Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
G
wameachiwa kwa sababubya kila mwenye nia njema alipiga kelele juu ya uonevu ikiwemo pamoja na Vyama hasa Chadema. We ni mjinga unapinga jitihada za wazi zilifanywa na CHADEMA na Tundu Lissu wakati aa kampeni
GWajima? Kazi yake.
 
Naona unahamisha mjadala. aliyewaharibia ni kiongozi aliyekua huko kisha aliyewakaribisha gereza la bara halafu mkuu wote ni wale wa swala tano.

#Jiwehausiki
Sababu hakuwa na interest nao kina babu seya alijua watatoka kumtumikia kumuimbia Nyimbo za kumuabudia
 
Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia...
Andiko bora sana
 
Lipo jambo
Wakati mwingi sherehe hugeuka vilio
Ni swala la muda mtagundua jambo
Majuto atakuwa mjukuu
Mtashangazwa
Endeleeni kupiga makofi
uamsho kwanza
Wapinzani mtasubiri sana
 
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
unaonaje waende wakafunguwe kesi ya Fidia
 
Ni nani alikuwa na maslahi kwenye tuhuma za mashehe wa uamsho kama siyo serikali yenyewe, au ndo yale ya DPP hana haja ya kuendelea na kesi dhidi ya washtakiwa.
 
Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto[emoji2297][emoji2297]
Sasa kwa miaka yote wamekaa gerezani upelelezi bado tu! Laumu mfumo wa upelelezi.
 
unaruka sababu makusudi punguza udini mkuu. wale walitakiwa wapate hukumu kwanza. wale wengine hukumu ilishakua tayari
Sababu hakuwa na interest nao kina babu seya alijua watatoka kumtumikia kumuimbia Nyimbo za kumuabudia
 
Eee..!.Mungu Baba Mwenyezi twakuomba uliepushe taifa letu lisije tena likapata watawala dhalimu kama jiwe milele na milele sio leo,kesho na hata vizazi vyetu vijavyo.

Nafunga katika Jina la YESU jina kuu kuliko majina yote.Nikiomba na kuamini hakika hakuna kiongozi dhalimu tena ataketokea katika taifa hili katika Jina la YESU Kristo ulie hai.! Nateketeza kwa moto ulao !

roho zote chafu za viongozi kama Sabaya bashite zisiinuke tena katika taifa hili milele na milele.Tukiomba na kuamini.Na KILA mmoja na aseme.Amee...ni !
 
Asante sana Rais wetu SSH. Ninaamini wamejifunza na watatulia sasa tujenge nchi pamoja Kwa upendo.
 
Back
Top Bottom