Tupunguzeni kula, sio majini ni pressure tu inatumaliza

Tupunguzeni kula, sio majini ni pressure tu inatumaliza

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.

Magonjwa haya ya chakula yanawaandama masheikh wetu sana kiasi cha kusingiziana kurogana na kutupiana majini hasa pale inapotokea masheikh kupata kiharusi, kuanguka chooni na vifo vya ghafla bin pu.

Magonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi, wanga mwingi na sukari nyingi kwa masheikh. Vyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.

Masheikh kuleni na kunywa kwa kiasi kisha mfanye mazoezi. Kataeni nyama nyingi kupita kiasi. Sio majini na uchawi na kula sana
 
Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.

Magonjwa haya ya chakula yanawaandama masheikh wetu sana kiasi cha kusingiziana kurogana na kutupiana majini hasa pale inapotokea masheikh kupata kiharusi, kuanguka chooni na vifo vya ghafla bin pu.

Magonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi, wanga mwingi na sukari nyingi kwa masheikh. Vyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.

Masheikh kuleni na kunywa kwa kiasi kisha mfanye mazoezi. Kataeni nyama nyingi kupita kiasi. Sio majini na uchawi na kula sana
Una statistics au ni hisia?
 
Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.

Magonjwa haya ya chakula yanawaandama masheikh wetu sana kiasi cha kusingiziana kurogana na kutupiana majini hasa pale inapotokea masheikh kupata kiharusi, kuanguka chooni na vifo vya ghafla bin pu.

Magonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi, wanga mwingi na sukari nyingi kwa masheikh. Vyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.

Masheikh kuleni na kunywa kwa kiasi kisha mfanye mazoezi. Kataeni nyama nyingi kupita kiasi. Sio majini na uchawi na kula sana
Ushauri mzuri ,wapunguze kula cha mtume.
 
Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.

Magonjwa haya ya chakula yanawaandama masheikh wetu sana kiasi cha kusingiziana kurogana na kutupiana majini hasa pale inapotokea masheikh kupata kiharusi, kuanguka chooni na vifo vya ghafla bin pu.

Magonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi, wanga mwingi na sukari nyingi kwa masheikh. Vyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.

Masheikh kuleni na kunywa kwa kiasi kisha mfanye mazoezi. Kataeni nyama nyingi kupita kiasi. Sio majini na uchawi na kula sanaMh
 
Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.

Magonjwa haya ya chakula yanawaandama masheikh wetu sana kiasi cha kusingiziana kurogana na kutupiana majini hasa pale inapotokea masheikh kupata kiharusi, kuanguka chooni na vifo vya ghafla bin pu.

Magonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi, wanga mwingi na sukari nyingi kwa masheikh. Vyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.

Masheikh kuleni na kunywa kwa kiasi kisha mfanye mazoezi. Kataeni nyama nyingi kupita kiasi. Sio majini na uchawi na kula sana
Pia wajitahidi baada ya kula wawe wanakunywa wine glass moja itawasaidia digestion na kuimarisha afya.
 
Tupe takwimu za masheikh waliofariki mwaka mmoja uliopita. Tuone kama Kuna correlation kati ya vifo vyao na unachoongea!

Masheikh kama binadamu wanaugua na kufa Kam watu wengine! Pope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi?
 
Binadamu bhana mara kuleni mara msile, mtupumzishe wakuu.
 
Tupe takwimu za masheikh waliofariki mwaka mmoja uliopita. Tuone kama Kuna correlation kati ya vifo vyao na unachoongea!

Masheikh kama binadamu wanaugua na kufa Kam watu wengine! Pope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi?
Yule umri tayari
 
Back
Top Bottom