Masheikh wa uamsho ukweli ukoje?

Masheikh wa uamsho ukweli ukoje?

Kipindi polisi anavamiwa akiwa anarudi home na kundi la vijana wa uhamsho ulikuwepo unguja!!wakamchinja mchana kweupe, je uhamsho walipotaka kuvamia maskani pale kisonge na kutaka kuichoma moto je! !!nakumbuka raia ndio walisema haya mambo hayawezikani wakaanza kwa umoja wao kuwarushia mawe hadi uhamsho wakarudishwa nyuma na kupolisi kuwahi kufika hapo ndio songo mbingo ilipoanza
Hunijui ndio maana unaniuliza haya maswali ambayo nimechagua kuto kuyajibu.

Mark my words, iwe miaka 1000 basi uamsho watatoka gerezani na atarudi kuishi na familia zao.

Historia inaonyesha hivyo. Tangu enzi za mitume, baada ya kipindi cha mitume na hata juzi juzi tu wakati wa kina Mandela.

Besides, ni sisi tu ndio tunajipa pressure lakini waliopata wasaa wa kuwatembelea uamsho gerezani wakiamua watatueleza namna ambavyo wametulia nafsi zao wakiacha kadari ya Allah ichukue nafasi yake.

Uamsho ni aina ya watu ambao wameelewa haswa maana ya Qadar na wapo wanamtumikia mola wao popote walipo. Wakijua fika kwamba ukiishi sana basi ni miaka 60-70 halafu unatembea. Wako wapi wafalme na maraisi waliokuwa wababe wakiogopewa Leo hii?? Futi sita ndani ya tumbo la ardhi.

Walikuwepo waliokuwa wanakaa ikulu na kulindwa na mabunduki kina Magufuli na Kijazi, wawapi Leo?? Kwahiyo Uamsho wapo, fikra zao zitaishi katika mioyo ya Wazanzibari daima dumu.

Kila la kheri mkuu na karibu tena Mtendeni uje ununue TV upeleke kwenu Kimbiji.
 
Mkuu najua watoka kwa idhini ya Allah akitaka bimana kukaa jela wao sio wa mwanzo wala wa mwisho, wapo wakina abuu ismail huko, sipendi niseme mengi kuhusu hayo mambo ninayajua A to Z, nilichochangia mie mtoa mada alitaka kujua baadhi ya vitu kuhusu uhamsho nami kwa kuwa wakati ule nilikuwa kule na nilipata kufika kwenye maadhi ya miadhara yao basi nimeandika nilichokiona ama kukijua kuhusu hali ilivyokuwa wakati ule.
Hunijui ndio maana unaniuliza haya maswali ambayo nimechagua kuto kuyajibu.

Mark my words, iwe miaka 1000 basi uamsho watatoka gerezani na atarudi kuishi na familia zao.

Historia inaonyesha hivyo. Tangu enzi za mitume, baada ya kipindi cha mitume na hata juzi juzi tu wakati wa kina Mandela.

Besides, ni sisi tu ndio tunajipa pressure lakini waliopata wasaa wa kuwatembelea uamsho gerezani wakiamua watatueleza namna ambavyo wametulia nafsi zao wakiacha kadari ya Allah ichukue nafasi yake.

Uamsho ni aina ya watu ambao wameelewa haswa maana ya Qadar na wapo wanamtumikia mola wao popote walipo. Wakijua fika kwamba ukiishi sana basi ni miaka 60-70 halafu unatembea. Wako wapi wafalme na maraisi waliokuwa wababe wakiogopewa Leo hii?? Futi sita ndani ya tumbo la ardhi.

Walikuwepo waliokuwa wanakaa ikulu na kulindwa na mabunduki kina Magufuli na Kijazi, wawapi Leo?? Kwahiyo Uamsho wapo, fikra zao zitaishi katika mioyo ya Wazanzibari daima dumu.

Kila la kheri mkuu na karibu tena Mtendeni uje ununue TV upeleke kwenu Kimbiji.
 
Kwanza kabisa hawa Masheikh wakati wanakamatwa Marais walikuwa ni Kikwete Muislam na Dkt. Shein muislam. Sasa hadi leo Marais ni Samia muislam na Dkt Hussein Mwinyi Muislam.

Lakini kila siku tunasikia hawa Masheikh 'wanaonewa' Kwa kukaa rumande miaka mingi bila kesi yao kupelekwa mahakamani.

Kuna mtu mwenye 'ukweli halisi' Atusaidie? Nini hasa kinaendelea?
Hao ni magaidi kwahiyo kule wamepumzishwa. Ndio maana africa nchi yenye waislamu iliyotulia bila magaidi ni almost Tanzania ukiangalia hapo chini tuu msumbiji wapo, Nigeria , Kenya , Somali. Rais Samia akikurupuka kwenye hili atatuletea ugaidi nchin. Ndio maana Kikwete na uislamu wake aliliona hili, pia Rais shein na uislamu wake aliliona hili. Hakuna Rais anapenda kuendesha nchi yenye ugaidi kwasababu hata yeye huwa anawindwa.
 
Uhuru kamili ndio wachome makanisa, kuua na kumwagia tindikali viongozi wadini?. Hako ka kikundi ni al-shabab ndogo.
hujui chochote wewe binti, yawezekana mashekhe walivyo kuwa wanakamatwa ulikua hata huja vunja ungo.
 
Kuwa kiongozi wa dini haimaanishi uko juu ya sheria na kwamba ujifanyie mambo km unavyojisikia. Hawa watu wachache wanaotumia dini kugawa watu lazima wabanwe kwa masilahi mapana ya nchi.

Tukijenga tabia ya kutetea watu wa aina hii tutaligawa Taifa. Dini ni yako wewe si dini ya nchi.Km ni mbinguni utaenda wewe nchi itabaki kwann ulazimishe watu?
una mawazo ya ki ngese. na maaskofu wanao zungumza habari ya siasa wanafanya makosa? huwezi tenganisha siasa na dini
 
Znz imeingiliana sana na nchi za kiislamu, usidhani wataiacha hivi hivi bila kuisapoti, naamini itapewa sapoti kubwa na nchi hizo za kiidlamu, na uchumi utakua haraka. Nyie si mnawakandamiza, na hampendi kuona wakiendelea.


Refer; yule mchungaji aliwaacha watu wake wakiangamia huko moshi kwa mafuta ya upako, nae akasepa kurudi dar akiwaacha watu wake wanakufa. Je! Walimkamata na kumsweka ndani!

Viongozi waislamu wamelala mkuu, ingerikua ndio mapadre wamefanya hivyo unadhani wangeswekwa ndani au wangekaa muda wote huo gerezani! Pamoja na uchache wa wakristo nchini lakini wangeweza kupambana adi mwisho na mapadri wangeachwa huru.
Waache kumsaidia ndugu yao Yemen mwenye matatizo kibao waje wakusaidie wewe Mbonde kutoka huku dunia ya tatu.

Ktk dunia hii ya leo hamna taifa lililo endelea kwa kusaidiwa na kubebwa na taifa lingine,kila taifa lina changamoto zake.China wale maendeleo wame yapata kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma.
 
Sababu:
1. Walitaka kuvunja muungano ndio maana ya uamsho.
2. Zanzibar iwe na utawala wa sharia badala ya sheria ( mtu akiiba akatwe mkono)
3. Kuchochea vurugu
4. Inasemekana kati ya hao masheikhe kuna vibaraka wa waarabu na wangefanikisha tu issue ya kuvunjaa muungano basi wanarudi kuchukua kisiwa chao.
Mambo ni mengi na kesi yao ni ngumu sana ila kwenye media huku watu wanatetea vitu wasivyovijua
Watu wengi sisi wa chini hatujui nini kinaendelea ndani ya mataifa ya kiarabu katika kueneza sera zao juu ya usimikaji wa dola la kiislamu, muda mwingine mataifa ya magharibu nayo yanapitia kwenye udhaifu huu katika kuyaadhibu baadhi ya mataifa ya kiarabu kwa ajili ya masirahi yao binafsi. Ila ki ukweli kwa kuendelea kuwaachia tunajitengenezea mazingira mabaya na magumu ya kuishi kwa siku za mbeleni. Hawa jamaa wanatumia fedha, akili pamoja na nguvu kubwa sana katika kuhakikisha wanalitimiza hili. Mfano mdogo ni kwa yale yanayotokea Msumbiji pamoja na yaliyoanza kutokea Kibiti na Tanga. Tukiendelea kuyafumbia macho mambo haya tutakuja kuipoteza Tanzania yetu. member mmoja anatetea kwa kusema kuwa wao wanatetea uhuru wa Zanzibar, kiuhalisia muungano uliopo sasa unawafeva sana wenzetu wa kisiwani kuliko wa Bara ivyo ni bora vuguvugu ilo lingeanzia Bara kuliko visiwani.
 
Acheni serikali ifanye kazi, nchi kwa sasa imetulia, hatuwezi kuruhusu nchi kugeuka kuwa kama Somalia, mara mapango ya amboni Tanga, mara padri kapigwa risasi Zanzibar, mara kuvamia vituo vya polisi. Hii nchi mtu akishindwa kuishi kwa amani kuna njia za kumlazimisha kufanya hivyo.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Bendera yetu haina rangi nyekundu lakini tungali na chama cha mapinduzi, na haya mapinduzi ndiyo tatizo lenyewe, kuna watu walitolewa uhai na hata kiongozi muasisi naye alitolewa uhai, kuna wakati wapemba walitaka kujitenga na Tanzania hivyo basi hisoria ya Zanzibar inaonyesha jinsi gani wanaweza kuwa hatari ikiwa maslahi yao hayatazingatiwa, serikali iangaliye kwa busara kubwa na hekima ya hali ya juu katika kuwaunganisha wanzibari katika umoja na mshikamano ikiwa kinyume cha hivyo Zanzibar hakutakuwa na amani.
Hakuna shaka mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi ameanza vizuri kwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ambayo ipo kikatiba wakae chini na kutatua matatizo yao ya kiusalama, kiuchumi na kimaendeleo.
 
Ugaidi upi walio ufanya na wapi walifanya?

Mkuu, wafuata mkumbo ni wengi humu, mtu anasema wale ni magaidi ukimuomba ushaidi anapotea mazima 😁

Mama samia wala asipoteze muda wake kuingia na kufuatilia hii page, atakutana na chuki na ubaguzi kama kawaida.


Mungu asaidie waachiwe huru
 
Inamaana unaona Tanzania Bara inafaidi sana kwa hiyo misaada kiasi kwamba unataka kuvunja muungano ili na nyinyi mfaidi hiyo misaada?..hebu niambie tangu Tanzania ianze kupata hiyo misaada nini cha maana sana cha kujivunia kutokana na hiyo misaada?


Msaada pekee hauwezi kuwafanya wavunje muungano bwana, bali kuna mambo makubwa zaidi ya hilo, wewe ulioko tandale sijui gongolamboto huwezi kujua chochote.
 
Nadhani watu wengi hawawatetei ila wanataka sheria ifuatwe. Wahstakiwe wakikutwa hawana hatia waachiwe, wakikutwa na hatia hata ikibidi wanyongwe, poa tu... ili mradi sheria ifuate mkondo wake.

Kwamba wanataka sheria ifuatwe!!! Wakati huo huo wanawatuhumu ni magaidi wakati ushaidi wenyewe haupo!!! Sasa kama hawa ndugu zako wa jamiiforum n.k wanataka sheria ifuatwe waache basi kuropoka na kuwaita awa mashehe magaidi. Miaka saba/Nane sasa kesi haisikilizwi ili ionekane kama kweli wana hatia ama laa. Waambie ndugu zako waache kuongea wasivyovijua.
 
Haijalishi sheria inavunjwa au haivunjwi hao waozee huko

Hoja hujibiwa kwa hoja na sio kukurupuka na kukaririshwa uongo, ndio maana profesa mazinge anasilimisha wengi sana wakiwemo na wachungaji n.k.
 
Hivi ukijilipua bomu na kuua halaiki unapata thawabu gn?
Ulimuona nani kwa Hapo Zanzibar aliejilipua? Kama suala ni hilo mbona huseme Iriland ambao ni wakristo watupu wanaojilipua na kuua raia wasio na hatia wakidai Uhuru kutoka kwa Waingereza? Au wakiuwa waislamu tu ndio huwa ni Ugaidi, lakini kwa wakristo ni vita ya kudai Uhuru?
Ndio maana kwenye Vita ya kupiagania Uhuru ya Maji Maji wakristo hawakuwaunga mkono waislamu kwani wao walikuwa ni sehemu ya Dhulma ya Wakoloni
 
Ila Wewe unaota ndogo za abunuwasi. Amini nikuambiayo, Upo kwenye fantasy.

HAKUNA WA KUVUNJA MUUNGANO Mark my words. Hayo maneno yako yameanza Tangu hujazaliwa na utaondoka ukiuacha muungano unaendelea.

Tatizo unaishi kwenye Fantasy.
Mimi niko kwenye Fantasy kweli. Lakini nikuulize Suala, uko Muungano duniani uliokuwa ukilndwa kwa nguvu zote kama USSR? Unajua ulianguka vipi na kwa siku ngapi? Mimi najua hiyo siku ya mapinduzi wenyewe nilikuwa Moscow - Karibu na Kremlin. Jioni aliondoka kwenda kupunzika kwa likizo akiwa ni most Powerfull President of the world, asubuhi amerudi hata Ofisi hana, iliokuwa ofisi ya USSR ikawa ni Ofisi ya Russian Fedaration. Jee ni lipi ambalo Mwenyezi Mungu linamshinda?
 
Ipo hv mkuu, uzuri nilikuwepo Unguja kipindi sakasaka hili linatokea, masheikh wa miadhara (uhamsho) wao walikuwa na ajenda yao kubwa ya kuamsha wazanzibar waliolala juu ya swala zima la nchi yao, wao kipindi wapo walikua wanawakumbusha wazanzibar kuwa si ccm wala chadema wala CUF itakayowakomboa kutoka kwenye maisha ya dhiki bali ni kufata mwenendo wa quraan na sunna za mtume.

Hawa masheikh hawakuvutiwa na CUF wala chadema wao walikuwa na sera yao kuwa demokrasia ni ukafiri ndio maana kila walipokuta bendera ya CUF au CCM wao walikua wakizishusha na kupandisha zao ambazo zina rangi nyeupe tupu na maandishi meupe kati yaliyosomeka kwa kiarabu hakuna mola anaepaswa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah na muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu, wao wao walikuwa wanaamini kuwa kwa umoja wao basi walikua na uwezo wa kuiforce serikali ya CCM kutoka madarakani na wao kuchukua mamlaka kamili, nakumbuka wakati huo mambo mengi yalijitokeza wanawake waliovaaa nusu uchi walipigwa fimbo sn mitaani na vijana wafuasi wa uhamsho, walipinga sana siasa ndani ya Zanzibar maana wao hawakuwa na chama, wakawa wanadamana kudai mamlaka kamili ndiipo serikali iliposhtuka na kuona hawa watu wakiachiwa mambo yataharibika Muda si mrefu ndio ikabidi wakamatwe.

Na ndio wakati huo huo viongozi baadhi wa makundi ya kijihad waliwakebehi uhamsho kwa style yao ya kutaka utawala utolewe na kuuita style za kizamni bimana kwenye uislam hakuna maandamano , hivyo walitakiwa washike silaha na kuutoa udhalimu. Note sina uhakika sn inavyosemekana kukamaktwa kwa wale watu agizo lilitoka marekani na kusema hao watu ni htr sn hvy wakamatwe kwa makosa ya ugaidi wapo wanaodai kuna viongozi wa uhamsho walifanya training kandahar, na wakati huo raia wa kigeni huko zenji kipindi cha uhamsho walikutwa na madhira mengi sana like kumwagiwa tindi kali na kufanyiwa vitendo visivyofaa. hayo ndio yaliyowasibu uhamsho hadi leo America wanatazama kwa jicho la mwewe if watatoka au laa kesi ngumu.


View attachment 1750627
Kama hayo ni ya kweli hawa watu kweli ni hatari..., watafute nchi yao in the middle of nowhere ili waishi huko sababu yaonekana hawawezi kuishi katika jamii yoyote tofauti na wao
 
Znz imeingiliana sana na nchi za kiislamu, usidhani wataiacha hivi hivi bila kuisapoti, naamini itapewa sapoti kubwa na nchi hizo za kiidlamu, na uchumi utakua haraka. Nyie si mnawakandamiza, na hampendi kuona wakiendelea.


Refer; yule mchungaji aliwaacha watu wake wakiangamia huko moshi kwa mafuta ya upako, nae akasepa kurudi dar akiwaacha watu wake wanakufa. Je! Walimkamata na kumsweka ndani!

Viongozi waislamu wamelala mkuu, ingerikua ndio mapadre wamefanya hivyo unadhani wangeswekwa ndani au wangekaa muda wote huo gerezani! Pamoja na uchache wa wakristo nchini lakini wangeweza kupambana adi mwisho na mapadri wangeachwa huru.
Uchache wa wakristo? Mnajua kujipa moyo sana.
Kwa statistics zipi?
 
Wapi nimezungumzia Islamic state!!nimeandika kutokana na nilichokiona au kujua kutokana na hali ilivyokuwa kule visiwani sipo hapa kutetea uhalali wa muungano au kutetea masala ya siasa, mtoa mada alitaka kujua baadhi ya vitu nami nikajaribu kueleza hali ilivyokuwa kule.pia nikueleze kuiangisha serikali sio lazima uwe au muwe watu wa serikali, kwani yanayoendelea msumbiji sasa hv wale ni watu ambao wapo serikalini au wanavyama vya siasa !!!masheikh wao walitaka mamlaka kamili na kuwaunganisha wazanzibar pasi na kuwa na mfumo wa vyama na walianza kufanikiwa kwenye hilo.
Ya msumbiji anaejua ni serikali na wahusika wa huku juu ya ukweli lkn sio mambo kama yaliyotokea Zanzibar.
 
Back
Top Bottom