Masheikh wa uamsho ukweli ukoje?

Sasa kwani tuna Mahakama ya Ugaidi Tanzania?

Imeshajengwa mahakama ya Ufisadi, tusubiri mahakama ya Ugaidi
 
Watu wapi ambao serikali imewaonea kwa kuwabambikia kesi ili tupendekeze waachiwe???
 
Wamuulize hayati Aboud Jumbe kuhusu muungano, rais lakini alifichwa kusikojulikana hadi uzee ulipomkuta, sasa wao ni nani watenganishe watu waliochanganya damu?
 
Unajua kitu kinachoitwa "infiltration" au kutumia "agents provocateurs" . Ni kitendo cha kuchomeka wahuni kwenye legitimate movement ili kudiscredit movement hiyo.
Jiulize, Je ni masheikh ndiyo walioshusha hizo bendera?
Na je makosa hayo ndo ya kuweka watu ndani miaka nane?
Je makosa ya kushusha bendera za vyama hayana dhamana?
Mbona wamekamatwa masheih tupu na siyo raia wa kawaida ambao supposedly ndiyo waliokuwa front kushusha hizo bendera kama kweli hayo matendo yalifanyika?

Kosa la Masheikh wa uamsho ni kuwaamsha Wazanzibar waukatae Muungano kwa sababu waliona hauna maslahi na Wazanzibar!. Sasa kuukataa Muungano kama ni kosa basi liwekwe kwenye hati ya mashitaka ijulikane moja lakini siyo kuwaonea hao Masheikh
 
Duuh,hii sasa ndo mpya mkuu

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Unajua nini, uamsho kama uamsho hawakuwa na nia ovu na walikuwa na lengo zuri tu la kuwatoa tongo wazanzibari...ila shida ilikuja baadae baada ya wafuasi wao kuanza hizo fujo, japo hakuna shehe hata mmoja aliyewahi kuwaambia/kuwatamkia wafuasi wao wafanye fujo. Lakini pia fujo zilipoanza kutokea hawakuwakemea wafuasi wao... Na hapa ndipo walipojichongea maana ilifikia hatua baadhi ya wafuasi wao wasiojielewa wakaanza kuchoma moto maskani za ccm na kuziba barabara kwa kuweka vigogo, mapira ya moto n.k
 
Hivi ukijilipua bomu na kuua halaiki unapata thawabu gn?
 
Kwan ni wapi walisema walishikwa kwa kutumia sababu za kidini.....?!
 
Pombe zinakupeleka pabaya sana...
 
Uamsho walikuwa wanapigania muungano wasanzibar wajitawale wenyewe niliwahi kuona video Za mikutano yao wakiongozwa na sheikh mselem ally pamoja na sheikh farid..wasanzibar walikusanyika kwa wingi kuwasikiliza.
 
Yani wewe ndo kabisa mbaguzi aisee,na ni mdini kweli kweli.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Na waozeeee hukohuko
 
Hivi Kati ua watu wa Tanganyika na Zanzibar watu wa aina gan ndio wananufaika na muungano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…