MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Waliowakamata wana sababu zao, waachwe wafanye kazi zao, mbona masheikh wengine hawakamatwi huko nje iwe hao tu, kwanza rais wa nchi ni Muislamu, waziri Mkuu Muislamu, una uhakika hao wakuu wangeacha masheikh wasiokua na hatia wakamatwe bure.
Tatizo mkianza kulishana pumba n mizuka ya kidini huwa mnaweka ubongo chini.
Tatizo mkianza kulishana pumba n mizuka ya kidini huwa mnaweka ubongo chini.