Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa inaonekana walifanya kosa ambalo sisi wananchi hatujui. Maana kelele zoote za kuwaachia hamna anayezisikiaKwanza kabisa hawa Masheikh wakati wanakamatwa Marais walikuwa ni Kikwete Muislam na Dkt. Shein muislam. Sasa hadi leo Marais ni Samia muislam na Dkt Hussein Mwinyi Muislam.
Lakini kila siku tunasikia hawa Masheikh 'wanaonewa' Kwa kukaa rumande miaka mingi bila kesi yao kupelekwa mahakamani.
Kuna mtu mwenye 'ukweli halisi' Atusaidie? Nini hasa kinaendelea?
Hatari faya kama dhamira yao ilikuwa hivyo....Kama kuna ushahidi wapelekwe mahakamani na wapewe hukumu kwa mujibu wa sheria.Ipo hv mkuu, uzuri nilikuwepo unguja kipindi sakasaka hili linatokea, masheikh wa miadhara (uhamsho) wao walikuwa na ajenda yao kubwa ya kuamsha wazanzibar waliolala juu ya swala zima la nchi yao, wao kipindi wapo walikua wanawakumbusha wazanzibar kuwa si ccm wala chadema wala cuf itakayowakomboa kutoka kwenye maisha ya dhiki bali ni kufata mwenendo wa quraan na sunna za mtume.
Hawa masheikh hawakuvutiwa na cuf wala chadema wao walikuwa na sera yao kuwa demokrasia ni ukafiri ndio maana kila walipokuta bendera ya cuf au ccm wao walikua wakizishusha na kupandisha zao ambazo zina rangi nyeupe tupu na maandishi meupe kati yaliyosomeka kwa kiarabu hakuna mola anaepaswa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah na muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu, wao wao walikuwa wanaamini kuwa kwa umoja wao basi walikua na uwezo wa kuiforce serikali ya ccm kutoka madarakani na wao kuchukua mamlaka kamili, nakumbuka wakati huo mambo mengi yalijitokeza wanawake waliovaaa nusu uchi walipigwa fimbo sn mitaani na vijana wafuasi wa uhamsho, walipinga sn siasa ndani ya zanzibar maana wao hawakuwa na chama, wakawa wanadamana kudai mamlaka kamili ndiipo serikali iliposhtuka na kuona hawa watu wakiachiwa mambo yataharibika Muda si mrefu ndio ikabidi wakamatwe.
Na ndio wakati huo huo viongozi baadhi wa makundi ya kijihad waliwakebehi uhamsho kwa style yao ya kutaka utawala utolewe na kuuita style za kizamni bimana kwenye uislam hakuna maandamano , hvy walitakiwa washike silaha na kuutoa udhalimu. Note sina uhakika sn inavyosemekana kukamaktwa kwa wale watu agizo lilitoka marekani na kusema hao watu ni htr sn hvy wakamatwe kwa makosa ya ugaidi wapo wanaodai kuna viongozi wa uhamsho walifanya training kandahar, na wakati huo raia wa kigeni huko zenji kipindi cha uhamsho walikutwa na madhira mengi sn like kumwagiwa tindi kali na kufanyiwa vitendo visivyofaa. hayo ndio yaliyowasibu uhamsho hadi leo America wanatazama kwa jicho la mwewe if watatoka au laa kesi ngumu.
View attachment 1750626View attachment 1750627
Huwa wanasema maandiko yao yamemaliza kila kitu, ikiwamo siasa
Hatari faya kama dhamira yao ilikuwa hivyo....Kama kuna ushahidi wapelekwe mahakamani na wapewe hukumu kwa mujibu wa sheria.
Tatizo ushahidi wa moja kwa moja wa kupatikana na ugaidi amna, Tatizo kubwa ni vile hali ilipofikia wakati ule, kuanza kushusha bendera za vyama na kupandisha bendera zao, walikuwa wakikuta watu maskani wanapiga bakora (maskani ni kama vijiwe vya matawi ya vyama like cuf or ccm) serikali ilioona vile ikabidi sasa wachukue hatua.
bila ya shaka alikuwa anafahamu mpango mzima wa kukamatwa kisirisiri hao watuhumiwa na baadae kupelekwa bara, hata pale wataalamu wa sheria walipotoa mawazo yao juu ya makosa ya kushitakiwa bara hao watuhumiwa yeye kama mtendaji mkuu wa serikali hakuonekana kuchukua hatua yeyote
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Zanzibar: Masauni amelewa Pombe gani?
Kijijini kwetu alikuwepo mzee mmoja ambaye alikuwa maarufu sana. Miongoni mwa mambo yaliyompa umaarufu ni jinsi alivyokuwa mweledi katika elimu ya dini ya Kiislamu kiasi cha kuwafundisha baadhi ya aalim wakubwa katika kijiji hicho. Pamoja na taaluma aliyokuwa nayo, alikuwa mpenzi mkubwa wa...www.jamiiforums.com
Basi walifika pabaya walikuwa wanahatarisha uchumi wa nchi.
Umeulizwa ukweli ukoje, fafanua Kama hujui, soma comments tuMagaidi hawapaswi kuachiwa .
Dunia ina mengi hii mkuu kuna watu hawataki kabisa hii mifumo ya vyama na wakipata chance tu basi kuwazuia ngumu.
Wewe sema umeandika ulichotaka kuona. Wangewezaje kuiangusha hio Serikali ya CCM ikiwa wao sio Chama cha Siasa na kwa sheria za Uchaguzi za Tanzania kwa jumla kuingingia kwenye Uchaguzi wowote? Nilijua tu utazungumzia suala la Islamic state, nilijua utazungumzia suala la kutiwa Tindikali kwa Padri.Nilikuwa kule mkuu so nimeandika nilichokiona na kukijua na hizo ndio bendera zao na hiyo ni picha walikuwa wakiandamana mjini kutaka mamlaka kamili zanzibar na kudai tanganyika inaikalia kimabavu zanzibar, serikali ilipoona kuundi linazidi kupata nguvu siku baada ya siku ndio ikabidi wakamatwe.
Water is incompressible maana yake nguvu ile ile unayotumia kuyakandamiza ndio nguvu hio hiyo inayotumia kutaka kutokaWewe sema umeandika ulichotaka kuona. Wangewezaje kuiangusha hio Serikali ya CCM ikiwa wao sio Chama cha Siasa na kwa sheria za Uchaguzi za Tanzania kwa jumla kuingingia kwenye Uchaguzi wowote? Nilijua tu utazungumzia suala la Islamic state, nilijua utazungumzia suala la kutiwa Tindikali kwa Padri. Suala kujiuliza ni hili Baada ya kutiwa Tindikali sio mbio mbio mulileta wataalamu wa FBI kutoka marekani? Mbona walirejeshwa kimya kimya na ripoti ya nini kilitokea haikutolewa mpaka leo? Sio wewe unaijua sababu ya wao kutiwa ndani? Mbona miaka saba imepita na Upande wa Serikali wameshinda kuwakilisha ushahidi?.
Sasa nikueleze ukweli na utabaki kubakia ukweli mpaka dunia itamalizika, Uamsho wametiwa nddani kwa sababu kama walivyo Wazanzibari walio wengi wanapinga na wataendelea kupiga dhulma inayoitwa Muungano. Na kuwatia ndani Uamsho hakuwazuii wazanzibari kudai khaki yao ya msingi, kama unaelewa hivi sasa kuna kesi UN ya wazanzibari kuhusu Mungano. Kama munakataa kuurekebisha Muungano kwa maelewano, utavunjika kisheria ni wakati tu ndio utakaosema. Kuna Theory moja ya Physics inasemaWater is incompressiblemaana yake nguvu ile ile unayotumia kuyakandamiza ndio nguvu hio hiyo inayotumia kutaka kutoka
Mimi ni Mtanganyika, nina marafiki wengi tu wenyeji wa Zanzibar,Wewe sema umeandika ulichotaka kuona. Wangewezaje kuiangusha hio Serikali ya CCM ikiwa wao sio Chama cha Siasa na kwa sheria za Uchaguzi za Tanzania kwa jumla kuingingia kwenye Uchaguzi wowote? Nilijua tu utazungumzia suala la Islamic state, nilijua utazungumzia suala la kutiwa Tindikali kwa Padri. Suala kujiuliza ni hili Baada ya kutiwa Tindikali sio mbio mbio mulileta wataalamu wa FBI kutoka marekani? Mbona walirejeshwa kimya kimya na ripoti ya nini kilitokea haikutolewa mpaka leo? Sio wewe unaijua sababu ya wao kutiwa ndani? Mbona miaka saba imepita na Upande wa Serikali wameshinda kuwakilisha ushahidi?.
Sasa nikueleze ukweli na utabaki kubakia ukweli mpaka dunia itamalizika, Uamsho wametiwa nddani kwa sababu kama walivyo Wazanzibari walio wengi wanapinga na wataendelea kupiga dhulma inayoitwa Muungano. Na kuwatia ndani Uamsho hakuwazuii wazanzibari kudai khaki yao ya msingi, kama unaelewa hivi sasa kuna kesi UN ya wazanzibari kuhusu Mungano. Kama munakataa kuurekebisha Muungano kwa maelewano, utavunjika kisheria ni wakati tu ndio utakaosema. Kuna Theory moja ya Physics inasemaWater is incompressiblemaana yake nguvu ile ile unayotumia kuyakandamiza ndio nguvu hio hiyo inayotumia kutaka kutoka
Mimi ni Mtanganyika, nina marafiki wengi tu wenyeji wa Zanzibar,
Ishu ya Uamsho siyo kusimika Islamic state, walikuwa wanawaamsha Wazanzibar kuhusu muungano.
Nakubaliana na wewe kabisa, ishu siyo ugaidi, unajua serikali ya CCM imeminya elimu ya utambuzi, hivyo baada ya kuona Uamsho wanatoa elimu ya utambuzi kwa raia, kwa uoga wa serikali wakabambika ugaidi.
Kama ishu ni ugaidi mbona hawapelekwi mahakamani kushitakiwa?
kama ipo hivo hicho ni kifungo cha Maisha Automatically, hapo hata mahakamani hawatopelekwaKama ndiyo hivyo acha wateseke.
Wewe sema umeandika ulichotaka kuona. Wangewezaje kuiangusha hio Serikali ya CCM ikiwa wao sio Chama cha Siasa na kwa sheria za Uchaguzi za Tanzania kwa jumla kuingingia kwenye Uchaguzi wowote? Nilijua tu utazungumzia suala la Islamic state, nilijua utazungumzia suala la kutiwa Tindikali kwa Padri. Suala kujiuliza ni hili Baada ya kutiwa Tindikali sio mbio mbio mulileta wataalamu wa FBI kutoka marekani? Mbona walirejeshwa kimya kimya na ripoti ya nini kilitokea haikutolewa mpaka leo? Sio wewe unaijua sababu ya wao kutiwa ndani? Mbona miaka saba imepita na Upande wa Serikali wameshinda kuwakilisha ushahidi?.
Sasa nikueleze ukweli na utabaki kubakia ukweli mpaka dunia itamalizika, Uamsho wametiwa nddani kwa sababu kama walivyo Wazanzibari walio wengi wanapinga na wataendelea kupiga dhulma inayoitwa Muungano. Na kuwatia ndani Uamsho hakuwazuii wazanzibari kudai khaki yao ya msingi, kama unaelewa hivi sasa kuna kesi UN ya wazanzibari kuhusu Mungano. Kama munakataa kuurekebisha Muungano kwa maelewano, utavunjika kisheria ni wakati tu ndio utakaosema. Kuna Theory moja ya Physics inasemaWater is incompressiblemaana yake nguvu ile ile unayotumia kuyakandamiza ndio nguvu hio hiyo inayotumia kutaka kutoka
mkuu, mahakamani wametaja makosa yao ? maana inafichwa sanaAisee jana niliona walivokua wanapelekwa Mahakamani msafara magari ya polisi kama 25 hivi na wana mitutu mizito.