Si kama panya nyie mnang'ata na kupulizaNadhani akili yako haiko sawa,wlioachiwa huru waliachiwa na mfumo islam au budha?
Mbona waliwaachia Sasa kama walikuwa na hatiaUnauhakika hawana hatia,tukikuita mahakamani unaweza kutoa ushahidi beyond doubt kuwa hawana hatia?
Samia Mkristo?Mfumo kristo
Siasa tu.Nakwanini wamakamatwa tena?kama hawana hatia?
Ni ujinga tu......Inferiorty complex
SheheShehe na fisad nani mwenye madhara kwa nchi
Kivipi na Hana silahaShehe