X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Hawa mashehe wanavyolindwa wakiwa wanaletwa hapo mahakamani unaweza sema ni alqaida
ivi ulikuwepo na wewe pale central leo jioni...yani nikadhani kuna uvamizi umejitokeza...ilikuwa kama muvi ya Rambo aisee kumbe ni hawa masheikh ndio walikuwa wanatolewa ili warudishe gerezani....
jamani ivi ni kweli ni magaidi😭😭😭
kwa kile nilichokiona leo haki vile niliogopa sana...
jamani ivi ni kweli ni magaidi😭😭😭
kwa kile nilichokiona leo haki vile niliogopa sana...