie ule ujinga wao kama mimi nadanganya
Sasa si ndio uhukumiwe sasa kama una hatia na sio kukaa mahabusu miaka 10Jinai ni pana sana,unaweza jikuta bila tarajia umeingia kwenye kesi ya jinai bila kujijua au kwa kujua pia!!
Uliyemuona yule Anaitwa Decon ndio maana Hana sigida ila wa kwenye Bible sigida hakosi Kwa sababu Alikuwa anasujudu.Mbona hakuwa na sigida kama nyinyi??
Kesi gani hizo..naamini sio sahihi kumuweka mtu mahabusu kwa miaka 10 na baada ya hapo kumuachia bila maelezo, wala fidia.
..pia watu kupotea wakiwa katika mikono ya vyombo vya dola sio sahihi. Hakuna sheria yoyote inayoruhusu jambo la namna hiyo.
..Mtanzania yeyote akikamatwa anapaswa kufikishwa mahakamani na kuhukumiwa. Na hakuna shitaki ambalo mtu hawezi kufikishwa nalo mahakamani.
..katika nchi yetu tuna historia ya kesi kama nne au tatu za uhaini. Kesi hizo ziliendeshwa mahakamani kwa uwazi na hukumu zilitolewa.
Angalia taarifa ya habari ya Shura ya Imamu, umenielewa sasa!Hapo kwenye kutokuwa na nia yakuendelea na kesi ndio kuna utata. Naomba unieleweshe ni vigezo gani vinatumika kufanya maamuzi ya kutoa nia.
Maana naona kama mtu yeyote hayupo salama wakitaka wanakupa kesi unateswa rumande afu unaachiwa kwa kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi.
Wa kwenye bible yuko ukurasa gani? Nyie wapumbavu msimfananishe Issa Bun Mariam wa kwenye Quran na Yesu Kristu wa kwenye Biblia.Uliyemuona yule Anaitwa Decon ndio maana Hana sigida ila wa kwenye Bible sigida hakosi Kwa sababu Alikuwa anasujudu.
MATHAYO 26-36Wa kwenye bible yuko ukurasa gani? Nyie wapumbavu msimfananishe Issa Bun Mariam wa kwenye Quran na Yesu Kristu wa kwenye Biblia.
Ni watu wawili tofauti. MSILAZIMISHE bakini na Issa wenu wa satanic verses