kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Ana umri gani? Yeye anaugua homa ya mapafu na sio pressure. Hata hivyo hata wale wanaokula kitimoto sana wako hatarini pia maradufu.
Tupe takwimu za masheikh waliofariki mwaka mmoja uliopita. Tuone kama Kuna correlation kati ya vifo vyao na unachoongea!
Masheikh kama binadamu wanaugua na kufa Kam watu wengine! Pope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi?